Sakata la Escrow: AG Werema amvaa Kafulila, Amwita tumbili asiyeweza amua mambo ya msituni

Sakata la Escrow: AG Werema amvaa Kafulila, Amwita tumbili asiyeweza amua mambo ya msituni

Wabunge kama kafulila na mnyika ni hasara tu wao mda wote ni kutaka kuuza sura na kuonekana badala ya kujadili mambo yenye msaada wa watanzania.
 
Hawa viongozi tunawategemea sana pale wanapokuwa kwenye majukwaa wakiomba kura. Akili zao zinaonekana timamu ila wakishaingia bungeni mara zote akili wanaziacha kwenye geti la kuingilia. Hekima,busara na nafasi zao zinawapaa.
 
Jamani ni saidieni. Ni nani aliyemteua Warema kuwa jaji? Ze Mkapa au Kikwete
 
wabunge kama kafulila na mnyika ni hasara tu wao mda wote ni kutaka kuuza sura na kuonekana badala ya kujadili mambo yenye msaada wa watanzania.

sasa ulitaka walale na kupiga meza??
 
Nimemsikia werema akisema hayo maneno,na kafulila alikuja na nyaraka 3 kwa mujibu wa maelezo yake
1.ana hukumu ya kesi,hukumu haijasema popote tanesco walipe hela (kwa mujibu wa kafulila)
2.Barua ya Tanesco kuteua mawakili kuendeleza ligi ya kesi
3.barua ya gavana juu ya uidhinishwaj wa pesa
 
Nimeipenda sana style ya werema. Amempa kafulila za uso[/Q

Werema anashikwa na hasira kwa sababu anajua kuwa karibu ataumbuka. Siku zote wabunge wa bunge lililopita waliitaka serikali inunue IPTL na kwavile yule Mechar alikuwa tayari kuiuzia serikali ya Tanzania 70% ya share zake hilo lingewezekana lakini haikiwa hivyo. Fisadi Jairo akiwa katibu mkuu wa wizara ya nishati ndio aliyesuka hiyo dili ya kumuuzia huyu singasinga hizo shares ili waweze kukomba hizo hela za ESCROW!!
 
Kafulila alimwambia WEREMA MWIZI baada ya yeye kuambiwa TUMBILI. Azuiliwa na mawaziri asitimize shambulio hilo jana bungeni.
Source magazeti ya leo: Mwananchi, Nipashe, Tanzania Daima, Mtanzania...
 
Werema naye hukutumia akili, ana hasira za kijinga.
 
Kafulila alimwambia WEREMA MWIZI baada ya yeye kuambiwa TUMBILI. Azuiliwa na mawaziri asitimize shambulio hilo jana bungeni.
Source magazeti ya leo: Mwananchi, Nipashe, Tanzania Daima, Mtanzania...

Kweli nchi inaelekea kubaya, kama AG akichukua sheria mkononi vipi kuhusu mtu wa kawaida kule Uwanja wa Fisi !!!!!
 
A very stupid lawyer. Mwanasheria gani unaropokaropoka tu bila utaratibu. Kazi kutukana tuuu!
 
yule bilion 200 kaambulia pesa ndogo inamuuma mtu kumkumbushia machungu ya ela ndogo aliyopata kwenye mgao
 
Back
Top Bottom