Sakata la BANDARI ZETU na DPW linataka kuliingiza Taifa kwenye umwagaji wa damu!?

Sakata la BANDARI ZETU na DPW linataka kuliingiza Taifa kwenye umwagaji wa damu!?

Cancer inapojitokeza mguuni ujue ilishasambaa sehemu kubwa ya huo mguu .. Mtu anapoumwa malaria huo ni mchakato wa zaidi ya wiki tangu siku alipoumwa na umbu mwenye vimelea!

Sakata la bandari zetu na Dpw sio la jana wala la juzi lina zaidi ya mwaka! Limekuja kuwa wazi baada ya hatua za utekelezaji kuanza ndio wananchi wameanza kujua yaliyomo yamo na kuleta taharuki kubwa!

Ukiachana na sisi keyboard warriors huku mitandaoni kuna waliotuzidi uthubutu na kuondoa woga na kuamua kuhoji waziwazi kinachoendelea na hata kutoa wayforward wa nini kifanyike kulinusuru taifa na hili zimwi

Hawa sasa ndio wamezidisha taharuki huko mamlakani kwakuwa sasa kadiri siku zinavyosonga wananchi wameanza kuwaelewa na kuendelea kuwapa uungaji mkono mkubwa!
Ni wazi sasa uvumilivu unawaishia kwa kasi ya kimondo washika dau wasiojitokeza waziwazi kwenye hili sakata na badala yake wameanza kuwatisha wale wote wanaolishikia bango kwa uwazi hili jambo

Hivi si vitisho vya kupuuza bali ni vitisho vyenye ujumbe wa kuogofya ili litakapitimia wengine waufyate, wakae kimya!
Kuanzia kesho hali inaweza kuwa ngumu sana kwa pande zote mbili.. Kwa wanaohoji wenye uungwaji mkono na wananchi na waotaka hili jambo litimie.. Ni ngumu kutabiri lakini inaweza kudondoshwa roho moja na ikazaa mlipuko mkubwa ama inaweza kudondoshwa roho moja na kukatokea makosa fulani yatakayosababisha hata wahusika wageukane wenyewe kwa wenyewe

Haya yakitokea ili kuzima kama ni uasi ama kunyamazishana ama kuadabishana kuna nguvu za ziada zinaweza kutumika na kusababisha umwagaji wa damu.. Hili si jambo la kuombea hata kidogo lakini bado kuna upande una nafasi kubwa wa kulifanya hili lisitokee

Tuzidi kuliombea taifa na kuwaombea wote wenye mapenzi mema na Tanganyika yetu...[emoji1545]View attachment 2682900

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndugu yangu umeona mbali.
Itafika mahali watu watajitoa ufahamu.
 
Umesahau sakata la ndege ya rais mkapa?kashfa ya ya rada ,kashfa ya rada tuliyouziwa na uingereza bei yake hadi waziri wa nchi hiyohiyo inayouza rada alikuja juu kutumbia kuwa kunapigwa,lakini wapii tukaziba masikio, tena viongozi haohao waliokuwa madarakani wakaanza kumponda,na wapambe kama nyie mkawa mnafanya kama mnavyofanya sasa,yule waziri Claire short,akaona labda hatukumuelewa,akapanda ndege kuja huku kutuonya lakini waapi,watu walikuwa washatengeza ulaji,mwisho akaamua kujiuzuru alishindwa kuvumilia,,then baadae sana ndo kashfa na hela zilizopigwa likabumburuka,vipi bado una imani nao? Najua watarekebisha ila aacha lazima kwanza tuwaonyeshe kuwa watu wamebadirika na wanafuatilia,nahisi wamebaki na mtu kama wewe tu
Nimekumbuka tuliambiwa hata tule nyasi ila ndege ya Rais itanunuliwa tuu

Wakaja na vijisenti hela za mboga nk watu wapo kimyaaa

Haikutosha wakagawa fedha kila mkoa 50m ili kututoa kwenye reli

Nchi yetu hii kila Kona kuna ukakasi fulani
Kwa hili la sasa watu wanataka uwekezaji Ila ulio na maslahi kwa watanganyika si vinginevyo
 
Nimekumbuka tuliambiwa hata tule nyasi ila ndege ya Rais itanunuliwa tuu

Wakaja na vijisenti hela za mboga nk watu wapo kimyaaa

Haikutosha wakagawa fedha kila mkoa 50m ili kututoa kwenye reli

Nchi yetu hii kila Kona kuna ukakasi fulani
Kwa hili la sasa watu wanataka uwekezaji Ila ulio na maslahi kwa watanganyika si vinginevyo
006c208b814e2000402713af243c5c13.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cancer inapojitokeza mguuni ujue ilishasambaa sehemu kubwa ya huo mguu .. Mtu anapoumwa malaria huo ni mchakato wa zaidi ya wiki tangu siku alipoumwa na umbu mwenye vimelea!

Sakata la bandari zetu na Dpw sio la jana wala la juzi lina zaidi ya mwaka! Limekuja kuwa wazi baada ya hatua za utekelezaji kuanza ndio wananchi wameanza kujua yaliyomo yamo na kuleta taharuki kubwa!

Ukiachana na sisi keyboard warriors huku mitandaoni kuna waliotuzidi uthubutu na kuondoa woga na kuamua kuhoji waziwazi kinachoendelea na hata kutoa wayforward wa nini kifanyike kulinusuru taifa na hili zimwi

Hawa sasa ndio wamezidisha taharuki huko mamlakani kwakuwa sasa kadiri siku zinavyosonga wananchi wameanza kuwaelewa na kuendelea kuwapa uungaji mkono mkubwa!
Ni wazi sasa uvumilivu unawaishia kwa kasi ya kimondo washika dau wasiojitokeza waziwazi kwenye hili sakata na badala yake wameanza kuwatisha wale wote wanaolishikia bango kwa uwazi hili jambo

Hivi si vitisho vya kupuuza bali ni vitisho vyenye ujumbe wa kuogofya ili litakapitimia wengine waufyate, wakae kimya!
Kuanzia kesho hali inaweza kuwa ngumu sana kwa pande zote mbili.. Kwa wanaohoji wenye uungwaji mkono na wananchi na waotaka hili jambo litimie.. Ni ngumu kutabiri lakini inaweza kudondoshwa roho moja na ikazaa mlipuko mkubwa ama inaweza kudondoshwa roho moja na kukatokea makosa fulani yatakayosababisha hata wahusika wageukane wenyewe kwa wenyewe

Haya yakitokea ili kuzima kama ni uasi ama kunyamazishana ama kuadabishana kuna nguvu za ziada zinaweza kutumika na kusababisha umwagaji wa damu.. Hili si jambo la kuombea hata kidogo lakini bado kuna upande una nafasi kubwa wa kulifanya hili lisitokee

Tuzidi kuliombea taifa na kuwaombea wote wenye mapenzi mema na Tanganyika yetu...[emoji1545]View attachment 2682900

Sent using Jamii Forums mobile app
mshana toa account namba utakuwa kibopa sasahivi maana Mbarawa ana fungu kabisa la kuhakikisha wanaopinga wanalainishwa kwa mijihela ,ikishindikana wanakuua maana hawana chakupoteza yeye na dadake hangaya. kuna mtu anajiita balile yaani nimemshangaaa kweli kweli jamaa alikua anajifanya critical sasahivi kalooowaaaaaaa kisa hela, kajamaa kalikua kanajifanya nunda kumbe njaa tu.
 
mshana toa account namba utakuwa kibopa sasahivi maana Mbarawa ana fungu kabisa la kuhakikisha wanaopinga wanalainishwa kwa mijihela ,ikishindikana wanakuua maana hawana chakupoteza yeye na dadake hangaya. kuna mtu anajiita balile yaani nimemshangaaa kweli kweli jamaa alikua anajifanya critical sasahivi kalooowaaaaaaa kisa hela, kajamaa kalikua kanajifanya nunda kumbe njaa tu.
kuna mtu anajiita balile yaani nimemshangaaa kweli kweli jamaa alikua anajifanya critical sasahivi kalooowaaaaaaa kisa hela, kajamaa kalikua kanajifanya nunda kumbe njaa tu.[emoji419][emoji375]
Nasikia kala dollar 100,000
FB_IMG_1689764982599.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna mtu anajiita balile yaani nimemshangaaa kweli kweli jamaa alikua anajifanya critical sasahivi kalooowaaaaaaa kisa hela, kajamaa kalikua kanajifanya nunda kumbe njaa tu.[emoji419][emoji375]
Nasikia kala dollar 100,000View attachment 2693199

Sent using Jamii Forums mobile app
lazima maana sio kwa povu lile alilokua anatoa yani hata la foma gold haliko vile , uzuri wenye akili walishamshtukia siku nyingiiii umbwa yule
 
Hali ni tete

Hali ni tete lakini Samia anataka kujifanya yeye ni Marie Antonnette wa ufaransa ; wakati watu wanalalamika juu ya mkataba yeye anacheza taarab!! Mfundisheni historia kitu gani kiliwapata Mfalme yule wa Ufaransa na mkewe!!

Huyo Waziri wa mambo ya ndani Masauni naye anayetoka Zanzibar inafaa aache mara moja humo uijnga wa kutoa amri ya kuwashuhulikia waTanaganyika [ kama alivyosema Kingai] wanaopinga huo mkataba kwani ndio anakoleza moto!
 
Shida kubwa zaidi walishatoa na kishika uchumba na kilishapokelewa na kuliwa chote

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ndilo tatizo kubwa na haliongelewi.
Hili linafanya hata D.P World kushindwa kujibu hili sakata.
Imewaachia walichukua 50% wajibu.
Katu hatukubali kutawaliwa na yeyote kisa mikataba feki na njaa za udalali.
 
Mwarabu anaweza kuanza maandalizi ya kuleta silaha za kuua watu weusi wanaopinga kutawaliwa. Tujifunze ya kule Sudan na Darfur
Watu wanajazwa matumaini ya Mapesa Kisha wanauza uhuru wao na taifa lao.

Waarabu na Wazungu SIO Wajinga . Walishajua kuwa Afrika Kuna rasilimali nyingi sana ila hakuna watu wenye akili ya Kuzilinda Wala kutumia. Kwa Karne nyingi wanapora rasilimali za bara la Afrika Kwa kushirikiana na watawala Wala rushwa na wabinafsi na waoga .

Wazungu na Waarabu kamwe hawajawahi kuwapenda WAAFRIKA zaidí ya kutamani rasilimali zetu na kutumia hila kuzipata wakishirikiana na watawala.

Dawa ya Hawa watawala na Chama chao ni kuwatoa madarakani Kwa sanduku la kura 2025 .
CCM na familia zao wamejisahau wanaona hii nchi ni Mali Yao wanafanya wanachotaka.

Kuna Siku watawauzia Waarabu Mlima Kilimanjaro Ili wajenge miundo ya kisasa ya kupanda na kushuka na kutunza mazingira.
Hawa nadhani wanawekaga mikataba ya kuuza nchi WAKIWA wamekeweshwa na pesa au madawa ya kulevya mana haiingii akilini MTU auze bandari iliyotumika kupitisha misaada ya kijeshi kuzikomboa nchi zote za kisini Mwa Afrika .

Kilichotuunganisha na Zanzibar ni woga Wa kuvamiwa na masalia ya Sultani ambao walikua Wana Miliki ukanda Wa Afrika Mashariki tangu Karne ya Kumi na mbili.

Wakoloni hawajawahi kujali damu za watu Wa makoloni Yao zaidí ya rasilimali.

Sadam hakuwahi kukubaliana na Falme za Kiarabu Kwa sababu ni wasaliti walioungana na Marekani.
Gadaf hakukubaliana na Falme za Kiarabu Kwa sababu ni wasaliti walioungana na Wamarekani.
Dubai ni mawakala Wa Wazungu. Pesa zitamwagwa Kila MAHALI na vikundi Vya kihalifu vitazagaa Kila MAHALI ikiwemo ugaidi.
 
Yaani kwanza $500M wakavuta ikagawiwa kidogo yanga na simba za magoli kupoteza maboya, halafu wajomba wakajimwaga benki ya dunia na andiko la kuendeleza bandari wakachota $450M , hapo imekua $950M , halafu miezi saba baadae unaambiwa hawana ufanisi wanabinafsisha wawe wanachukua mgao hivo wanasusa bahari na maziwa makuu yote, mrema alikua anasema hii nji ngumu sana
Aisee!
 
Back
Top Bottom