Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kama bunge lilipitisha, litapewa adhabu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama itaamuaKama bunge lilipitisha, litapewa adhabu gani?
Kwa mfumo uliopo, mhimili mmoja hauwezi kutoa hukumu kwa mhimili mwingine zaidi ya hiyo mihimili kuungana. Mwisho wa siku, mashtaka yatatupiliwa mbali.Mahakama itaamua
Hahaha.........😆😅Natamani kujitoa mhanga pale katikati ya bunge.
[emoji23]
nisepe na kijiji cha wajinga
Wabongo nyuma ya keyboard wanamkwala sana mkuu [emoji1]Labda mhanga wa kwenye keyboard za simu na kompyuta.
Mtaishia kutamani na kuumia roho bureNatamani kujitoa mhanga pale katikati ya bunge.
[emoji23]
nisepe na kijiji cha wajinga
Masikini hulka yenu ni kuchukia tu matajiri na hili aliwaharibu sana yule Ibilisi kule ChatoFisadi Rostam alisema nendeni mahakamani
Ujue tayari mfumo wa mahakama umejuaanda kuwadhulumu watanganyika na kuwahalalisha waarabu kuuziwa nchi
Hapa ni kula sahani moja na hawa mafisadi
Thubutu!!Hakika ukifanya hivyo, vizazi na vizazi vya Watanganyika vitakukumbuka daima kama shujaa Nshomile wa Muleba.
Hao wanajiliwaza kijiiinga kweli kweliMdunguaji wa kwenye twita hata Putin ungekuwa ushamuua!
Safi. Watu watapiga deal sasa hivi.Tuko tayari kuchangia pesa taslimu ili kuwezesha mchakato huo
Daa yule jamaa jau kweli. Aliwadanganya viongozi wa dini mchana kweupe wakawa wanamwangalia tu nadhani jamaa hajui watu kama TEC huwa wana taarifa za ndani kabisa na wana elimu kubwa katika kila sekta. Ila jamaa alinimaliza zaidi pale aliposema wao ni wazalendo kweli kweli na waliweka maslahi ya taifa mbele na huwa analia anapoona watu wanauzungumzia vibaya mkataba mtandaoni halafu eti mkewe huwa anambembeleza.Mbona yule aliyesema yeye ndio alikuwa Kiongozi wa Timu ya majadiliano hajashtakiwa ?
Hata matajiri hulka yao ni kuchukia masikiniMasikini hulka yenu ni kuchukia tu matajiri na hili aliwaharibu sana yule Ibilisi kule Chato