PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Huko ni kujiendekeza tu huna tatizo lolote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama uko form 4 umekuja kutafuta nini huku kwenye jukwaa la watu wazima wanaothink bigger.Na je unapata wapi muda wa kuja kuuliza maswali ya ajabu huku badala ya kuconcetrate na masomo miezi minne ijayo necta watakunyoosha.Muwe kidogo mnafikiria, mm nimeuliza mnipe msaada sasa unaniambia kuhusu vyeti umejuaje kama nimemaliza kidato cha nne? mkuu mm ndo nipo 4m4 this year xaxa unavyoniambia khsu vyeti feki sikuelewi.
Na Utu uzima Wako Haukupaswa kuandika Utumbo huuSasa kama uko form 4 umekuja kutafuta nini huku kwenye jukwaa la watu wazima wanaothink bigger.Na je unapata wapi muda wa kuja kuuliza maswali ya ajabu huku badala ya kuconcetrate na masomo miezi minne ijayo necta watakunyoosha.
Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
You are the idiot amongst the idiots.Na Utu uzima Wako Haukupaswa kuandika Utumbo huu
Alokudanganya kwamba mda wote ni wakusoma nan
Mwili Mkubwa Akili Kisoda
You were supposed to advice him/her on what to do but due to lack of knowledge (ironically calling yourself a great thinker) u went ahead and spoke nonsense. Remember You should always speak if you have something to but not because you want to speak anything.
That was my end of thinking capacity as a great thinker.who you are to judge me young man.Better go to hell.You were supposed to advice him/her on what to do but due to lack of knowledge (ironically calling yourself a great thinker) u went ahead and spoke nonsense. Remember You should always speak if you have something to but not because you want to speak anything.
Atleast You have learnt SomethingThat was my end of thinking capacity as a great thinker.who you are to judge me young man.Better go to hell.
Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Mkuu huwa unamawazo sana? kama huwa unayo tuambie yametokana na nini tukusaidie na utajua tatizo lako.wana jf hivi mtu kuwa na hasira
sana,kuchukia kitu bila
sababu,kupenda kukaa peke yako
tu na kuwa umepunic kila muda ni
dalili za ugonjwa gani? msaada tafadhali!
Asee we jamaa unapenda kuja speed!Utatupamia bhana du!Stress za vyeti feki....[HASHTAG]#Natania[/HASHTAG]
Mkuu huo ni ugonjwa wa kisaikolojia..Tafuta daktari wa saikolojia akusaidie
Usiulize swali juu ya swali,we endelea kusindikiza tu.hahhahahahaha swali gani hilo mkuu
hahahahaKuwa na mwanamke wa Pili ili akuondoe mawazo kwa kukufariji
sawa mkuuDawa ni kuokoka tusidanganyane at least unakuwa na hope na amani sasa ukiangalia movie ikiisha unarud palepale halikadhalika music..kama mkristo au mwislamu dawa n kuomba Mungu utapata Amani sana hizo nyingine ni vi_sub ant stress tu hakuna amani kuu kama ya Mungu..kuomba kwa sana
Shukrani sana mkuu..salute pamoja sanaVisiting jF..
Niikiingia tu post yoyote nikakuta Joseverest amecomment natabasamu..