Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Hauko pekee yko mkuu hata mimi kuna kipind najickia mpweke nahsi kma nmetengwa vle huwa nakosa raha ya kila kitu huwa na hamu hta nife ili niepukane na hii hali
Hivi naweza pata ile dawa ya unusukaputi mkuu
 
Soma biblia au sikiliza Praise n worship songs
 
Stress zinashusha kinga ya mwili,yani ukiumwa hata UTI kupona inakuwa mtiti,
 
umepata picha ukaipenda....ukaitungia story
 
Hakuna mtihani usio na matokeo na hakuna matokeo yasiyo na namna mbadala. Kweli yamekupata sio ndoto, yamekukuta kweli, badala ya kuwaza kwanini mimi, jiambie wewe ni mkubwa kuliko matokeo yako.

Jipe mwenyewe mtihani mpya, kwamba utafaulu mara kumi ya matokeo yale, utakuwa mkubwa kuliko ulivyokuwa, mitihani ya maisha haipaswi kukukatisha tamaa, inapaswa kukutia hasira kuwa wewe ni mkubwa kuliko wanavyofikiria.

Ukitingwa na mawazo na hofu na wasiwasi na changamoto za maisha, toka nenda uwanjani kacheze mpira au kaangalie sinema au nenda usikilize nyimbo unazozipenda au nyanyua begi kacheze gofu, fanya chochote ambacho kitakupa furaha, maisha haya ukiwaza sana unaweza ukafanya mambo ya ajabu, usikate tamaa ni mapito tu.
 
Nongo, weed, glass ya wine na physical exercise vinasaidia ku-release Endorphin,
Ukipatana na kimoja wapo ama vyote itakuwa powa sana....vinayeyusha stress na kureseti akili.
 
Hakuna mtihani usio na matokeo na hakuna matokeo yasiyo na namna mbadala. Kweli yamekupata sio ndoto, yamekukuta kweli, badala ya kuwaza kwanini mimi, jiambie wewe ni mkubwa kuliko matokeo yako.

Jipe mwenyewe mtihani mpya, kwamba utafaulu mara kumi ya matokeo yale, utakuwa mkubwa kuliko ulivyokuwa, mitihani ya maisha haipaswi kukukatisha tamaa, inapaswa kukutia hasira kuwa wewe ni mkubwa kuliko wanavyofikiria
 
Back
Top Bottom