404 Pages
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,703
- 2,963
Aha ndio ulimaanisha hivyo ?Cc huk hata tupige kelele vip hakuna kitqchobadilika. Kwan mangap watu wanaongea na hakuna kinachotokea, sana sana tutaambiwa tukahamie Burundi.
✍️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aha ndio ulimaanisha hivyo ?Cc huk hata tupige kelele vip hakuna kitqchobadilika. Kwan mangap watu wanaongea na hakuna kinachotokea, sana sana tutaambiwa tukahamie Burundi.
EeAha ndio ulimaanisha hivyo ?
✍️
Unakumbuka swala la rada?ndege ya rais,usiwaamini hao watu hata kidogo,historia yao inasema hivyoselikali ishasema itayafanyia kazi maoni ya watu. ila wanatokea watu wanaendelea kueneza chuki. mimi nasema watangulizwe tu. bora wachache wafe ili wengi wabaki salama ukizingatia wengine wanaochochea vurugu familia zao wana uraia wa marekani.
$erikali wawe wa kweli historia yao inawahukumu na ndo maana watu hawawaamini,unakumbuka,sakata la rada la akina chenge?ndege ya rais,mikataba ya madini?Kuna.baadhi ya watu wanapotosha jamii ni mbaya sana.hawahitajiki katika.taifa hli
Hizo ni hisia,na tukipata watu mia wenye mawazo kama yako ,hakika tumekwisha,,usiamini saana kuhusu pesa kuna kipindi pesa inakataa kufanya kazi,mbona magu aliwAkataliaUsifikrie kuwa hao wanao hoki ni WAZARENDO kama hilo neno lolivyo no
Hawajalambishwa chochote hiyo ni njaa tu
Inawasumbua wakiitwa nyumbani wapewe pilau hatuta wasikia tenaaaaaaa
Kama Bwana Mungu aishivyo,utakufa wewe na familia yako.Iwe ni kwa ajali ama kwa njia yoyote.selikali ishasema itayafanyia kazi maoni ya watu. ila wanatokea watu wanaendelea kueneza chuki. mimi nasema watangulizwe tu. bora wachache wafe ili wengi wabaki salama ukizingatia wengine wanaochochea vurugu familia zao wana uraia wa marekani.
we ndiyo umetishika, nani wa kumwaga damu? acheni stori za kitotot
...Sasa Basi !...[emoji35]Tuanze na wabunge majimboni. Tuwaambie waishie hukohuko walikopititisha ujinga wao. Hadi waelewe kuwa wamelikorogo. Wakaitishe bunge upya kurwkwbisha.
Tuanze sasa kuwapinga hawa wabunge mazezeta.
Kila mmoja na aseme sasa kwa sauti.
...Hujitambui ! Hii Sio Mali ya Chama, Ndugu yangu. Hii Mali ya Watanganyika !chama dume kishabariki kazi iendelee. sasa leteni fyoko fyoko.
.. Watazitema, au Nchi itawaka Moto hii !Tatizo lipo hapo, inaonekana kuna makubaliano magumu sana waliingia hivyo hawawezi kurudi nyuma. Ingekua ni rahisi wangeshaachana nalo
....Kwa hiyo Dawa ni 'Kuuza' Bandari ??? [emoji35]Kina Mramba, Balali, Daniel Yona, Chenge na Mke wa Balali walikuwa sio wasomi? Prof Tibaijuka aliyesema 10m ni hela ya mboga baada ya kupokea mgawo wa kifisadi ana political legitimacy ya kuongelea ishu ya bandari? Hawa wasomi wetu ndo wengi wametuingiza kwenye majanga tuliyo nayo leo.
WAHUNI WENYE DHAMIRA OVYO WAMEKAZANA KUWAPOTOSHA WATANZANIA ,SEREKALI IWE KALI KWA WAHUNI HAO,WASIJE KUTUSABABISHIA MATATIZO KATIKA TAIFA LETU.Cancer inapojitokeza mguuni ujue ilishasambaa sehemu kubwa ya huo mguu .. Mtu anapoumwa malaria huo ni mchakato wa zaidi ya wiki tangu siku alipoumwa na umbu mwenye vimelea!
Sakata la bandari zetu na Dpw sio la jana wala la juzi lina zaidi ya mwaka! Limekuja kuwa wazi baada ya hatua za utekelezaji kuanza ndio wananchi wameanza kujua yaliyomo yamo na kuleta taharuki kubwa!
Ukiachana na sisi keyboard warriors huku mitandaoni kuna waliotuzidi uthubutu na kuondoa woga na kuamua kuhoji waziwazi kinachoendelea na hata kutoa wayforward wa nini kifanyike kulinusuru taifa na hili zimwi
Hawa sasa ndio wamezidisha taharuki huko mamlakani kwakuwa sasa kadiri siku zinavyosonga wananchi wameanza kuwaelewa na kuendelea kuwapa uungaji mkono mkubwa!
Ni wazi sasa uvumilivu unawaishia kwa kasi ya kimondo washika dau wasiojitokeza waziwazi kwenye hili sakata na badala yake wameanza kuwatisha wale wote wanaolishikia bango kwa uwazi hili jambo
Hivi si vitisho vya kupuuza bali ni vitisho vyenye ujumbe wa kuogofya ili litakapitimia wengine waufyate, wakae kimya!
Kuanzia kesho hali inaweza kuwa ngumu sana kwa pande zote mbili.. Kwa wanaohoji wenye uungwaji mkono na wananchi na waotaka hili jambo litimie.. Ni ngumu kutabiri lakini inaweza kudondoshwa roho moja na ikazaa mlipuko mkubwa ama inaweza kudondoshwa roho moja na kukatokea makosa fulani yatakayosababisha hata wahusika wageukane wenyewe kwa wenyewe
Haya yakitokea ili kuzima kama ni uasi ama kunyamazishana ama kuadabishana kuna nguvu za ziada zinaweza kutumika na kusababisha umwagaji wa damu.. Hili si jambo la kuombea hata kidogo lakini bado kuna upande una nafasi kubwa wa kulifanya hili lisitokee
Tuzidi kuliombea taifa na kuwaombea wote wenye mapenzi mema na Tanganyika yetu...[emoji1545]View attachment 2682900
Sent using Jamii Forums mobile app
...Kila Kitu kina Mwanzo wake. Mkataba Ovyo wa Bandari yetu wa Watanzania kuanza Vita ya Wenyewe Kwa Wenyewe !Maana yangu ni kwamba. Ambavyo wameshapanga wao waliopo ktk mamlaka yatafanyika tu. Cc huk hata tupige kelele vip hakuna kitqchobadilika. Kwan mangap watu wanaongea na hakuna kinachotokea, sana sana tutaambiwa tukahamie Burundi.
...Zipo ? ...Kama ?? ...Jambo la kipuuzi lazima watumwe wapuuzi kulishikia bango.
Mbona hawawatumii watu wa media houses zenye akili?
kakwambia nani bandari inawahusu wazaramo tu na vipi bandari za maziwaWewe mtu wa Same unahoji kuhusu Bandari na wazaramo wahoji nini au yale mamilima yenu yasiyo na faida? Mshamba mmoja unahoji bandari ambayo hujawahi hata kuitumia. Hiki kimbelembele unakipata wapi hasa.
Wangekutanguliza wewe kwanza ili familia yako ione uzuri wake huu ndio ubinafsi wa ninyi Wageni Watanzania hawana roho ya kuzungumza kuwa waacha wafe hizi ni damu za Kirundi, Rwanda na DRC ndio mnaweza kuongea hivyo...selikali ishasema itayafanyia kazi maoni ya watu. ila wanatokea watu wanaendelea kueneza chuki. mimi nasema watangulizwe tu. bora wachache wafe ili wengi wabaki salama ukizingatia wengine wanaochochea vurugu familia zao wana uraia wa marekani.
The citizen/mwananchi...Zipo ? ...Kama ?? ...
Viongozi ndio wametufikisha hapa. Wamejisahau kwamba hii nchi ni ya demokrasia wengi ndio wapewe kipaumbele wao wanataka wapangie raia kila wanalotaka liwe tena kwa mabavu na vitisho. Huu sio uungwana maana raia nao wakiamua kukaza kinawakaa🤣🤣🤣 na ndio tutaibiwa vizuri sana maana USA lazma alete vikosi vya kulinda amani waje waibe dhahabu zetu kwa uhuru.Amani tuliyonayo tunaitumia vibaya sana,imetulemaza kifikra na kimatendo.