Sakata la Jerry Silaa kuvunja majumba ya watu nchi nzima: Johnson Mahululu aidai serikali ya Tanzania bilioni 20

Sakata la Jerry Silaa kuvunja majumba ya watu nchi nzima: Johnson Mahululu aidai serikali ya Tanzania bilioni 20

Kwa Nini asingeongeza nguvu kwenye issue za kupanga miji yenye wakazi wengi kama Dar es salaam na kuondoa makazi holela kuliko nguvu hizi anazotumia!? Kamalizana na Petro station Sasa karudi Huku Tena!?
Hana habari, kuna mradi wa hati za kidigitali, umekwama Dsm, na hizo ndizo zingepunguza utapeli wa maafisa ardhi wake.

Bunge mwaka jana liliidhinisha bilioni 350 za mradi wa ardhi na upimaji, hana habari.

Samia aliunda Tume ya kutatua migogoro ya ngazi ya kitaifa ikiundwa na mawaziri, hana habari.
 
Mpaka kufikia waziri na kamati nzima ya ulinzi na usalama mkoa kuamua na kushuhudia ghorofa likivunjwa!
Na huyo Mahululu akakimbilia Dodoma mpaka alipokamatwa na kuletwa Dsm!
Unadhami walikurupuka bila kujiridhisha,ikiwemo kupitia mahakamani na kutumia Hati za mahakamani kulivunja?

Baadhi ya watu humu wana mihemko ya kisiasa hata kwa mambo yasiyo ya kisiasa.
Akiwemo huyu chiembe ambaye ni mleta hoja na mpinga Serikali of all things hata vile venye kuwa wrongfully
Huyo mama alishaenda Mahakama zote nchini akashindwa
 
Yawezekana ni mbinu ya kuchota hela za serikali iliyoandaliwa vema na vigogo wa serikali kwa kuwatumia Johnson Mahululu na waziri Slaa.

Ghorofa libomolewe, Mahululu aende mahakamani halafu adai fidia ya mabilioni. Serikali ilipe hayo mabilioni kisha Mahululu apozwe kwa bilioni 2 au 4.

Script hii ya kuchota hela za serikali imeandaliwa kwa ustadi mkubwa sana. Mpk uwe umesoma Cuba ndiyo utaielewa.
1711033428335.jpeg
 
Source: Youtube-wakiliTv, taarifa ya Wakili Dickson Matata

Nilisema kwamba haya mambo ya kujifanya mwendesha mashitaka na hakimu anayofanya Jerry Silaa yasipoangaliwa, ataitia nchi hasara kubwa sana.

Sasa watanzania wataingia hasara ya bilioni 20 ili kumlipa Johnson Mahululu baada ya Jerry Silaa kuvunja ghorofa lake, kumdhalilisha kumuita tapeli wakati hana hukumu ya mahakama iliyompata na hatia ya utapeli, na kumharibia jina na biashara zake.

Niliwahi kuonya humu kwamba wizara kubwa na nzito wasipewe watoto, hawa watoto waanzie wizara ya michezo, utamaduni na kwingine.

Nimefuatilia kule Mwanza, anatangatanga na Polisi kwemye mikutano, na wale ambao hawajaelewa maelezo yake, anatoa amri wakamatwe na Polisi. Kimsingi, analeta chaos kubwa sana.

Ameenda kuonana na RPC na kutoa amri (udikteta ambao samia hataki) kwamba Johnson Mahululu anyimwe dhamana, ana siku tano hajatoka.

Tunajua weekend iliyoisha ilibidi awahi kikao mahali akutane na bosi wake mkubwa., tunaipa angalizo serikali dhidi ya Jerry Silaa
tujifunze kutokana na makosa.
 
Legal system ya nchi ni principles ambazo zimekuwa generated miaka kibao kwa kufuata misingi ya kitafiti na Hukumu za ma judge wenye akili Sana hasa nchi zinazofuata common law adversarial system

🔹Hizi mahakama za mikutano ya hadhara za kusikiliza kesi papo kwa papo mbele ya wananchi huku ukishangiliwa na kutoa Hukumu hapo hapo ( KANGAROO COURTS)bila kufuata zile procedure za NATURAL JUSTICE Zina madhara makubwa Sana baadaye
THE COURT IS SO JEALOUS OF HIS POWERS BEING TAKEN AWAY
 
Kwa Nini asingeongeza nguvu kwenye issue za kupanga miji yenye wakazi wengi kama Dar es salaam na kuondoa makazi holela kuliko nguvu hizi anazotumia!? Kamalizana na Petro station Sasa karudi Huku Tena!?
Dar kuna squatter nyingi za kuzibomoa na kuZipangilia vzr

Ova
 
Yawezekana ni mbinu ya kuchota hela za serikali iliyoandaliwa vema na vigogo wa serikali kwa kuwatumia Johnson Mahululu na waziri Slaa.

Ghorofa libomolewe, Mahululu aende mahakamani halafu adai fidia ya mabilioni. Serikali ilipe hayo mabilioni kisha Mahululu apozwe kwa bilioni 2 au 4.

Script hii ya kuchota hela za serikali imeandaliwa kwa ustadi mkubwa sana. Mpk uwe umesoma Cuba ndiyo utaielewa.
Yes, there you speak. huwa nawaza the same thing.
 
Kuishitaki serikali ama kumshitaki waziri wa ardhi kwenye kesi ya umiliki wa ardhi ni kama unatwanga maji kwenye kinu.

Tambua kwenye katiba yetu ya nchi Rais ndie ana custody ya ardhi yote iliyo ndani ya Tanzania. Yeye ndie ana mamlaka ya kufuta hati ya ardhi yoyote iliyo ndani ya Tanzania.

Rais haitaji hukumu ya mahakama. Ili kufuta hati ya mtu.

Jerry silaa ametumwa na rais ndio maana juzi kapewa sifa nyingi na rais kwamba ndie waziri ambae anafanya kazi nzuri
Ndugu yangu kasome Land law vizuri na katiba yetu ya JMT, wewe ungezungumzia uhalali wa uvunjaji wa hilo jengo, kuhusu umiliki wa ardhi, rudia kusoma sheria vizuri
 
Hao matapeli huko mahakamani
Wanacheza napo......

Ova
Tatizo hata waziri pia matapeli yanaweza kucheza naye. Tuna uhakika gani kwamba waziri anahujumu kwa haki?

Yawezekana matapeli yamecheza naye mmiliki halali akaporwa eneo lake na waziri halafu anapewa tapeli
 
Legal system ya nchi ni principles ambazo zimekuwa generated miaka kibao kwa kufuata misingi ya kitafiti na Hukumu za ma judge wenye akili Sana hasa nchi zinazofuata common law adversarial system

[emoji843]Hizi mahakama za mikutano ya hadhara za kusikiliza kesi papo kwa papo mbele ya wananchi huku ukishangiliwa na kutoa Hukumu hapo hapo ( KANGAROO COURTS)bila kufuata zile procedure za NATURAL JUSTICE Zina madhara makubwa Sana baadaye
THE COURT IS SO JEALOUS OF HIS POWERS BEEN TAKEN AWAY
Beeing not been
 
Sheria ina utaratibu, kama kashinda mahakamani, aliyeshinda aende mahakamani akabidhiwe alichoshinda, na kama walioshindwa wamesharau mahakama, sheria ina maelekezo, unamkamata wewe Waziri ili iweje?
Hapa nimekushtukia!! Nilishaiamini report yako kwa nguvu zote,ila hapana! Hebu tuambie vizuri.
 
Ndugu yangu kasome Land law vizuri na katiba yetu ya JMT, wewe ungezungumzia uhalali wa uvunjaji wa hilo jengo, kuhusu umiliki wa ardhi, rudia kusoma sheria vizuri

Hati zote zina kipengele kimeandikwa kwamba rais ana haki ya kufuta hati kwa ajili ya public interest
 
Acha unyumbu wa kipumbavu, unataka Tanzania wote twende kwenye katiba? Nani atafanya biashara?
Umbumbumbu ni sawa na kubeba gunia la mavi, ukipita unanuka na ukiongeza unanuka. Hivi huelewi uhusiano kati ya siasa na maisha?? Hujui kuwa mwenendo wa biashara unategemea siasa?

Husikii wafanyabiashara wakilalamikia utitiri wa Kodi na tozo pamoja na ukubwa wa hizo Kodi na tozo? Ni nani walizipanga hizo Kodi na tozo kama siyo sheria na kanuni zilizotungwa na wanasiasa?

Kama wewe ni bodaboda(na kwa vyovyote wewe ni bodaboda) kumbuka wanasiasa hao hao ndiyo walitunga sheria 2010 kuruhusu bodaboda kuwa chombo cha usafiri. Kabla ya hapo ilikuwa marufuku.
 
Kuishitaki serikali ama kumshitaki waziri wa ardhi kwenye kesi ya umiliki wa ardhi ni kama unatwanga maji kwenye kinu.

Tambua kwenye katiba yetu ya nchi Rais ndie ana custody ya ardhi yote iliyo ndani ya Tanzania. Yeye ndie ana mamlaka ya kufuta hati ya ardhi yoyote iliyo ndani ya Tanzania.

Rais haitaji hukumu ya mahakama. Ili kufuta hati ya mtu.

Jerry silaa ametumwa na rais ndio maana juzi kapewa sifa nyingi na rais kwamba ndie waziri ambae anafanya kazi nzuri
ardhi ni mali ya uma trusted to the president,ni kweli.lakini kuna watu wana interest juu yake, kama vile wanaojenga au kufanya shughuli juu yake. kufanya chochote kinachoathiri maslahi haya ya watu kunatakiwa kufanyika kwa mujibu wa sheria. hata rais hayupo juu ya sheria, hawezi kufanya chochote hata kama kinakuathiri ati kwasababu yeye ni rais.

Ndio maana sheria zimewekwa. AG alishatoa pendekezo sheria zitungwe kuwafanya hawa viongozi wanaotia hasara watu na kusababisha serikali kushtakiwa, wawe responsible kwa matendo yao binafsi. hata hivyo, sidhani kama waziri ana kinga hiyo ya kutoshtakiwa akikiuka sheria, hayupo juu ya sheria, decision yeyote inayoathiri maslahi ya mtu lazima itolewe sababu ya kufanya hivyo na chombo kilichowekwa na sheria kutoa maamuzi/haki. dunia yote ipo hivyo hata nchi yako ya tz ina katiba yake inayoongea hivyo.

shida ni kwamba halmashauri imejaa wanasheria ambao ni weak kwenye practice, na wanawashauri vibaya sana mawazili na viongozi wengine, jerry mwenyewe ni mwanasheria ambaye sina uhakika kama aliwahi kukanyaga mahakamani kama wakili. hao wanasheria wanaowashauri hawa wawe wanapikwa vizuri ili wawashauri vyema wasisababishe hasara kwa wananchi na kwa serikali, pia ili kulinda utawala wa sheria. pasipokuwepo nautawala wa sheria kila mtu atachukua sheria mkononi na patachafuka. kwa mwenye akilia takuwa amenielewa.
 
Back
Top Bottom