Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

Duh, hatari.
Wale wa ATC na TRC ilikuwaje vile? Hatujifunzi tu?

Serikali inawekeza mabilioni ya miundombinu halafu bado inatafuta mwekazaji . Kwa nini mwekeAjichuyo asiwekezeckwanza ndo anendeleea na ubia
 
Tatizo linakuja watakaopewa kuendesha hizo bandari ndio hao hao waliokuwa kwenye menejimenti na wakafeli unategemea lipi jipya hapo.
 
Hapo unamaanisha sisi Kama nchi hatuna kabisa akili.
Kama hayo mashirika tu tumeshindwa kuyaongoza basi sisi ni maiti zinazotembea


😄 Halafu najiuliza hao wataalamu wote serikalini baada yakumpa mbia watakuwa na kazi gani…kupanga mafile?!
 
Yaaah, tuliiba fedha za Watanzania tukaenda kujenga International Airport Chato. Usisahau hilo.
 
Kama tumeshindwa kwenye Madini na Utalii ambapo tunawabia bandari ndio itatupa robo tatu ya mapato ya bajeti?

Hebu tuache michezo hii. Angefanya maamuzi haya kwa TANESCO ningemueleza zaidi
 
ccm bhna mnamatatz
CCM au Chadema, haijalishi. Vyama vyote hivyo unavyoviita vya upinzani vilianzishwa Ikulu ya Mzee Ali Hassan Mwinyi.

Viivyomaliza kazi yake unaona vimebaki mabango tu, na vilivyobaki vikimaliza kazi zake ni hayo hayo tu.

Usijidanganye kuwa Tanzania kuna upinzani wa kweli, ni Simba na Yanga tu.
 
Hakuna cha kulaaniwa wala majungu ni kuendekeza ujinga na njaa tu. Ni kutunga kanuni za kumtimua na kumfilisi kila atakayebainika kuleta ujinga kwenye Mashirika ya umma. Wangeacha kupongezana pale mtu anapopewa utezi katika mashirika ya umma.

Magufuli alikuwa anafanya hivyo ila wapembe wakadai alikuwa anasingizia watu kesi sijui mara ni dictator ,hafuati utawala bora na kilele za kadai katiba zikaongezeka , watanzania ni wahuni sana
 
CCM au Chadema, haijalishi. Vyama vyote hivyo unavyoviita vya upinzani vilianzishwa Ikulu ya Mzee Ali Hassan Mwinyi.

Viivyomaliza kazi yake unaona vimebaki mabango tu, na vilivyobaki vikimaliza kazi zake ni hayo hayo tu.
Kuna raisi failure hapa Tanzania kama Zumaridi na huyo mzee?
 
Tatizo linakuja watakaopewa kuendesha hizo bandari ndio hao hao waliokuwa kwenye menejimenti na wakafeli unategemea lipi jipya hapo.
Hapana. Itapewa kampuni ya nje yenye vigezo vya kuendesha bandai kama vile zinavyoendeshwa Dubai, Singapore, Hongkong na kwengineko. Dunia ya leo si ya jana.
 

Magu alinajisi uchaguzi akajaza wawakilishi wa ccm bungeni, wala usijali hao wabunge wa ccm kwa wingi wao maana ni wazalendo watapinga mkataba huo.
 
Huo ulikuwa worst ever uteuzi duniani, worst uteuzi katika Karne hii, mama sijui kama Yuko sawa, huo ndio uteuzi ulinifanya niamini tuna boya liko Ikulu.
 
Nyakati zote ulizozitaja waliingia ubia na watu ambao hawakustahili ! Reli walipewa wahindi ambao watu wakasema ni wahindi wa kariakoo !! Yaani kwa muonekano wao tu walionekana kuwa ni choka mbaya ! Sasa hapo unategemea nini ? Unataka kuingia ubia watafuteni wale munaowaita mabeberu waje waongoze hiyo bandari uone itakavyokua, lakini ukawape watu kama Richmond ya umeme yule mhindi alikuwa na kiofisi cha internet pale kariakoo nyuma ya Keys Hotel eti ikasemekana ni kampuni ya kutoka marekani !! Salaalee!! Kwa kweli tunafanya utani na Nchi !! Ingieni ubia na mabeberu wanaotambulika kimataifa kazi itafanyika !!
 
Jambo lakujiuliza,NI wapi Bandari imeshindwa kujiendesha? Mpaka impelekee MH Mama Samia anataka kuitafutia MBIA. Maana nijuavyo Mimi mpaka hapa Leo haya yanayokea Bandari haijawahi kujiendesha kihasara. Wala haijawahi kukwama kupeleka Ruzuku Serikalini. Au mama kasahau Bandari ilipelwka Gawiwo kumahinda mashitika yake yote? Mama kaa Chini tafakari kwanza kabla ya maamuzi
 
-Bandari zetu, kuingia ubia,ili iweje tunakwama wapi watanzania.
-Serikali iache utaratibu wa kupeana nafasi kwa kujuana
-Serikali ichague watendaji wa Taasisi zake kwa kufuata weledi na kuzhindanishwa -Serikali iache utaratibu wa kuweka Menejimenti kwa kujuana.
-Nafasi za menejimenti zishindanishwe na watanzania wenye uwezo wapewe fursa ya kuongoza,
-Serikali isitegemea kupata tija kwa kuingia ubia.(rejea ubia wa Serikali /ATCl/TRC/TANESCO etc)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…