Hana habari, kuna mradi wa hati za kidigitali, umekwama Dsm, na hizo ndizo zingepunguza utapeli wa maafisa ardhi wake.Kwa Nini asingeongeza nguvu kwenye issue za kupanga miji yenye wakazi wengi kama Dar es salaam na kuondoa makazi holela kuliko nguvu hizi anazotumia!? Kamalizana na Petro station Sasa karudi Huku Tena!?
Huyo mama alishaenda Mahakama zote nchini akashindwaMpaka kufikia waziri na kamati nzima ya ulinzi na usalama mkoa kuamua na kushuhudia ghorofa likivunjwa!
Na huyo Mahululu akakimbilia Dodoma mpaka alipokamatwa na kuletwa Dsm!
Unadhami walikurupuka bila kujiridhisha,ikiwemo kupitia mahakamani na kutumia Hati za mahakamani kulivunja?
Baadhi ya watu humu wana mihemko ya kisiasa hata kwa mambo yasiyo ya kisiasa.
Akiwemo huyu chiembe ambaye ni mleta hoja na mpinga Serikali of all things hata vile venye kuwa wrongfully
Yawezekana ni mbinu ya kuchota hela za serikali iliyoandaliwa vema na vigogo wa serikali kwa kuwatumia Johnson Mahululu na waziri Slaa.
Ghorofa libomolewe, Mahululu aende mahakamani halafu adai fidia ya mabilioni. Serikali ilipe hayo mabilioni kisha Mahululu apozwe kwa bilioni 2 au 4.
Script hii ya kuchota hela za serikali imeandaliwa kwa ustadi mkubwa sana. Mpk uwe umesoma Cuba ndiyo utaielewa.
tujifunze kutokana na makosa.Source: Youtube-wakiliTv, taarifa ya Wakili Dickson Matata
Nilisema kwamba haya mambo ya kujifanya mwendesha mashitaka na hakimu anayofanya Jerry Silaa yasipoangaliwa, ataitia nchi hasara kubwa sana.
Sasa watanzania wataingia hasara ya bilioni 20 ili kumlipa Johnson Mahululu baada ya Jerry Silaa kuvunja ghorofa lake, kumdhalilisha kumuita tapeli wakati hana hukumu ya mahakama iliyompata na hatia ya utapeli, na kumharibia jina na biashara zake.
Niliwahi kuonya humu kwamba wizara kubwa na nzito wasipewe watoto, hawa watoto waanzie wizara ya michezo, utamaduni na kwingine.
Nimefuatilia kule Mwanza, anatangatanga na Polisi kwemye mikutano, na wale ambao hawajaelewa maelezo yake, anatoa amri wakamatwe na Polisi. Kimsingi, analeta chaos kubwa sana.
Ameenda kuonana na RPC na kutoa amri (udikteta ambao samia hataki) kwamba Johnson Mahululu anyimwe dhamana, ana siku tano hajatoka.
Tunajua weekend iliyoisha ilibidi awahi kikao mahali akutane na bosi wake mkubwa., tunaipa angalizo serikali dhidi ya Jerry Silaa
Inawezekana ni dili za watu tuna kuvunjia unaenda mahakamani then unatushitaki unashinda tunagawanaKama ni kweli lile ghorofa halikuvunjwa kwa amri ya mahakama, basi hii nchi ni ya ajabu
Hao matapeli huko mahakamaniSuluhu siyo kutumia ubabe wa kiongozi. Mahakama ndiyo chombo cha kutoa haki.
Dar kuna squatter nyingi za kuzibomoa na kuZipangilia vzrKwa Nini asingeongeza nguvu kwenye issue za kupanga miji yenye wakazi wengi kama Dar es salaam na kuondoa makazi holela kuliko nguvu hizi anazotumia!? Kamalizana na Petro station Sasa karudi Huku Tena!?
Yes, there you speak. huwa nawaza the same thing.Yawezekana ni mbinu ya kuchota hela za serikali iliyoandaliwa vema na vigogo wa serikali kwa kuwatumia Johnson Mahululu na waziri Slaa.
Ghorofa libomolewe, Mahululu aende mahakamani halafu adai fidia ya mabilioni. Serikali ilipe hayo mabilioni kisha Mahululu apozwe kwa bilioni 2 au 4.
Script hii ya kuchota hela za serikali imeandaliwa kwa ustadi mkubwa sana. Mpk uwe umesoma Cuba ndiyo utaielewa.
Acha unyumbu wa kipumbavu, unataka Tanzania wote twende kwenye katiba? Nani atafanya biashara?acha wakome wakiitwa kwenye katiba wanajiweka pembeni kwamba wao si wanasiasa
Ndugu yangu kasome Land law vizuri na katiba yetu ya JMT, wewe ungezungumzia uhalali wa uvunjaji wa hilo jengo, kuhusu umiliki wa ardhi, rudia kusoma sheria vizuriKuishitaki serikali ama kumshitaki waziri wa ardhi kwenye kesi ya umiliki wa ardhi ni kama unatwanga maji kwenye kinu.
Tambua kwenye katiba yetu ya nchi Rais ndie ana custody ya ardhi yote iliyo ndani ya Tanzania. Yeye ndie ana mamlaka ya kufuta hati ya ardhi yoyote iliyo ndani ya Tanzania.
Rais haitaji hukumu ya mahakama. Ili kufuta hati ya mtu.
Jerry silaa ametumwa na rais ndio maana juzi kapewa sifa nyingi na rais kwamba ndie waziri ambae anafanya kazi nzuri
Tatizo hata waziri pia matapeli yanaweza kucheza naye. Tuna uhakika gani kwamba waziri anahujumu kwa haki?Hao matapeli huko mahakamani
Wanacheza napo......
Ova
Beeing not beenLegal system ya nchi ni principles ambazo zimekuwa generated miaka kibao kwa kufuata misingi ya kitafiti na Hukumu za ma judge wenye akili Sana hasa nchi zinazofuata common law adversarial system
[emoji843]Hizi mahakama za mikutano ya hadhara za kusikiliza kesi papo kwa papo mbele ya wananchi huku ukishangiliwa na kutoa Hukumu hapo hapo ( KANGAROO COURTS)bila kufuata zile procedure za NATURAL JUSTICE Zina madhara makubwa Sana baadaye
THE COURT IS SO JEALOUS OF HIS POWERS BEEN TAKEN AWAY
Hapa nimekushtukia!! Nilishaiamini report yako kwa nguvu zote,ila hapana! Hebu tuambie vizuri.Sheria ina utaratibu, kama kashinda mahakamani, aliyeshinda aende mahakamani akabidhiwe alichoshinda, na kama walioshindwa wamesharau mahakama, sheria ina maelekezo, unamkamata wewe Waziri ili iweje?
Ndugu yangu kasome Land law vizuri na katiba yetu ya JMT, wewe ungezungumzia uhalali wa uvunjaji wa hilo jengo, kuhusu umiliki wa ardhi, rudia kusoma sheria vizuri
Umbumbumbu ni sawa na kubeba gunia la mavi, ukipita unanuka na ukiongeza unanuka. Hivi huelewi uhusiano kati ya siasa na maisha?? Hujui kuwa mwenendo wa biashara unategemea siasa?Acha unyumbu wa kipumbavu, unataka Tanzania wote twende kwenye katiba? Nani atafanya biashara?
ardhi ni mali ya uma trusted to the president,ni kweli.lakini kuna watu wana interest juu yake, kama vile wanaojenga au kufanya shughuli juu yake. kufanya chochote kinachoathiri maslahi haya ya watu kunatakiwa kufanyika kwa mujibu wa sheria. hata rais hayupo juu ya sheria, hawezi kufanya chochote hata kama kinakuathiri ati kwasababu yeye ni rais.Kuishitaki serikali ama kumshitaki waziri wa ardhi kwenye kesi ya umiliki wa ardhi ni kama unatwanga maji kwenye kinu.
Tambua kwenye katiba yetu ya nchi Rais ndie ana custody ya ardhi yote iliyo ndani ya Tanzania. Yeye ndie ana mamlaka ya kufuta hati ya ardhi yoyote iliyo ndani ya Tanzania.
Rais haitaji hukumu ya mahakama. Ili kufuta hati ya mtu.
Jerry silaa ametumwa na rais ndio maana juzi kapewa sifa nyingi na rais kwamba ndie waziri ambae anafanya kazi nzuri