jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,246
- 1,645
Ukichunwa afadhali unajua umechunwa ujipange kutafuta pesa ya kufidiaInaonyesha cku kama ya Leo ulichunwa na she kwenye sura ngumu kama goti la mbuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukichunwa afadhali unajua umechunwa ujipange kutafuta pesa ya kufidiaInaonyesha cku kama ya Leo ulichunwa na she kwenye sura ngumu kama goti la mbuzi.
Sasa apo c lazma uwe na dau la kutoshago vacation.. somewhere new..kama mbuga za wanyama, Zanzibar
sio lazima uwe na pesa nyingi... laki 2 tu inatosha. hata kukufikisha Bagamoyo [emoji23][emoji23]Sasa apo c lazma uwe na dau la kutosha
Kama haijawahi kukutokea usiombe, hiyo hali huwa inatokea na unakuwa hujui hata source ni niniSema stress yako usaidiwe mara moja
yeah najua tatizo linalonisumbua ila utatuzi wake upo mikononi mwa watu wengine yaani kama vile kuhukumiwa hivi.Labda we unajua tatizo lako
Kumbe unajua??? OK utavuna ulichopandayeah najua tatizo linalonisumbua ila utatuzi wake upo mikononi mwa watu wengine yaani kama vile kuhukumiwa hivi.
ok akhsante!Kumbe unajua??? OK utavuna ulichopanda
[emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] we mwanamke utaniuza ww nipate stress nyingine unnecessarysio lazima uwe na pesa nyingi... laki 2 tu inatosha. hata kukufikisha Bagamoyo [emoji23][emoji23]
Pole aiseeyeah najua tatizo linalonisumbua ila utatuzi wake upo mikononi mwa watu wengine yaani kama vile kuhukumiwa hivi.
Ukiwa unatafuta basha huwa unafanya hivi ?? Mbona unakua na mawazo shogahuyu anatafta baasha tu
Aisee nilijua inanitokea pekee yangu !!!Daahh Mara nyingine nikipatwa na hali hii naanza kuwapgia Sm ndugu niulize labda kuna tatzo!! Ni hatar sanaHauko pekee yko mkuu hata mimi kuna kipind najickia mpweke nahsi kma nmetengwa vle huwa nakosa raha ya kila kitu huwa na hamu hta nife ili niepukane na hii hali
nenda uokoke!Yaani hapa nipo upset kinoma! Nina stress kweli hebu nishaurini. Halafu mbaya zaidi ni UNKNOWN STRESS!!
Naichukia hii hali, siwezi kufanya chochote nikiwaga kwenye hali hii. Siwezi kuongea au kupiga story, kutulia, kulala kila kitu daahh!
Mwenye Njia mbadala anieleze.
View attachment 365008