Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Muwe kidogo mnafikiria, mm nimeuliza mnipe msaada sasa unaniambia kuhusu vyeti umejuaje kama nimemaliza kidato cha nne? mkuu mm ndo nipo 4m4 this year xaxa unavyoniambia khsu vyeti feki sikuelewi.
Sasa kama uko form 4 umekuja kutafuta nini huku kwenye jukwaa la watu wazima wanaothink bigger.Na je unapata wapi muda wa kuja kuuliza maswali ya ajabu huku badala ya kuconcetrate na masomo miezi minne ijayo necta watakunyoosha.

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama uko form 4 umekuja kutafuta nini huku kwenye jukwaa la watu wazima wanaothink bigger.Na je unapata wapi muda wa kuja kuuliza maswali ya ajabu huku badala ya kuconcetrate na masomo miezi minne ijayo necta watakunyoosha.

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Na Utu uzima Wako Haukupaswa kuandika Utumbo huu
Alokudanganya kwamba mda wote ni wakusoma nan
Mwili Mkubwa Akili Kisoda
 
You are the idiot amongst the idiots.

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
You were supposed to advice him/her on what to do but due to lack of knowledge (ironically calling yourself a great thinker) u went ahead and spoke nonsense. Remember You should always speak if you have something to but not because you want to speak anything.
 
You were supposed to advice him/her on what to do but due to lack of knowledge (ironically calling yourself a great thinker) u went ahead and spoke nonsense. Remember You should always speak if you have something to but not because you want to speak anything.
That was my end of thinking capacity as a great thinker.who you are to judge me young man.Better go to hell.

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
wana jf hivi mtu kuwa na hasira
sana,kuchukia kitu bila
sababu,kupenda kukaa peke yako
tu na kuwa umepunic kila muda ni
dalili za ugonjwa gani? msaada tafadhali!
Mkuu huwa unamawazo sana? kama huwa unayo tuambie yametokana na nini tukusaidie na utajua tatizo lako.
 
Dawa ni kuokoka tusidanganyane at least unakuwa na hope na amani sasa ukiangalia movie ikiisha unarud palepale halikadhalika music..kama mkristo au mwislamu dawa n kuomba Mungu utapata Amani sana hizo nyingine ni vi_sub ant stress tu hakuna amani kuu kama ya Mungu..kuomba kwa sana
sawa mkuu
 
Hyo #8 inasaidiasana hasa ukiwa na rafiki wanaojua majungu sema on the other side utakua mtu wakujistukua sana hasa unapopita nakuona watu wanakutazama unaeza jikuta unajikwaa bilakuelewa
 
Vp Wakuu
Leo tupeane mbinu ambazo tunatumia pindi tunapo kua na mawazo mengi ya MAISHA/MAPENZI

mimi binafsi ninapokua na stres huwa sijites
Naingia YOUTUBE kisha nasach tom&jerry,,hapo ntacheka mpaka Mb ziishe

Haya nanyinyi toeni mbinu zenu, tubadilishane I DEA
 
921730b18675653ec204a7e2e00cf7dc.jpg
mimi hapa niwe nina furaha, majonzi, huzuni, njaa, nimeshiba, nimevimbiwa ni gym mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom