Mtaalamu wa mambo
Member
- Nov 23, 2020
- 58
- 96
Nimesomea maswala ya umemeKuna maswali pale juu hujajibu !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesomea maswala ya umemeKuna maswali pale juu hujajibu !
Sio kwamba jamaa anataka kutia huruma bali anataka kufanya maamuzi hayo kutokana na hali aliyo nayo akilini kwa sasa/yaani unavyofikiri sivyo anavyofikiri yeye.Very interested, huyu jamaa anataka kutia huruma lakini anatakiwa apambane sana.
Mwenyewe niliwahi kuumia sana baada ya kuanguka kiuchumi tena sio kwamba Hata nilikuwa nazo nyingi, akili iliruka nikahama kutoka mjini nikarudi kijinini baada ya miezi 9 nilirudi mjini nikiwa mpya. Nilikuwa na kunywa pombe na bangi kama mwehu. Lakini nilirudi kiakili maisha sahivi ni fresh.
Fuata ushauri huu mzuri sana,usipigie hesabu vitu vikubwa sana,nimemuona mama mmoja juzi anahojiwa TBC1,anauza maembe kwenye sinia,embe ananunua 300,anauza 700 mpk 800,kwa siku anapata mpka 10,000 faida,kwahiyo nakushauri toka pambana ukikaa ndani hutapata ufumbuzi wa tatizo lako...tafuta elfu 20. nenda kanunue njegere zimenye ziweke kwenye mifuko midogo transparent(unazipa thamani) . anza kuzungusha.. baada ya mwezi nitafute..
ila ukiendelea kulala ndani.. hujichanganyi na watu.. una hela ya bando.. utakuja kujiua kweli
SinaHauna hata Heka 1 ya kulima?
Unaweza kuamua kuwa nyoka,Sina
Kazi zipo nyingi ( binafsi nina biashara mbili tatu) lakini vijana wa kufanya kazi hakuna......ni porojo na wizi mtupu.....mfano hai...kwa sasa nimewaambia vijana wawili warudishe IST na wapaki nyumbani ambazo walikuwa wanafanya kazi za Uber/Bolt sababu hawaeleweki,gari zinaumia hela haionekani........pia nina stock ya maji (mimi ni wakala) ya kunywa ya kuuza mitaani , nina stock ya sabuni za bei rahisi ( nina kiwanda kidogo natengeneza mwenyewe)lakini sijui tatizo nini manake hakuna kijana aliye serious kufanya hizi kazi ....sijaona ...nakushangaa unalia lia humu ila mkipewa kazi hamuelewekiNdugu zangu halo ngumu kwa upande wangu maisha yamekuwa magumu sina wa kunisaidia
Nakesha kitandani kulala nimehangaika kutafuta kazi sijapata Nina elimu certificate
Nipeni msaada kimawazo
Niamini nitafute tufanye kazi unachukua watu kwa kujuana akiharibu unaona poa chukua MTU mwenye nia dhati ya kazi take 0674709210Kazi zipo nyingi ( binafsi nina biashara mbili tatu) lakini vijana wa kufanya kazi hakuna......ni porojo na wizi mtupu.....mfano hai...kwa sasa nimewaambia vijana wawili warudishe IST na wapaki nyumbani ambazo walikuwa wanafanya kazi za Uber/Bolt sababu hawaeleweki,gari zinaumia hela haionekani........pia nina stock ya maji (mimi ni wakala) ya kunywa ya kuuza mitaani , nina stock ya sabuni za bei rahisi ( nina kiwanda kidogo natengeneza mwenyewe)lakini sijui tatizo nini manake hakuna kijana aliye serious kufanya hizi kazi ....sijaona ...nakushangaa unalia lia humu ila mkipewa kazi hamueleweki
Huu ushauri sahihiUza simu hii unayotumi ama pc unayotumia. Anzia hapo kama mtaji never givup kijana
Tafuta ka simu ka 25 elfu
Kumbe unatumia nini kuingia jfSimu nilinunua kwa 20 hizi kitochi
Sawa mamaJiue
Nenda kwenye maeneo yanapojengwa majengo anza na kazi vibarua beba zege baada ya muda utaaminika utakuamsaidizi wa fundi umeme then utaanza pata kazi taratibu.Nimesomea maswala ya umeme
Mk.... wa aliyekuzaaSawa mama
Huyu atakuwa tapeliKumbe unarumia nini kuingia jf
Your not serious...Nimesomea maswala ya umeme
Hapo ukichaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] eti maisha yakuendeshe ili uyaelewe[emoji23][emoji23] .Tatizo sio kukosa kazi mkuu ila tatizo ni akili!
Nakumbuka niliwahi kunywa sumu sababu ikiwa ni mtaji wangu kupungua kwa asilimia 75% kwa ghafla kitu ambacho ningeweza kuendelea kwa uhakika kwa kutumia ile 25% iliyobaki.
Ilibaki kidogo nife lakini nikapona na bado nikafanya majaribio mengine sikufa.
Leo hii hata ile 25% sina lakini sioni sababu ya kujiua sababu nimeshabadilika kiakili,,,, nina mtoto ambae anatakiwa kuanza shule, mama kabakiza miezi miwili ajifungue na bado hali ni tete ila swala la kujiua naliona kichekesho sababu nimejifunza mengi na naamini nitapata mlango wa kutokea tu!
Hali niliyo nayo sasa kiuchumi ungekuta ndio niliyoifikia kipindi hicho nilichotaka kujiua nadhani ningekuwa nimeshakufa sababu nisingekunywa sumu tu bali ningejitundika au ningejitupa kwenye Scania.
Mkuu kama upo bachela na unaishi hapa mjini, jaribu kwenda kijijini ukatulie mwezi mmoja utarefresh akili na kupata mwanga mpya.
Ukishindwa kuyaendesha maisha fanya kuyaacha yakuendeshe kwa kipindi kifupi ili uyaelewe na baada ya hapo ukifurukuta lazima uchomoke! Mwenzako nilishawahi hadi kujiect kichaa kwenye miji ya watu ili niishi
Electrical installationYour not serious...
Ebu elezea ni umeme upi ulio usomea..??
Bora wewe unajua unachotaka kufanyaNdugu zangu halo ngumu kwa upande wangu maisha yamekuwa magumu sina wa kunisaidia
Nakesha kitandani kulala nimehangaika kutafuta kazi sijapata Nina elimu certificate
Nipeni msaada kimawazo