Sakata la Jerry Silaa kuvunja majumba ya watu nchi nzima: Johnson Mahululu aidai serikali ya Tanzania bilioni 20

Sakata la Jerry Silaa kuvunja majumba ya watu nchi nzima: Johnson Mahululu aidai serikali ya Tanzania bilioni 20

Wakili anaongea taratibu sana, mb zinapotea ovyo
Ila amepiga mawe ya kutosha, hakika Matata ana matata kweli kweli, a pure lawyer making his pawerful, impermiable, water tight submissions
 
Ni ubatili mtupu na uonevu. Tulisema haya mambo iachie Mahakama itoe haki. Jerry Slaa hawezi kutoa haki maana hana mamlaka ya kutoa haki. Anaweza aka-initiate process ya kupatika haki na si kutoa maamuzi kama vile yeye ni mahakama. Mfano kuvunja Ghorofa ya mtu bila amri ya Mahakama.

Sikiliza kisa cha kuhuzunisha cha ukiukwaji Mkubwa wa Haki uliofanywa na Jerry Slaa!

Verry unpleasant kwa mtu wa level ya kwake kufanya alichokifanya



View: https://youtu.be/xTWIKdgZxrQ

Mawakili ndiyo kwa upande wanawasaidia hawa wezi wa ardhi za watu by100%,
(background history ya eneo ndiyo muhimu zaidi, wahuni wenye fedha zao hutumia fedha kupindisha ukweli wa eneo husika)
 
Shikilia hapo hapo jerry.Dawa imeanza kuingia.piga kazi hawa chawa w matapeli wackutishe kabisaa.
Tapeli ana nyaraka za wizara ya ardhi, kwa nini asiulize hapo wizarani walipoitoa hiyo hati? Mbona hatumsikii akiwasema watumishi wake na kuwawajibisha?
 
Hii sasa ni pattern of behaviour inayojitokeza. Watanzania wa twitter republic na wafuasi wa upinzani ni mahodari sana wa kukatisha tamaa viongozi hasa mawaziri wanaojaribu kurekebisha mambo. Same kwa wakuu wa wilaya na mikoa wanapojaribu kutatua migogoro.

Ilikuwa hivi hivi kwa Jaffo, Gwajima na sasa mnaanza kwa Slaa. Hata sijui mnataka nini, hakuna siku utaamka utakuta mambo yapo shwari tu lazima kuwe na watu wakupambana kuyaweka sawa.
Huyo na komwe lake mpaka limefunika macho kama kofia aache due legal process ifanye kazi, wizara yake ni mtuhumiwa wa kutoa hati mbili, anatakiwa awe kizimbani, cha ajabu mtuhumiwa ndio anaamua kesi yake.

Kama Wizara yake ilitoa hati mbili, kwa nini isimfidie waliyemuingiza chaka, aachie kiwanja, wampe wanayeona yuko sahihi?
 
Hajaongelea tittle.
So, it's pure rubbish.
Title ya huyo mama anayetetewa na Jerry Silaa ilitolewa baadae, ilianza ya huyo aliyevunjiwa, First in time, first in right, Wizara ya ardhi ndio wamemuingiza huyo mama chaka kumpa kiwanja ambacho tayari kina mtu.

Na huyo mama kapigwa mpaka mahakama kuu
 
Huyo na komwe lake mpaka limefunika macho kama kofia aache due legal process ifanye kazi, wizara yake ni mtuhumiwa wa kutoa hati mbili, anatakiwa awe kizimbani, cha ajabu mtuhumiwa ndio anaamua kesi yake.

Kama Wizara yake ilitoa hati mbili, kwa nini isimfidie waliyemuingiza chaka, aachie kiwanja, wampe wanayeona yuko sahihi?

View: https://m.youtube.com/watch?v=6MKF_cUVZTY

Sikiliza sasa wananchi wenyewe akipita wanavyoona mwanga.

Tuache watu wafanye kazi zao, jamaa ana haki ya kwenda mahakamani kama anadhani kaonewa.

Lakini kabla ya kumshambulia waziri kakosea tusubiri court decision. Sio huku kumbeza sasa unataka akae ofisini kuacha kusikiliza kero sugu za nchi na kuzifanyia kazi.
 
Ni ubatili mtupu na uonevu. Tulisema haya mambo iachie Mahakama itoe haki. Jerry Slaa hawezi kutoa haki maana hana mamlaka ya kutoa haki. Anaweza aka-initiate process ya kupatika haki na si kutoa maamuzi kama vile yeye ni mahakama. Mfano kuvunja Ghorofa ya mtu bila amri ya Mahakama.

Sikiliza kisa cha kuhuzunisha cha ukiukwaji Mkubwa wa Haki uliofanywa na Jerry Slaa!

Verry unpleasant kwa mtu wa level ya kwake kufanya alichokifanya



View: https://youtu.be/xTWIKdgZxrQ

kijana waziri anafanya kazi yake vizuri sana,
na mpaka hatua ile, amejiandaa na kujiridhisha vizuri kisheria, kiutaratibu na kikanuni, amejipanga anajiamini barabaraaa, he is on the right track 🐒.

For sure anafanya kazi nzuri sana kuwasaidia waTanzania wanyonge walo dhulumiwa na wenye nguvu. Uelekeo ni mzuri sana 🐒

hizi setbacks za watu kutaka kujulikana na kufahamika kwa jamii ni za kawaida na hazifai kuzingatiwa kudoofisha jitihada za waziri kunyoosha sekta ya ardhi 🐒

keep it up ndugu waziri 🐒
 
Ila amepiga mawe ya kutosha, hakika Matata ana matata kweli kweli, a pure lawyer making his pawerful, impermiable, water tight submissions
Huyo anatafuta apewe kzai ya kwenda mahakamani,,wazurumaji waote wa masuala ya ardhi wanafedha si mchezo ndp maana wananyaraka za wizara
 
Title ya huyo mama anayetetewa na Jerry Silaa ilitolewa baadae, ilianza ya huyo aliyevunjiwa, First in time, first in right, Wizara ya ardhi ndio wamemuingiza huyo mama chaka kumpa kiwanja ambacho tayari kina mtu.

Na huyo mama kapigwa mpaka mahakama kuu
Hiyo tittle alipewa na nani?
 
Hujui kazi ya mwijaku na baba levo? Kila mahala wapo
Sikiliza kwanza mgogoro wenyewe na jinsi huyo aliechukua eneo kimabavu alivyowazunguka kwenda kuvunja nyumba zao bila ya kulipa fidia tofauti na makubaliano ya awali kutoka halmashauri.

Sasa huo mgogoro nao ni wa kutunga?
 
Ni ubatili mtupu na uonevu. Tulisema haya mambo iachie Mahakama itoe haki. Jerry Slaa hawezi kutoa haki maana hana mamlaka ya kutoa haki. Anaweza aka-initiate process ya kupatika haki na si kutoa maamuzi kama vile yeye ni mahakama. Mfano kuvunja Ghorofa ya mtu bila amri ya Mahakama.

Sikiliza kisa cha kuhuzunisha cha ukiukwaji Mkubwa wa Haki uliofanywa na Jerry Slaa!

Verry unpleasant kwa mtu wa level ya kwake kufanya alichokifanya



View: https://youtu.be/xTWIKdgZxrQ


Huyu ni lawyer anayelipwa na kutetea hata upuuzi wowote, wewe naye mpost mada hujui kitu, do you know lawyers once paid they can defend anything hata kama umeua wao watakutetea ili hali wanajua utafungwa maisha au kunyongwa hadi kufa, huyo ni bush lawyer anatetea hela zake, tumia akili, acha kupost kila kitu ukiona, think first..!!
 
Back
Top Bottom