Sakata la ESCROW: IPTL na PAP Watinga Mahakama Kuu kuomba ufafanuzi wa Kisheria wa Maazimio ya Bunge


inakuuma nini? Tulia sindano ikuingie
 
maamuzi yepi tena. muulize AG kwanini alijiuzuru jana.

AG alisoma harama za nyakati anajua aibu inayokuja nabashiri hili swala la IPTL na PAP litazid kuifikisha nchi pabaya na mwomba rais atoe msimamo kuliokoa taifa .
 

Hivi wewe bado unaiamini hiyo mahakama ambayo watumishi wake wa ngazi kama Judge wamewekwa kwenye payroll ya wenzi?
 
Naona uchokokwa magazetini was iptl na pap kwenda mahakamani kuzuia raisi asifanye ,maamuzi yoyote...je mahakama INA uwezo wa kumwambia rais to a waziri huyu..yule usitoe??
N


Now nimejua kwa nini prof Anna alikuwa na kiburi jana cha kutongoka madarakani...alikuwa anajua hii kesi inakuja
 
Hakuna mijitu jeuri kama mijizi ya Tanzania....
 
Naona uchokokwa magazetini was iptl na pap kwenda mahakamani kuzuia raisi asifanye ,maamuzi yoyote...je mahakama INA uwezo wa kumwambia rais to a waziri huyu..yule usitoe??

Hakuna aliye juu ya sheria (Mahakama) uwezo huo inao endapo itaonekana kuna mwananchi kaonewa awe mwanahisa AU KAMPUNI zawa iliyosajiliwa nchini.
 
Muhongo na Tibaijuka wanahangaika sana mwisho wake watashindwa kama shetani alivyoshindwa uwongo na wizi una mwisho wake
 
si wangesubiri hukumu ya rais baadaye ndio waende mahakamani?
 

Washauri wa IPTL vichwa vyao vimejaa USAHAA bdala ya Ubongo.

hii kitu ipo wazi hakuna hata cha kupinga, ushahidi upo wazi.

Je, wanachokataa ni nini???

(1) Kilichojadiliwa Bungeni ni mazingira ya utoaji wa pesa na kufungwa kwa akaunti ya ESCROW.

(2) Ukwepaji wa ulipaji wa kodi ya Serikali - VAT.

(3) Money Laundering

Sasa wao kama kweli wanasheria wao wamesoma wanachopinga ni nini???


Mahakama kwenyewe Majaji ni miongoni mwa waliochukua huo mgao kutoka kwa Ruge. mbona wenyewe majaji hawakutokeza hadharani kupinga kauli za Bunge na ushahidiwa PAC???

Bunge letu lina baadhi ya wasomi wa sheria kuliko hao vibaraka wanaojifanya wanajua kule IPTL na washauri wabovu wa Serikali.


AIBU YAo MILELE........


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Hawa jamaa wa IPTL na washauri wabovu wanafanya jambo zuri sana kwani tulishaanza kusahau sasa wanatukumbusha.

na waendelee hivi hivi na hili IGIZO la ESCROW hadi kufikia mwakani 2015 tuwe bado tuna kumbuka ili tufanye maamuz mazuri katika uchaguzi ujao.

Yale matokeo ya Serikali za mitaa ilikuwa ni mvua za rasharasha, subirini TSUNAMI inakuja 2015.

Hawa IPTL wataiponza CCM.

Lizaboni, FaizaFoxy na wengine endeleeni kushabikia ili tuendelee kukumbuka machungu ya ESCROW hadi tufike 2015.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Last edited by a moderator:
Hao majaji wenyewe wamepokea pesa za ESCROW, unategemea ni haki gani itatendeka?

Na bahati mbaya mfumo wa serikali umefungamana nao! Yule kibibi wa Ardhi amehakikishiwa hakuna wa kumgusa na kama mlivyomwona jana maconfu kibao baada ya hapo tofauti na alivyokuwa pale mwanzoni. Wakati wowote atajitokeza Muhungo atoe uongo na chenga hapa na pale halafu Mkulu atakuja na kuwahakikishia wabongo lala (yaani sisi) yote yalikuwa yamekosewa na Bunge na sasa mambo ni shwari, itabidi aendeleee kufanya kazi na hao wezi ilmradi mhmili wa mahakama usiwe na shida naye. Kule Bungeni Spika naye atasema jaamani nimeshachoka, sitaki tena ugomvi na hawa (as if Bunge ni Yeye)....TANZANIA IMEKUFA!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Haya mambo mengine mazito hayatakiwi yaende kisiasa kushabikia tu, ilitakiwa iundwe kamati vichwa wakiwemo wanasheria, Wahasibu, wachumi NK hizi kamati za kina zito hazifai katika shughuli kama hizi zinazohusiana na sheria na mikataba.Sasa Singa anatafuta upenyo katika hizo hizo sheria zetu wapi tumeteleza awageuzie kibao atengeneze mabilioni mengine.
 
Wewe ni kiumbe! sijui umetoka sayari gani. Nyinyi ndio wasaliti na wahaini wa nchi yetu inapaswa mfungiwe jiwe zito na kutoswa baharini mpaka mfe!
 
Uzuri wenye hela zao kama WB wanasubri tu waone nini kitafanyika kutoka ka Prof mandazi.... njaa itakapotuzidi tutaamua wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…