Sakata la jezi feki mhusika anaogopwa ,serikali imeshindwa kumtaja vilabu vimeshindwa kumtaja ,polisi tutajieni huyo mtu ninani?

Sakata la jezi feki mhusika anaogopwa ,serikali imeshindwa kumtaja vilabu vimeshindwa kumtaja ,polisi tutajieni huyo mtu ninani?

Yale Yale Kila mtu analalama TU! Mhusika hatajwi, waziri kaenda mpaka eneo la tukio kashindwa kumtaja mhusika.

Sandaland mwenyewe aliahidi atamtaja lakini naona katishwa, kaogopa kakunja mkia, jeshi la polisi hawamtaji analindwa na anafunikwa funikwa.

Kuna hatari akabambikiwa mtu mwingine kabisa ili kumlinda huyo taita mwenyewe, habari za chini ya kapeti ni mtu mzito na yupo sana kwenye vilabu hivi.

Nasisitiza kwamba mtajeni kama hamuwezi kumtaja mnamuogopa acheni kutupa stori za hayo matambala yenu
Ni DUJ
 
Yale Yale Kila mtu analalama TU! Mhusika hatajwi, waziri kaenda mpaka eneo la tukio kashindwa kumtaja mhusika.

Sandaland mwenyewe aliahidi atamtaja lakini naona katishwa, kaogopa kakunja mkia, jeshi la polisi hawamtaji analindwa na anafunikwa funikwa.

Kuna hatari akabambikiwa mtu mwingine kabisa ili kumlinda huyo taita mwenyewe, habari za chini ya kapeti ni mtu mzito na yupo sana kwenye vilabu hivi.

Nasisitiza kwamba mtajeni kama hamuwezi kumtaja mnamuogopa acheni kutupa stori za hayo matambala yenu
Mzigo kama ule hauwezi kuwa wa viperege kwenye bwawa .. Ule ni mzigo wa nyangumi na papa bahari kuu.. Hata hao polisi ni viperege tuu na si ajabu aliyevujisha hiyo ishu kama sio ntu mzito basi keshapotezwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yale Yale Kila mtu analalama TU! Mhusika hatajwi, waziri kaenda mpaka eneo la tukio kashindwa kumtaja mhusika.

Sandaland mwenyewe aliahidi atamtaja lakini naona katishwa, kaogopa kakunja mkia, jeshi la polisi hawamtaji analindwa na anafunikwa funikwa.

Kuna hatari akabambikiwa mtu mwingine kabisa ili kumlinda huyo taita mwenyewe, habari za chini ya kapeti ni mtu mzito na yupo sana kwenye vilabu hivi.

Nasisitiza kwamba mtajeni kama hamuwezi kumtaja mnamuogopa acheni kutupa stori za hayo matambala yenu
Kitendo cha ali kamwe kwenda pale kwenye yale makontena watu tuliosoma psychology tushajua nani muhusika pale wanatumia reverse psychology ali kamwe hakutakiwa kwenda pale walitakiwa waende jeshi la police na wengine wenye mamlaka sasa yule kaenda ili aonekane yanga haihusiki.
 
Kitendo cha ali kamwe kwenda pale kwenye yale makontena watu tuliosoma psychology tushajua nani muhusika pale wanatumia reverse psychology ali kamwe hakutakiwa kwenda pale walitakiwa waende jeshi la police na wengine wenye mamlaka sasa yule kaenda ili aonekane yanga haihusiki.
Ali kamwe alikua na vyombo vya dola pale
 
Yale Yale Kila mtu analalama TU! Mhusika hatajwi, waziri kaenda mpaka eneo la tukio kashindwa kumtaja mhusika.

Sandaland mwenyewe aliahidi atamtaja lakini naona katishwa, kaogopa kakunja mkia, jeshi la polisi hawamtaji analindwa na anafunikwa funikwa.

Kuna hatari akabambikiwa mtu mwingine kabisa ili kumlinda huyo taita mwenyewe, habari za chini ya kapeti ni mtu mzito na yupo sana kwenye vilabu hivi.

Nasisitiza kwamba mtajeni kama hamuwezi kumtaja mnamuogopa acheni kutupa stori za hayo matambala yenu
Mtaje wewe
 
Back
Top Bottom