Sakata la Kakoko wa TPA kudaiwa kuweka nyumbani begi lenye USD 1,625,800. Mkurugenzi wa TAKUKURU akanusha

Sakata la Kakoko wa TPA kudaiwa kuweka nyumbani begi lenye USD 1,625,800. Mkurugenzi wa TAKUKURU akanusha

Zile z Za book keeping zisha chorwa kila mtu kafunga hesabu zake mbele
 
Kuna namna watanzania tunashindwa hata kutumia akili ya kawaida kabisa kwenye mambo madogo kama haya. Dola 1.6 ni zaidi ya bilioni 3.5 za kitanzania,sasa inakuaje mtu apokee rushwa kubwa mkononi halafu akazitunza chumbani kwake!
Kwa uelewa wa wengi ni kuwa zilikuwa zinapita tuu kwenda kwa wahusika. Ziliwahiwa zikiwa stendi ya basi. Na baada ya wakina Rugemarila, watu wako tayari kuamini chochote.

Amandla....
 
Mimi tu ambae Sina wadhifa huwezi kukosa mil 1 ndani kwaangu. Huyo DG wa bandari anaanzaje kukosa mil 9 ndani? Hiyo mil 9 ni nusu ya mshahara wake kwa mwezi.
Inawezekana kapiga hela nyingi, Ila hiyo taaarifa sijui kakutwa nazo ndani ni UONGO uliopitiliza
Watu wengi hawajazoea kuyaona mahela mengi ndio mana

achana na kuwa na 1m ndani,mtu kila akitoka ndani ya gari kuna 2m pale

achana na zilizobaki ndani,na huyo n mfanyabiashara mimi namuita mjasiriamali

sembuse huyo DG,huyo hata akiwa na 20m ndani mshipa wa mshangao haunisimami,n haki yake.

ila hilo swala la kukutwa nazo ndani ni mauongo yanayosambazwa kwa lengo la kukomoana,kwisha.
 
Wanaume siku hizi mnaongoza kwa umbeya wanawake sahizi wamekaa chini wana wapepea tu kangaa
 
Ni loophole hiyo ya kutosema hadharani sababu husika za kumuweka lupango mtu bila ya kusema kwanini kawekwa lupango imetumiwa vibaya kuwaumiza Watanzania wengi sana kwa kubambikiwa kesi FAKE. Polisi inayotenda kazi zake kwa kufuata taratibu haiwezi kumtia hatiani raia bila ya kuweka hadharani sababu zilizosababisha waone umuhimu wa kumuweka lupango.
Labda hujanielewa. Nimezungumzia tuhuma, na polisi haimtii mtu hatiani. Na polisi popote duniani wakipewa lalamiko watamtafuta mlalamikiwa ili uchunguzi wa hizo tuhuma ufanywe. Wakigundua kuwa ni kweli jukumu lao ni kupeleka kesi mahakamani.
 
Wrongful arrest also includes:

  • Arrest of the wrong person
  • Arrest of a person without probable cause that that person committed a crime
  • Arrest without the mention of the suspect’s Miranda Rights
  • Arrest without just cause
  • Arrest with an arrest warrant that was obtained with false information given to the court by a police officer
  • Arrest by incompetence
Labda hujanielewa. Nimezungumzia tuhuma, na polisi haimtii mtu hatiani. Na polisi popote duniani wakipewa lalamiko watamtafuta mlalamikiwa ili uchunguzi wa hizo tuhuma ufanywe. Wakigundua kuwa ni kweli jukumu lao ni kupeleka kesi mahakamani.
 
Bado tunasafari ndefu.

View attachment 1738279

Hiyo ni kama 3.7 Billion Tshs to be exact.

Halafu kuna watu wanasema ufisadi uliisha awamu ya tano. Haukumalizwa bali ni watu wachache walijimilikisha mianya ya pesa kwa kukingiwa kifua na ikulu.

Siku ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma utakapopigwa vita kwa vitendo na kwa nguvu zote ndo nchi itasonga mbele.
Mkuu tulia kidogo. Nakushauri ujifunze ku digest taarifa kabla ya kuhukumu. Muacheni the late president apumzike kwa amani. Na kakoko unaweza kuta anatoka akiwa hana hatia hata moja ukashangaa. Isije ikawa ma auditors hawakupata details vizuri maana hiyo hutokea pia katika audit. Ila kama ka kwapua hela basi tutamuona akifunguliwa mashitaka.
 
Jifunze kusoma na kuelewa; soma post zangu zote utagundua kuwa ninatumia phrase "kama ni kweli." Unajua maana ya phrase hiyo?
Why bring such a stupid and shocking information! Hata kama ni swali? Unakumbuka Mwalimu aliwajibuje waandishi wa habari. Ona jinsi watu walivyo conclude haswa michadema against JPM. It’s not fair
 
Why bring such a stupid and shocking information! Hata kama ni swali? Unakumbuka Mwalimu aliwajibuje waandishi wa habari. Ona jinsi watu walivyo conclude haswa michadema against JPM. It’s not fair
is this the phylosphy of hiding informtion you don't want others to think of?
 
Jana wakat brig.Gen pccb akitoa taarifa juu ya utaratibu wa uchunguzi na kukanusha taalifa zilizombazaa mitandaon kuwa maburungut ya dolalrs alivaa full masqurade combat.yaan saf ile itawatisha sana watu kula fedha za uma. tena pale ningependa yaan maeneo yote ya fedha fedha wawepo ndugu zetu hawa tena unavaa na zile soks za mabaka za uso yaan wataoogopa.hongera sana.full combat baka baka ile nguo heshima na adabu ukiiona.unagwaya mwenyewe.huko bandar napendekeza wapelekwe J weee tu hakuna namna
 
Dada hizo nipesa, wakwapua pesa hawatumii nguvu niakil tu mtu anakuibia naukienda kumpekua kwenye mahesabu huon chochote
 
Back
Top Bottom