Mtaalamu wa mambo
Member
- Nov 23, 2020
- 58
- 96
Umri 22 kazi yoyote nafanyaUna certificate ya nini?
Ya urubani, upishi au?
Unaishi wapi?
Unaishi home au umepanga?
Uzoefu?
Umri?.
Ukipewa sh.ngapi unaweza kuanza nayo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri 22 kazi yoyote nafanyaUna certificate ya nini?
Ya urubani, upishi au?
Unaishi wapi?
Unaishi home au umepanga?
Uzoefu?
Umri?.
Ukipewa sh.ngapi unaweza kuanza nayo?
Umri 22Umesomea nini?
Una umri gani?
Hivyo vinaweza vuta watu katika kukusaidia zaidi.
TangaP
Pole sana mdogo angu, usichukue uamuzi wa kujitoa uhai, kumbuka wapo wenye shida kuliko wewe na hawakati tamaa, ila uko mkoa gani??
Tatizo mwenzio alisaidiwa akadhulumu.Ndugu zangu halo ngumu kwa upande wangu maisha yamekuwa magumu sina wa kunisaidia
Nakesha kitandani kulala nimehangaika kutafuta kazi sijapata Nina elimu certificate
Nipeni msaada kimawazo
SijakuelewaTatizo mwenzio alisaidiwa akadhulumu.
Kuamini mtu DUNIA HII ni kaziii na hasa kwenye pesa.
#YNWA
TangaP
Pole sana mdogo angu, usichukue uamuzi wa kujitoa uhai, kumbuka wapo wenye shida kuliko wewe na hawakati tamaa, ila uko mkoa gani??
Usijinyonge bora uende bank ukaibeNdugu zangu halo ngumu kwa upande wangu maisha yamekuwa magumu sina wa kunisaidia
Nakesha kitandani kulala nimehangaika kutafuta kazi sijapata Nina elimu certificate
Nipeni msaada kimawazo
Acha kùmpotosha mwenzioUsijinyonge bora uende bank ukaibe
Ndugu zangu halo ngumu kwa upande wangu maisha yamekuwa magumu sina wa kunisaidia
Nakesha kitandani kulala nimehangaika kutafuta kazi sijapata Nina elimu certificate
Nipeni msaada kimawazo
Aiseeee[emoji848] pole sana kiongozi.Tatizo sio kukosa kazi mkuu ila tatizo ni akili!
Nakumbuka niliwahi kunywa sumu sababu ikiwa ni mtaji wangu kupungua kwa asilimia 75% kwa ghafla kitu ambacho ningeweza kuendelea kwa uhakika kwa kutumia ile 25% iliyobaki.
Ilibaki kidogo nife lakini nikapona na bado nikafanya majaribio mengine sikufa.
Leo hii hata ile 25% sina lakini sioni sababu ya kujiua sababu nimeshabadilika kiakili,,,, nina mtoto ambae anatakiwa kuanza shule, mama kabakiza miezi miwili ajifungue na bado hali ni tete ila swala la kujiua naliona kichekesho sababu nimejifunza mengi na naamini nitapata mlango wa kutokea tu!
Hali niliyo nayo sasa kiuchumi ungekuta ndio niliyoifikia kipindi hicho nilichotaka kujiua nadhani ningekuwa nimeshakufa sababu nisingekunywa sumu tu bali ningejitundika au ningejitupa kwenye Scania.
Mkuu kama upo bachela na unaishi hapa mjini, jaribu kwenda kijijini ukatulie mwezi mmoja utarefresh akili na kupata mwanga mpya.
Ukishindwa kuyaendesha maisha fanya kuyaacha yakuendeshe kwa kipindi kifupi ili uyaelewe na baada ya hapo ukifurukuta lazima uchomoke! Mwenzako nilishawahi hadi kujiect kichaa kwenye miji ya watu ili niishi
Very interested, huyu jamaa anataka kutia huruma lakini anatakiwa apambane sana.Tatizo sio kukosa kazi mkuu ila tatizo ni akili!
Nakumbuka niliwahi kunywa sumu sababu ikiwa ni mtaji wangu kupungua kwa asilimia 75% kwa ghafla kitu ambacho ningeweza kuendelea kwa uhakika kwa kutumia ile 25% iliyobaki.
Ilibaki kidogo nife lakini nikapona na bado nikafanya majaribio mengine sikufa.
Leo hii hata ile 25% sina lakini sioni sababu ya kujiua sababu nimeshabadilika kiakili,,,, nina mtoto ambae anatakiwa kuanza shule, mama kabakiza miezi miwili ajifungue na bado hali ni tete ila swala la kujiua naliona kichekesho sababu nimejifunza mengi na naamini nitapata mlango wa kutokea tu!
Hali niliyo nayo sasa kiuchumi ungekuta ndio niliyoifikia kipindi hicho nilichotaka kujiua nadhani ningekuwa nimeshakufa sababu nisingekunywa sumu tu bali ningejitundika au ningejitupa kwenye Scania.
Mkuu kama upo bachela na unaishi hapa mjini, jaribu kwenda kijijini ukatulie mwezi mmoja utarefresh akili na kupata mwanga mpya.
Ukishindwa kuyaendesha maisha fanya kuyaacha yakuendeshe kwa kipindi kifupi ili uyaelewe na baada ya hapo ukifurukuta lazima uchomoke! Mwenzako nilishawahi hadi kujiect kichaa kwenye miji ya watu ili niishi
Acha upuuzi wewe,unaulizwa maswali kadhaa unajibu moja tu.Unadhani utapata msaada kizembe?Umri 22 kazi yoyote nafanya
Asante mkuu maisha hayana adabu kabisaAiseeee[emoji848] pole sana kiongozi.
Nimeomba kazi na wala sio helaNachoona kwako unahitaji kuhurumiwa halafu upewe hela. Wewe jamaa naona kabisa haujibu jumbe za maswali ya msingi.
Kuna maswali pale juu hujajibu !Nimeomba kazi na wala sio hela