Sakata la Askofu Alex Malasusa lachukua Sura Mpya, Watoto Watoroshwa

Huyo jamaa ana kazi kubwa sana kufight na mtu wa hadhi ya huyo askofu, hao watu wana nguvu kubwa sana usiwaone wanavyoongea kama wapole au wajinga flani, ni wasomi wa hali ya juu na wana akili kubwa sana.
mkuu akili kwnye ile kitu huwa inaondoka kabisa na ndo maana imefunikwa ikiweka wazi kila kitu kinaondoka hata vitabu vya Mungu huw vinafutika kichwan
 
Mbona habari ni ya upande mmoja? Nimeiita habari hii udaku kwakuwa sioni sehemu mwandishi alipofanya mahojiano na Askofu Malasusa
mkuu alipigiwa sim alipoambiwa ni mwanahalisi akakata sim, alipotumiwa sms hakujib, ulitaka habari isitoke?

sema hoja ya msingi ingekuwa nw dayz mwanahalisi wanaandika habar za udaku?
 
Kwa maelezo yako wewe ni mLutheri kwanza nakukaribisha Usharika wa Kimara kwa kamanda MASTAH...nikirudi kwenye mada nataka kukuuliza wewe unaamini hii habari?,,,,hata kama hisia zako ziko namna hiyo huna haki ya kuhukumu huyo ni mtumishi wa Mungu kama kuhukumu ni MUNGU ndio atamshughulikia we chakufanya muombe tuu..aidha nikweli au uongo...Ukisoma habari za Sauli alivyokuwa anataka kumuua DAUDI pamoja na yote Daudi kwa kujua Sauli ni Mpakwa mafuta wa Bwana....alikuwa ana muombea na Mungu alishughulika na Sauli...so nakushauri ndg mambo ya kirohoa usitumie Msuli wa Mwili
 
Hivi Askofu Malasusa akiipigia kampeni Ukawa kwenye madhabau 2020 mtamsafisha???
 
mkuu alipigiwa sim alipoambiwa ni mwanahalisi akakata sim, alipotumiwa sms hakujib, ulitaka habari isitoke?

sema hoja ya msingi ingekuwa nw dayz mwanahalisi wanaandika habar za udaku?
Tunathibitishaje kama kweli walimpigia simu...na..kumtumia msa..unajua lengo la kuandikwa hii habari?....Msipende kufurahia matatizo ya Watu
 
Jamani watu wa Mungu mbona mmekuwa mashetani?

Nani alikudanganya kuwa maaskofu ni watu Wa Mungu? Mungu ni wa wote, soma Yeremia 32:26.
Hao maaskofu na wachungaji mnaowaamini Sana Kama watu sahihi katika jamii ni wahuni Kama wahuni wengine mnaokaa nao kijiweni, ni huyo hayawani Malasusa ni mchache Sana Kati ya ushenzi mwingi unaofanywa na wenzake ambao hawajulikani.
Ole wao maana Mungu hadhihakiwi hata kidogo, sisi yetu macho.
 
mkuu alipigiwa sim alipoambiwa ni mwanahalisi akakata sim, alipotumiwa sms hakujib, ulitaka habari isitoke?

sema hoja ya msingi ingekuwa nw dayz mwanahalisi wanaandika habar za udaku?

Unampigia simu Askofu?? Ofisi zake hujui zilipo?? Hawa ndio wanahabari uchwara ndio maana vigazeti vyao vinafungiwa tu
 
Mkuu tuwape pole sana hao maaskofu wenye haiba kama ya Malasusa, wanajifanya wanyenyekevu kumbe ni moto wa kuotea mbali!
 
Inaonekana haya watoto ni wa baba askofu malasusa
Mkuu umeniibia wazo asee yawezekana baba askofu alikua analindiwa mzigo wake muda mrefu tu. Jamaa limestuka ndo ataka kumpeleka ujerumani
 
Bora Dr. Slaa aliejiamulia mapemaaa, kujitoa huko kihalali na kuutangazia Umma na Mungu wake, kuwa anaishi maisha mengine, HAKUTAKA KUWA MNAFIKI MBELE YA KONDOO WAKE WALA MUNGU WAKE, Ndio maana sichoki kumtetea humu watu wanapoanza kumsema kuhusu Kuacha Upadre n.k. KWAKWELI NI SHUJAA, Ukimchunguza SLAA ANA KATABIA KAKUTOPENDA UNAFIKI Ha ha ha ha ha ha ha ha ha"""""""" Ruksa kunikejeli au kunitukana muhimu uwe ushatoa dukuduku lako sio unanitukana halafu unaweka dukuduku bado ha ha ha ha""""""""
 
Ama kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!
Wa KKKT wanaoa wewe wacha kukariri. Hoja yako ni hewa unafikiri kutokuoa ndo sababu ya uzinzi, sasa huyu ana mke na watoto. Jadilini kwa hekima kama ni kweli amefanya kosa basi ni yeye na si kanisa.
 

****
I AM KING SATAN A MASTER OF ALL TRICKS,HA HA HA HA! / I MUST START WITH CHURCH LEADERS.ALTHOUGH THEY SECRETLY, I MUST UNCOVER THEM.
 
Sina Wa kumtetea ngoja tusubiri tutajua mwelekeo wake ni upi. Kumbuka kuanguka kupo kwahiyo sishangai. Lakini naona move vile maana evidence mbalimbali hamna naendelea kufuatilia
 
Kama hii habari si ya kweli,Askofu ana kila sababu ya kulishitaki hili gazeti na kudai fidia..
 
sasa huyo mr mbona anamuandama mtumishi tu na sio wife wake.au munatafuta hiyo ajira ya mtumishi wetu
 
Sasa kama Askofu anayetegemewa na waumini wake awaingoze kwenda peponi na yeye ni JIPU nani atauona ufalme wa mbingu.

Imeandikwa ktk Timotheo wa pili sura ya tatu Siku za nwisho kutakuwepo na nyakati za hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…