Sasa hiyo kesi ya bilion 20 aligungulia wapi?? Matapeli wa ardhi yamejaa kibao. Yanachukua ardhi za maskini halafu yanahinga mahakaman yanachukua Mali za watuIna semekana Johnson yuko selo ya polisi ostabey leo siku ya tano bila dhamana wala mawakili na ndugu zake kuruhusiwa kumuona.
Pia kuna tetesi za kumfungulia kesi ya uhujumu uchumi.
Mpaka kufikia waziri na kamati nzima ya ulinzi na usalama mkoa kuamua na kushuhudia ghorofa likivunjwa!Sheria ina utaratibu, kama kashinda mahakamani, aliyeshinda aende mahakamani akabidhiwe alichoshinda, na kama walioshindwa wamesharau mahakama, sheria ina maelekezo, unamkamata wewe Waziri ili iweje?
Inaonekana mtoa mada ana maslahi na huyo jamaa.....si unaona hata alivyomalizia.....Hili ghorofa limevunjwa juzi tu,hivi huyo mdai ambaye ni maholulu ameshaenda mahakamani na hukumu imetoka kwamba serikali ilipe au sijaelewa?
Ni dhahiri mtoa mada ana maslahi na huyo tapeli kwa namna alivyoiwasilisha taarifa yakeMpaka kufikia waziri na kamati nzima ya ulinzi na usalama mkoa kuamua na kushuhudia ghorofa likivunjwa!
Na huyo Mahululu akakimbilia Dodoma mpaka alipokamatwa na kuletwa Dsm!
Unadhami walikurupuka bila kujiridhisha,ikiwemo kupitia mahakamani na kutumia Hati za mahakamani kulivunja?
Baadhi ya watu humu wana mihemko ya kisiasa hata kwa mambo yasiyo ya kisiasa.
Akiwemo huyu chiembe ambaye ni mleta hoja na mpinga Serikali of all things hata vile venye kuwa wrongfully
Fedha zipi zimelipwa?Naomba nielimishwe, fedha za fidia za namna hii utolewa fungu gani ndani ya Wizara husika? Je zinakuwa allocated ndani ya bajeti ya Mwaka wa Fedha husika?
Kabisaaa!Inaonekana mtoa mada ana maslahi na huyo jamaa.....si unaona hata alivyomalizia.....
Nyie matapeli wa viwanja mnaushirikiano sawa na wauza ngadaSource: Youtube-wakiliTv, taarifa ya Wakili Dickson Matata
Nilisema kwamba haya mambo ya kujifanya mwendesha mashitaka na hakimu anayofanya Jerry Silaa yasipoangaliwa, ataitia nchi hasara kubwa sana.
Sasa watanzania wataingia hasara ya bilioni 20 ili kumlipa Johnson Mahululu baada ya Jerry Silaa kuvunja ghorofa lake, kumdhalilisha kumuita tapeli wakati hana hukumu ya mahakama iliyompata na hatia ya utapeli, na kumharibia jina na biashara zake.
Niliwahi kuonya humu kwamba wizara kubwa na nzito wasipewe watoto, hawa watoto waanzie wizara ya michezo, utamaduni na kwingine.
Nimefuatilia kule Mwanza, anatangatanga na Polisi kwemye mikutano, na wale ambao hawajaelewa maelezo yake, anatoa amri wakamatwe na Polisi. Kimsingi, analeta chaos kubwa sana.
Ameenda kuonana na RPC na kutoa amri (udikteta ambao samia hataki) kwamba Johnson Mahululu anyimwe dhamana, ana siku tano hajatoka.
Tunajua weekend iliyoisha ilibidi awahi kikao mahali akutane na bosi wake mkubwa., tunaipa angalizo serikali dhidi ya Jerry Silaa
Nyie matapeli wa viwanja mnaushirikiano sawa na wauza ngadaSource: Youtube-wakiliTv, taarifa ya Wakili Dickson Matata
Nilisema kwamba haya mambo ya kujifanya mwendesha mashitaka na hakimu anayofanya Jerry Silaa yasipoangaliwa, ataitia nchi hasara kubwa sana.
Sasa watanzania wataingia hasara ya bilioni 20 ili kumlipa Johnson Mahululu baada ya Jerry Silaa kuvunja ghorofa lake, kumdhalilisha kumuita tapeli wakati hana hukumu ya mahakama iliyompata na hatia ya utapeli, na kumharibia jina na biashara zake.
Niliwahi kuonya humu kwamba wizara kubwa na nzito wasipewe watoto, hawa watoto waanzie wizara ya michezo, utamaduni na kwingine.
Nimefuatilia kule Mwanza, anatangatanga na Polisi kwemye mikutano, na wale ambao hawajaelewa maelezo yake, anatoa amri wakamatwe na Polisi. Kimsingi, analeta chaos kubwa sana.
Ameenda kuonana na RPC na kutoa amri (udikteta ambao samia hataki) kwamba Johnson Mahululu anyimwe dhamana, ana siku tano hajatoka.
Tunajua weekend iliyoisha ilibidi awahi kikao mahali akutane na bosi wake mkubwa., tunaipa angalizo serikali dhidi ya Jerry Silaa
Huyu alieandika ni nduguHili ghorofa limevunjwa juzi tu,hivi huyo mdai ambaye ni maholulu ameshaenda mahakamani na hukumu imetoka kwamba serikali ilipe au sijaelewa?
Yaan umemsikia wakili anaongea kwenye You Tube, wakati ukweli jamaa yupo Lupango. Tayari thread. Hiyo ghorofa sidhani kama ina dhaman hiyo.Source: Youtube-wakiliTv, taarifa ya Wakili Dickson Matata
Nilisema kwamba haya mambo ya kujifanya mwendesha mashitaka na hakimu anayofanya Jerry Silaa yasipoangaliwa, ataitia nchi hasara kubwa sana.
Sasa watanzania wataingia hasara ya bilioni 20 ili kumlipa Johnson Mahululu baada ya Jerry Silaa kuvunja ghorofa lake, kumdhalilisha kumuita tapeli wakati hana hukumu ya mahakama iliyompata na hatia ya utapeli, na kumharibia jina na biashara zake.
Niliwahi kuonya humu kwamba wizara kubwa na nzito wasipewe watoto, hawa watoto waanzie wizara ya michezo, utamaduni na kwingine.
Nimefuatilia kule Mwanza, anatangatanga na Polisi kwemye mikutano, na wale ambao hawajaelewa maelezo yake, anatoa amri wakamatwe na Polisi. Kimsingi, analeta chaos kubwa sana.
Ameenda kuonana na RPC na kutoa amri (udikteta ambao samia hataki) kwamba Johnson Mahululu anyimwe dhamana, ana siku tano hajatoka.
Tunajua weekend iliyoisha ilibidi awahi kikao mahali akutane na bosi wake mkubwa., tunaipa angalizo serikali dhidi ya Jerry Silaa
Umemjibu kwa nguvu kabisa Jamaa tapel tena huenda NI wale wa tuma hela kwenye namba hiiUmejikanyaga Kanyaga na hujatueleza Jerry Slaa amekosea wapi na huyo Mahululu anavyo vielelezo gani hadi wewe utowe hukumu dhidi ya Waziri Jerry Slaa?
Umejithibitusha kwamba kila anaefungua madai dhidi ya serikali ni lazima ashinde?
Au kwa sababu ya land grabers kuwa na Cartel inayowashirikisha watu wa kwenye mfumo wao?
Huko Mwanza woote tumeiona ile Clip ambayo mama yule Maskini alirudishiwa viwanja vyake viwili baada ya kushinda kesi hadi mahakama ya rufaa Tanzania.
Wale matapeli walikuwa wanamzingua na rundo la makaratasi.
Aliwauliza mara kadhaa tena mbele ya ma Afisa ardhi kama nyaraka walizo nazo na za yule mama kama sio zilizotumika mahakamani?
Wakajibu ndio hizo!
Akawauliza tena...
Kesi hii si ndio imetoka mahakamani kwenye mahakama kuu ya rufaa wakajibu ndio!
Sasa kama walitaka avunje sheria kwa jambo ambalo tayari limeamriwa na mahakama ya rufaa mara mbili.....
Wewe mleta mada ni sehemu ya matapeli wa ardhi nchi hii.
Mpuuzi unayejifanya kujua kumbe hujui.
Nchi hii wafuatiliaji sio wewe au genge fulani pekee.tuko wengi na tunaona haki zikiporwa na majizi ya sampuli yako.
Acha kuwa mjuaji saaana!
Umemjibu kwa nguvu kabisa Jamaa tapel tena huenda NI wale wa tuma hela kwenye namba hiiUmejikanyaga Kanyaga na hujatueleza Jerry Slaa amekosea wapi na huyo Mahululu anavyo vielelezo gani hadi wewe utowe hukumu dhidi ya Waziri Jerry Slaa?
Umejithibitusha kwamba kila anaefungua madai dhidi ya serikali ni lazima ashinde?
Au kwa sababu ya land grabers kuwa na Cartel inayowashirikisha watu wa kwenye mfumo wao?
Huko Mwanza woote tumeiona ile Clip ambayo mama yule Maskini alirudishiwa viwanja vyake viwili baada ya kushinda kesi hadi mahakama ya rufaa Tanzania.
Wale matapeli walikuwa wanamzingua na rundo la makaratasi.
Aliwauliza mara kadhaa tena mbele ya ma Afisa ardhi kama nyaraka walizo nazo na za yule mama kama sio zilizotumika mahakamani?
Wakajibu ndio hizo!
Akawauliza tena...
Kesi hii si ndio imetoka mahakamani kwenye mahakama kuu ya rufaa wakajibu ndio!
Sasa kama walitaka avunje sheria kwa jambo ambalo tayari limeamriwa na mahakama ya rufaa mara mbili.....
Wewe mleta mada ni sehemu ya matapeli wa ardhi nchi hii.
Mpuuzi unayejifanya kujua kumbe hujui.
Nchi hii wafuatiliaji sio wewe au genge fulani pekee.tuko wengi na tunaona haki zikiporwa na majizi ya sampuli yako.
Acha kuwa mjuaji saaana!
Umemjibu kwa nguvu kabisa Jamaa tapel tena huenda NI wale wa tuma hela kwenye namba hiiUmejikanyaga Kanyaga na hujatueleza Jerry Slaa amekosea wapi na huyo Mahululu anavyo vielelezo gani hadi wewe utowe hukumu dhidi ya Waziri Jerry Slaa?
Umejithibitusha kwamba kila anaefungua madai dhidi ya serikali ni lazima ashinde?
Au kwa sababu ya land grabers kuwa na Cartel inayowashirikisha watu wa kwenye mfumo wao?
Huko Mwanza woote tumeiona ile Clip ambayo mama yule Maskini alirudishiwa viwanja vyake viwili baada ya kushinda kesi hadi mahakama ya rufaa Tanzania.
Wale matapeli walikuwa wanamzingua na rundo la makaratasi.
Aliwauliza mara kadhaa tena mbele ya ma Afisa ardhi kama nyaraka walizo nazo na za yule mama kama sio zilizotumika mahakamani?
Wakajibu ndio hizo!
Akawauliza tena...
Kesi hii si ndio imetoka mahakamani kwenye mahakama kuu ya rufaa wakajibu ndio!
Sasa kama walitaka avunje sheria kwa jambo ambalo tayari limeamriwa na mahakama ya rufaa mara mbili.....
Wewe mleta mada ni sehemu ya matapeli wa ardhi nchi hii.
Mpuuzi unayejifanya kujua kumbe hujui.
Nchi hii wafuatiliaji sio wewe au genge fulani pekee.tuko wengi na tunaona haki zikiporwa na majizi ya sampuli yako.
Acha kuwa mjuaji saaana!
Mahakama zipi mkuu hizihizi za maelekezo kutoka juuSuluhu siyo kutumia ubabe wa kiongozi. Mahakama ndiyo chombo cha kutoa haki.
Uko sahihi mkuu!Umemjibu kwa nguvu kabisa Jamaa tapel tena huenda NI wale wa tuma hela kwenye namba hii