Sakata la Fei Toto na Yanga SC, hatimaye ukweli wajulikana

Hili liwe funzo, na TFF waache ujinga wao wa kuwalinda wavunja sheria, wanatuharibia mpira wetu wala hawastahili kuwepo ofisini muda huu.
Hii habari nimeisikia asubuhi kwa mtu na sasa nimeiona kwako. Kama ni habari sahihi basi litakuwa funzo.
 
Hoja yangu nimeanza kwa maneno " Kama ni kweli" Na hata kama si kweli bado sala zangu zipo kwa Fei apate maslahi yanayolingana na mchango wake, ikishindikana Yanga basi nje ya Yanga.
Waache hao wapumzike kidogo, wanaugulia maumivu ya chembe ya moyo.
 
Reactions: Tsh
Hoja yangu nimeanza kwa maneno " Kama ni kweli" Na hata kama si kweli bado sala zangu zipo kwa Fei apate maslahi yanayolingana na mchango wake, ikishindikana Yanga basi nje ya Yanga.
Si kasha waponda niny wapambe nuksi
 
Habari ya kuuzwa uliiona wapi utuwekee hapa nasi tuione?

Hee kumbe mnajua Feisal hajauzwa, wewe ndiye shabiki wa Simba wa kwanza kusema hivyo naona mmeanza kujielewa sasa na si kushabikia mikataba msio ijua.
 
Viuno vya kutosha. Hapo basi wanajikuta timu Yao imekamilika Kila idada hadi wanataka watatue na changamoto zetu kumbe nao litimu ni libovu tu
Timu inatumia daladala za mbagala kwenda kwenye mechi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hee kumbe mnajua Feisal hajauzwa, wewe ndiye shabiki wa Simba wa kwanza kusema hivyo naona mmeanza kujielewa sasa na si kushabikia mikataba msio ijua.
Hee unaandika vitu gani, kama una ushahidi weka hapa, usilete longolongo ...

Siku zote nilikuwa nasema Fei ndie mwenye haki, lakini sijawahi kuandika anaenda wapi.
 
Kuna watu wana roho mbaya kweli. Hapa unakuta kuna mtu anasali habari isiwe kweli na ni mshabiki wa Yanga. Wanyonge bana. πŸ˜€
Yes, wanakwambia Fei ni nani bora aachwe, wakati kocha wao usiku halali anabembeleza tu..
 
Reactions: Tsh
Si kasha waponda niny wapambe nuksi
Kuna mashabiki habari kama hii hawajui wafurahi ama wanune sababu ya upambe nuksi kwa viongozi. Viongozi wakisema hakufata taratibu wanashangilia na kusema ataozea benchi bila kuhoji maswali ya msingi. Hao ndo wapambe nuksi.
 
Imethibitika wazi kwamba mchezaji anaweza kuwa mkubwa kuliko timu.
 
Yes, wanakwambia Fei ni nani bora aachwe, wakati kocha wao usiku halali anabembeleza tu..
Inatokana na kuabudu viongozi. Badala ya kuhoji kwann mkataba wa fei ni wa thamani ndogo kuliko mchango wake uwanjani wao wanafanya ibada kwa viongozi.
 
Kapambanie jezi zenu huko Ethiopia mambo ya jirani utachelewa kufika
 
Hayo tuyaache, muhimu utopolo wamepiga magoti kwa Fei.
We huwajui wabongo kwa fitna Fei ni ganda la muwa for now likiisha utamu atatupiwa chungu aone kivuno! Yani siku akishuka kiwango tunamrudisha JKU au SBS! Klabu ni kubwa kuliko mchezaji.itabaki hivyo! Yes for now Feitoto ni tegemeo Utopoloni kwetu tunakubali na kupiga magoti, kwani kupiga magoti sh ngapi si tunataka mabao ya dogo Mwendokasi Fei
 
Inatokana na kuabudu viongozi. Badala ya kuhoji kwann mkataba wa fei ni wa thamani ndogo kuliko mchango wake uwanjani wao wanafanya ibada kwa viongozi.
Hawajui kuhoji, wengi ni bendera fuata upepo, chochote anachosema kiongozi wanashangilia.
 
Reactions: Tsh
Hee unaandika vitu gani, kama una ushahidi weka hapa, usilete longolongo ...

Siku zote nilikuwa nasema Fei ndie mwenye haki, lakini sijawahi kuandika anaenda wapi.
Unataka ushahidi upi hushawahi kuniona humu nimesema Fei kauzwa.

Mimi nimeona humu JF mashabiki wenzako wa Simba waliscreenshot kutoka kwenye page za Jemedari na Dauda kwamba Feisal amuzwaa baada ya kununua mkataba kwa 110m, wenzako hao hao wakapost barua yake ya kuwaaga Yanga kwamba anaenda Uarabuni, wakapost mpaka clip akiwa kwenye gym Uarabuni.

Au kwani humu wanaongoza kujadili mkataba wa Feisal wakina nani ,maana hata hii habari si umeileta ww kama wenzako walivyoleta hizo screenshot toka kwa Jemedari ,Dauda na Page yake mwenyewe Feisal au.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…