Ubarikiwe pia.Aisee kila la kheri na katika kila unalofanya ufanikiwe maradufu.
Umejieleza kwa kujitolea na kwa mapana bila kulipua lipua kana kwamba unalipwa.Wamesalia watu wachache wenye hulka uliyoidhihirisha hapa.
Ahsante.
changiambona uzi upo chitchat?
ssawaaise! hakuna haja ya kukusaidia maana haujataka kuwa muazi juu ya jambo linalokusumbua
nsaidie am serious leoBaba swalehe...
Nichek inbox... Nitakusaidia kutatua hiyo shida.wakuu naomben msaada wenu ... unawezaje punguza msongo wa mawazo ..ni mwaka wa tatu huu nna jaribu kuondoa msongo wa mawazo watu wengi huniona na furaha au napowafurahisha nnapokua nao lakini nna maumiv makal moyon hivi wakuu msongo wanautoaje maana kazi nafanya ila naona kabisa unaenda kunimaliza wengi watataman wajue kilichonisibu hiyo ni story ndefu ila nipen njia ya kuondoa msongo kma huna hzo njia pita kushoto !
Baba swaleheeee[emoji23][emoji23]asalam aleykhum kwanza...nsaidie am serious leo
inbox tenaNichek inbox... Nitakusaidia kutatua hiyo shida.
waleykum msalamBaba swaleheeee[emoji23][emoji23]asalam aleykhum kwanza...
Pole kwanza shekhe wangu...waleykum msalam
asantePole kwanza shekhe wangu...
Kuwa muwazi wa tatizo linalosababisha huso msongo tujue tunakusaidaia vpnisaidien wakuu
nmeuliza njia za kutoa msongo weweKuwa muwazi wa tatizo linalosababisha huso msongo tujue tunakusaidaia vp
asante mamiiiBora we umesema watu wengi wana msongi wa mawazo na hawajikubali ,,pole swahiba fata ushauri asigwa nimeuelewa sana
Njia zinatofautiana kutokana na tatizo. Na ndio maana nimekuambia weka mambo hadharaninmeuliza njia za kutoa msongo wewe