Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Hauko pekee yko mkuu hata mimi kuna kipind najickia mpweke nahsi kma nmetengwa vle huwa nakosa raha ya kila kitu huwa na hamu hta nife ili niepukane na hii hali
 
Pole sana nn shida mpaka uwe na stress kiac iko mpaka ucweze kufanya kitu chochote
 
Pata glass moja ya whiskey yoyote kisha pumzika ukiamka fanya mazoezi hata jogging yhen oga jichanganye na washkaji popote pale. Kama upo kazini hebu jaribu kuomba ruhusa ukafabye hayo kwakua unaweza kuharibu kazi
 
sio lazima uwe na pesa nyingi... laki 2 tu inatosha. hata kukufikisha Bagamoyo [emoji23][emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] we mwanamke utaniuza ww nipate stress nyingine unnecessary
 
Nenda Gym, ka pump vyuma, u stimulate endorphins. Itakusaidia sana, kijana.
 
Hauko pekee yko mkuu hata mimi kuna kipind najickia mpweke nahsi kma nmetengwa vle huwa nakosa raha ya kila kitu huwa na hamu hta nife ili niepukane na hii hali
Aisee nilijua inanitokea pekee yangu !!!Daahh Mara nyingine nikipatwa na hali hii naanza kuwapgia Sm ndugu niulize labda kuna tatzo!! Ni hatar sana
 
Yaani hapa nipo upset kinoma! Nina stress kweli hebu nishaurini. Halafu mbaya zaidi ni UNKNOWN STRESS!!

Naichukia hii hali, siwezi kufanya chochote nikiwaga kwenye hali hii. Siwezi kuongea au kupiga story, kutulia, kulala kila kitu daahh!

Mwenye Njia mbadala anieleze.

View attachment 365008
nenda uokoke!
 
Daaah...wakuuu hii hali hata mimi inanisumbua balaaa....yaani sina raha kabsa....Nimepitia comment zenu hapa nimegundua tatzo langu
 
Back
Top Bottom