Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Kwa dola ni chache hizo Mkuu kwa mafungu ya laki laki yanakua kumi na sita tuu...kipindi cha watu kubeba hela na safari za china watu laki tano mpaka milioni walibeba ukitambiwa unaweza kudhani ni hadithi...Amazing, 1.6$ M cash?
Wangekuwa wakosoaji mitandaoni wangeingia lupango kwa kisingizio cha uhujumu uchumi lakini wanaohujumu uchumi hawaguswi.Aaaah! Bandari ilikuwa yake! Takataka hii kwa kiasi hiki tu cha fedha aingie lupango kwa makofi ya nguvu. Mbona mitaani kibaka wa jogoo tu anaingia lupango huku ameshavunjwa mikono, sembuse hili jangili la nyala za serikali. Jamani, na sisi pia tuna matumbo ya kulisha, mbona mnatufanya waTz wenzenu mafala hivi? Maisha kwetu magumu lakini kwa huyu chizi na familia yake ni tambarale akitumia nyala zetu za serikali. Tupa jela akiwa na mguu mmoja tu hayawani huyu.
Umesikia lakin duhhDuuu..ama kweli hela haina adabu. Nasikia mkurugenzi aliyesimamishwa kumbe alikuwa na mahela benk mengi sana 9b.
kwani mengine huwa tunaona?si ni kusikia tuUmesikia lakin duhh
Mshikaji alikuwa na bilioni 9 benk. Ndio maana alitaka kutoroka wakamdaka.Umesikia lakin duhh
Nimjuavyo mie pale Bandari ana miaka minne. Je angekaa kumi.kwani mengine huwa tunaona?si ni kusikia tu
Ni ela nyingi kwa hohe hahe ila ya kawaida kwa watu kama hao. Kama mtu anaweza kununua nyumba au kiwanja osterbay kwa zaidi ya bilioni moja na nusu we wadhani ana ukwasi kiasi gani?Hivi mnaijua 9 billion..π
Mshikaji alikuwa na bilioni 9 benk. Ndio maana alitaka kutoroka wakamdaka.
wasukuma utawaweza?Kama ni kweli huu uwizi ni wa kishamba sana
Hela yote hiyo unaipiga ya nini na unataka
Kuifanyia nini ,sema nachojua mwanadamu pesa haimtosholezi kabisa
Ova
Nachoshangaa mtu anapiga hela yote hiyo walikuwa hawajui au Kuna uzembe ama vipi.. mkuu billion sio ukwasi mdogo huo hicho ni kitita Cha maisha..πNi ela nyingi kwa hohe hahe ila ya kawaida kwa watu kama hao. Kama mtu anaweza kununua nyumba au kiwanja osterbay kwa zaidi ya bilioni moja na nusu we wadhani ana ukwasi kiasi gani?
Ni ela nyingi kwa hohe hahe ila ya kawaida kwa watu kama hao. Kama mtu anaweza kununua nyumba au kiwanja osterbay kwa zaidi ya bilioni moja na nusu we wadhani ana ukwasi kiasi gani?