Sakata la Fei Toto na Yanga SC, hatimaye ukweli wajulikana

Mbona hauna msimamo, mara useme mimi, mara wenzangu, mara Jemedari na Shafih[emoji1787][emoji1787]
 
Muhimu kwa sasa mlienda Zanzibar kumpigia Fei magoti, hayo mengine ya maganda ya muwa, naona tuyaache shambani.
 
Uliandika mimi niliwahi andika humu jf Fei kauzwa timu fulani, ndio nataka ushahidi huo toka kwako.
Hebu refer sehemu niliyosema niliyo kutaja ni WEWE....... itafute kwenye comment zangu may labda hujui kiswahili.
 
Sasa ukiona Fei na Yanga wamemalizana ujue TFF walikuwa sahih cos walikuambia akaakae na Yanga wamalizane! Sasa si wamemalizana baada ya kukaa wenyewe?
 
Sasa ukiona Fei na Yanga wamemalizana ujue TFF walikuwa sahih cos walikuambia akaakae na Yanga wamalizane! Sasa si wamemalizana baada ya kukaa wenyewe?
Eti umeandika nini?

Umeletewa shauri ili kulitolea maamuzi, halafu unawaambia tena wakakae chini wamalizane, maana yake unayetakiwa kutoa maamuzi hujitambui, huijui kazi yako.

Wewe mwenzio kapanda boti kaenda kutulia kwao, unamfuata huko kumbembeleza, kama haki ni yako unabembeleza nini? mpaka hapo hujajua haki ilikuwa upande upi? wacha utani.
 
Wewe nionyeshe wapi nilipo kuambia ww umeleta....... kumbe kiswahili kwako ni kigumu.
Kweli huko kwenu wenye akili ni wawili tu..

Umeandika "mlisema" hujui hapo umeniunganisha na hao wengine? ndio nikakwambia nioneshe mimi niliungana nao wapi, ajabu unanitajia majina ya Jemedari, Shafii, sijui na nini kingine...
 
Mna mechi na Raja keshokutwa, jikiteni kupata matokeo siyo kujificha nyuma ya mikataba ya wachezaji wa Yanga.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kweli huko kwenu wenye akili ni wawili tu..

Umeandika "mlisema" hujui hapo umeniunganisha na hao wengine? ndio nikakwambia nioneshe mimi niliungana nao wapi, ajabu unanitajia majina ya Jemedari, Shafii, sijui na nini kingine...
Mlisema lina apply kwa watu wangapi?
 
Nilipoona Mambo yapo wazi nikajua Kuna reliable source umeiweka kumbe ni haya magazeti yanayochambiwa chooni?, Una uhakika gani na uliyoyasema? Je kama Fei kaomba Mambo yaishe aongeze mkataba?. Fei huyu si aliwaambia hataki kucheza Yanga? Huo mkataba ameongeza ili acheze Tp mazembe?. Puuzi wewe wahediiiii
 
Peleka ushahidi wako mahala husika gazeti lifungiwe kama limeandika uongo, Fei kawavua nguo msilete makasiriko yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…