Sakata la Escrow: AG Werema amvaa Kafulila, Amwita tumbili asiyeweza amua mambo ya msituni

Sakata la Escrow: AG Werema amvaa Kafulila, Amwita tumbili asiyeweza amua mambo ya msituni

kati ya watu wachache nisiowaheshimu kiasi cha kushangaa na kusikitika kuwa wapo kati ya watanzania mil 45 ni huyu werema. ni mjinga -------- kiasi kwamba kuwa sehemu ya jamii yetu anatuambukiza upumbavu...huwa nashukuru mungu hajatokea kuwa mzazi wangu naamini ningeishamkataa live. hafai na ni kichefuchefu hili zee jinga.
 
Werema alitaka kujidhalilisha kwa kuvunja rekodi ya SUGU.

Ha ha ha ha! Dah! Nimechekaje! Umenikumbusha tukio muhimu kabisa, nilishaanza kumsahau mzee wa, "Niko mikononi mwa polisi,maisha yangu yote ni mikosi"! Yule ni bangi zinamtibua.
 
hivi ni yule --------...

Werema ni kati ya mijitu ambayo pamoja na kwenda shule hakustaarabika hata chembe. Kwa nafasi yake hafai kabisa kuigwa kutokana na tabia zake mbaya. Huwezi kuwa AG ambaye huna busara na ustahilifu. Sheria ni mojawapo ya fani zinazoheshimika lakini siku hizi imeingiliwa na wahuni wahuni, wala rushwa, mafisadi nk. Mimi huwa najiuliza huyu mtu asingekwenda shule ingekuwa je?
 
Kwanza alikuwa anaongea kama anapiga story na jiran yake ambaye kuku wake kachakua mboga shambani,anaongea bila refference,ana jazba za kitoto.
 
Huwa najiuliza tu huyu muheshimiwa ilikuwaje mpaka akawa Jaji na baadae AG?
 
Mweshimiwa Spika... Pamoja na ufafanuzi wa K.i.s.e.n.g.e wa Mh. Kafu.. Naomba kumpiga mbunge kama ifuatavyo. kwanza naanza kwa kukumbushia Enzi... Hishii hu waa. Kibadachi.....
 
kati ya watu wachache nisiowaheshimu kiasi cha kushangaa na kusikitika kuwa wapo kati ya watanzania mil 45 ni huyu werema. ni mjinga -------- kiasi kwamba kuwa sehemu ya jamii yetu anatuambukiza upumbavu...huwa nashukuru mungu hajatokea kuwa mzazi wangu naamini ningeishamkataa live. hafai na ni kichefuchefu hili zee jinga.
But i thought you don't care about him, do you?
 
Ukiona watu wanaingia kwenye ugomvi wamasumbwi basi ujue wamekosa hoja kabisa!!!!
 
Kafulila alimwambia WEREMA MWIZI baada ya yeye kuambiwa TUMBILI. Azuiliwa na mawaziri asitimize shambulio hilo jana bungeni.
Source magazeti ya leo: Mwananchi, Nipashe, Tanzania Daima, Mtanzania...

Vijana wamekwenda bungeni bila maadili, lazima watachapwa ikibidi.
 
Mweshimiwa Spika... Pamoja na ufafanuzi wa K.i.s.e.n.g.e wa Mh. Kafu.. Naomba kumpiga mbunge kama ifuatavyo. kwanza naanza kwa kukumbushia Enzi... Hishii hu waa. Kibadachi.....

teh teh teh.
 
Werema aanze kuelewa kwamba zama a zto WORSHIP wezi na mafisafdi zimepita. Huko CCM wanaweza kuwa bado wanaishi kwenye zama hizo za kuabudu wezi na mafisadi. Lakini Werema afahamu kwamba akitoka nje ya CCM kama ni mwizi na fisadi ataambiwa tu. Hata huku mitaani tunamsubiri tumwambie makavu live hadi atakaporudisha pesa zetu za Escrow, sio tu kurudisha pia kwenda kutumikia kifungo jela. Kama Kafulila ni TUMBIRI sijui Steven Wassirra atakuwa nani? Nashangaa Steven Wassira kutoomba mwongoza pale ndugu zake wanapokuwa stigmatization and discrimination.
 
Back
Top Bottom