Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Nashauri hospitali watenge vyumba vya wadada wa kujipoozea stress
 
Heading inahusika,

Nasikiasikia wanasayansi wanasema kufanya mapenzi mara kwa mara kunapunguza stress na maumivu ya kichwa.

Hii kweli jamani tujuzane manake nna stress mbaya hapa nilipo natafuta dawa ya asili ya kuondoa stress.

Dawa kubwa ya stress is "to let it go" there is freedom in giving up"
 
Kuna njia nyingi za kupunguza stress sio sex peke yake coz unaweza ukahic unapunguza stress kumbe unajitafutia magonjwa na mabalaa mengne!
 
Tatizo unaweza ukawa unatafuta ngono kwa ajili ya kuondoa stress lakini ikakuletea stress maradufu.

Kuna magonjwa, kutumia pesa, mimba usizotarajia na yaweza kukuletea msongo wa kiimani pia kama ni muumini wa imani yoyote mojawapo.
Kijani11 umenikosha[emoji106][emoji110][emoji109]
 
Genye ni chanzo cha stress pia... Tafuta mmoja msuuze kikamilif tatizo litaisha kbsa... Perfect and safe sex heals
 
Dawa ya stress ni shibe hakuna zaidi ya hapo! Haya mengine ndo yanaleta hizo stress!
 
wana jf hivi mtu kuwa na hasira
sana,kuchukia kitu bila
sababu,kupenda kukaa peke yako
tu na kuwa umepunic kila muda ni
dalili za ugonjwa gani? msaada tafadhali!
 
Stress za vyeti feki....[HASHTAG]#Natania[/HASHTAG]

Mkuu huo ni ugonjwa wa kisaikolojia..Tafuta daktari wa saikolojia akusaidie
 
pia hata baadhi wenye ugonjwa wa kisasa wana matatizo hayo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] natania tu
 
wana jf hivi mtu kuwa na hasira
sana,kuchukia kitu bila
sababu,kupenda kukaa peke yako
tu na kuwa umepunic kila muda ni
dalili za ugonjwa gani? msaada tafadhali!

Ugonjwa huo ulikuanza toka.utawala wa magufuli kuanza zoezi la ukaguzi wa vyeti feki au ulikua nao toka enzi zile za kikwete?
 
Huo ni ugonjwa wa ukosefu wa vyeti original vya shule
Muwe kidogo mnafikiria, mm nimeuliza mnipe msaada sasa unaniambia kuhusu vyeti umejuaje kama nimemaliza kidato cha nne? mkuu mm ndo nipo 4m4 this year xaxa unavyoniambia khsu vyeti feki sikuelewi.
 
Back
Top Bottom