Hatushindi humu maana tunajua hata humu pia hazipo. Humu ni muda wa mapumziko au wakati tukiwa ndani ya vyombo vya usafiri kurudi maskaniPesa ipo nyingi mtaani, uwezi ipata kwa kushinda unapiga spana JF.
Unanywea wapi hizo beer tukuunge mkono?Hela mbuzi kabisa hizo mm nipo nanywea beer hapa
Nipo Samaki SamakiUnanywea wapi hizo beer tukuunge mkono?
Mimi nilijua hawajakuta kitu, kumbe wamekuta hela !
sipendelei sana Matema ila nitakuwa kule kwa MwamunyangeKamanda upo?unajua dola milioni 1.6 ni sawa na shilingi ngapi?Pasaka uje matema beach kutuliza akili
Kuna namna watanzania tunashindwa hata kutumia akili ya kawaida kabisa kwenye mambo madogo kama haya. Dola 1.6 ni zaidi ya bilioni 3.5 za kitanzania,sasa inakuaje mtu apokee rushwa kubwa mkononi halafu akazitunza chumbani kwake!Hahahahaha aisee nimecheka sana leo
Mzee mwenzangu vp na wewe ungepewa kitengo usingepiga au mm ningejiongeza tuHela mbuzi kabisa hizo mm nipo nanywea beer hapa
To be honest ningepiga.....Mzee mwenzangu vp na wewe ungepewa kitengo usingepiga au mm ningejiongeza tu
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]To be honest ningepiga.....
Utakasilika sana lakini unachotakiwa kufahamu Mama ameamua kumwaga mafuta ya taa chumbani sasa nyoka wote watatoka huyo ni mmoja tu,nakuwekea nukuu moja kwa philip mpango mapema leo bungeni ,kasema "watendaji chapeni kazi maana mjomba hayupo"
Samaki samaki ya wapi?Nipo hapa 5N kama hapo mlimani nasogea chaapNipo Samaki Samaki
Makubwa haya!Polisi tu wameiba nyama ya ng'ombe na kuchoma "MAKWASUKWASU" ndio waje kusema wamekamata 1.6 m $?
Nalaani sana umasikini ndio huleta yote hayaKumchukia mwenye pesa hakufanyi wewe uwe na pesa. Watanzania tutafute pesa tuache makasiriko yasiyo na msingi.
Watu wanafurahi kusikia mwenye nacho anapata shida.
Mama Samia oyeeee
HahahahahaPolisi tu wameiba nyama ya ng'ombe na kuchoma "MAKWASUKWASU" ndio waje kusema wamekamata 1.6 m $?
Alafu watumishi miaka 6 hawajaongezwa mishahara,fedha mnaiba mnakufa mnaziacha