Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Haya yanatokea ukiwa na uhakika wa shibe, ukiwa na njaa kamwe uwezi kuwaza hata nusu ya hivyo vitu.
Kuna mzee alisema ukitaka umfanye mtu mweusi aache kuwaza mambo ya ajabu mshindishe njaa.
Njaa mwana malegeza, Shibe mwana kulevya.
Kuna mzee alisema ukitaka umfanye mtu mweusi aache kuwaza mambo ya ajabu mshindishe njaa.
Njaa mwana malegeza, Shibe mwana kulevya.