Ila inaonekana alikuwapo hapo muda mrefu kabla ya cheo hicho. Au ndio sehemu ya yale yaliyochotwa BOT kwa matibabu kama inavyosemekana?Nimjuavyo mie pale Bandari ana miaka minne. Je angekaa kumi.
HahahahahahahahahahaAhahahahahahahaha yaani kuna siku tulienda kwake kusalimia, aisee mpaka natoka nilishajikusanyia milioni kumi na moja kama laki saba hivi, aisee nilitamani niende kila siku.
Yule mwanae tall mpole sana anayesimamia Windhoek akanambia bro ungekuwa na kifaa kikubwa tungekuwekea na tubia kidogo nikamwambia usjali ili nikimbize mzigo wangu.
Yule mzee ana mkwanja balaa aisee, JK mwenyewe alipewa 10b Mizengo Pinda 6b hadi akapagawa akaenda BBC akatangaza kugombea Urais ahahah
Hahahaha jamaa ana ela kitambo sana toka miaka 1990 huko, yani kitambo sanaAhahahahahahahaha yaani kuna siku tulienda kwake kusalimia, aisee mpaka natoka nilishajikusanyia milioni kumi na moja kama laki saba hivi, aisee nilitamani niende kila siku.
Yule mwanae tall mpole sana anayesimamia Windhoek akanambia bro ungekuwa na kifaa kikubwa tungekuwekea na tubia kidogo nikamwambia usjali ili nikimbize mzigo wangu.
Yule mzee ana mkwanja balaa aisee, JK mwenyewe alipewa 10b Mizengo Pinda 6b hadi akapagawa akaenda BBC akatangaza kugombea Urais ahahah
Hiyo avatar ni ww?Kwaiyo mshahara wake kwa mwezi inafika milioni mia na au??!tofauti na hapo ni hela ya wizi iyo,inatakiwa afungwe na mnyororo kwenye roli LA jeshi aburuzwe hadi nyororo ibakie na mfupa wa koo tu, Lol
Ww ni nani akupe 10.7m mzeeeee au chaiiii?????Ahahahahahahahaha yaani kuna siku tulienda kwake kusalimia, aisee mpaka natoka nilishajikusanyia milioni kumi na moja kama laki saba hivi, aisee nilitamani niende kila siku.
Yule mwanae tall mpole sana anayesimamia Windhoek akanambia bro ungekuwa na kifaa kikubwa tungekuwekea na tubia kidogo nikamwambia usjali ili nikimbize mzigo wangu.
Yule mzee ana mkwanja balaa aisee, JK mwenyewe alipewa 10b Mizengo Pinda 6b hadi akapagawa akaenda BBC akatangaza kugombea Urais ahahah
Ndo unichambe Mina..😅wew ndo huijui labda, Mtoto wa kakoko unamtetea baba yako
Kuna siku nilikuwa napanga pale K/Nyama aisee nilidaiwa kodi mpaka mwenye nyumba akaingia chumbani kunipiga ngumi, dah! Tulikunjana kinomer sema badae roho ikanambia 'lakini hapa sikwako'Maisha haya Mimi hapa kodi tu ya mwezi huu kizaizai
Hivyi USALAMA WA TAIFA walikuwa wapiAhahahahahahahaha yaani kuna siku tulienda kwake kusalimia, aisee mpaka natoka nilishajikusanyia milioni kumi na moja kama laki saba hivi, aisee nilitamani niende kila siku.
Yule mwanae tall mpole sana anayesimamia Windhoek akanambia bro ungekuwa na kifaa kikubwa tungekuwekea na tubia kidogo nikamwambia usjali ili nikimbize mzigo wangu.
Yule mzee ana mkwanja balaa aisee, JK mwenyewe alipewa 10b Mizengo Pinda 6b hadi akapagawa akaenda BBC akatangaza kugombea Urais ahahah
Mkuu hii habari ni muhimu sana lkn ungetuwekea na chanzo tafadhaliDuuu..ama kweli hela haina adabu. Nasikia mkurugenzi aliyesimamishwa kumbe alikuwa na mahela benk mengi sana 9b.
Hizo zoote ni kodi za watanzania walizo kuwa wanatukamua na hapo hapo wanatuita manyani.Mshikaji alikuwa na bilioni 9 benk. Ndio maana alitaka kutoroka wakamdaka.
Kabla hawaja ficha ushahidi, Mh Rais anatakiwa awashighulikie wafuatao haraka iwezekanavyo.Nimesoma kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 cash baada ya kusimamishwa kazi jana!
Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana "vijisenti" vingi sana hujo Jersey au Switzerland kama yule mzee.
Wewe unayeijua twambieHivi mnaijua 9 billion..[emoji28]
St. Magunia na wenzie walikuwa wezi tyuu!Nimesoma kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 cash baada ya kusimamishwa kazi jana!
Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana "vijisenti" vingi sana hujo Jersey au Switzerland kama yule mzee.
Ndio mwanae kabisa dogo Maji ya kunde hivi mrefu! Kama kuna tamasha utamuona mtaratibu sana huwezi jua kama ndo kashikishwa mikoba.Ww ni nani akupe 10.7m mzeeeee au chaiiii?????
Kumbe msimamizi wa windhock n mtoto wake
Mkuu umeshawahi kukaguliwa na polisiSema jamaa kafeli sana, hizo hela unaweza zificha hata chini ya siti ya gari yeye aliziwekaje ndani ya nyumba? Gari ambayo hutembelei mara kwa mara ndo unafichia pesa humo.
Hahahahahahahahahaha kudadeki na jamaaaa alikuwa na pesa ila ni mkatoliki au?Ndio mwanae kabisa dogo Maji ya kunde hivi mrefu! Kama kuna tamasha utamuona mtaratibu sana huwezi jua kama ndo kashikishwa mikoba.
Kuna mzee mmoja ndo alikuwa kaandaliwa kuwa meneja wa Kanda ya Afrika maana Kabla Magu hajaingia ilikuwa Windhoek ifungue brunch take kubwa hapa Tz ya kuhudumia Afrika nzima.
Nilisoma na mwanae pale Tosa Maganga, kuna mizigo-zigo Mara inaagizwa kuingiza kwenye godown tu aisee pale pana hela we acha, yaani wana pesa nyingi sana, Prof. Tibaijuka alipewa hizo 1.6b ili ardhi ya kiwanda ipatikane..
Siunajua alikuwa wazir wa Ardhi, maaskofu walipewa mzigo ili baadhi ya vifaa vya kiwanda vipite bandarini kama Mali ya Kabisa visilipe kodi!
Ahahahahahahaha nimeingia sana, weacha tu! Naamini atatoka tu! Mzee anasaidia kinomaKumbe na wewe umeshaingia pale makongo juu??
Hahaha nisiongee sana alichonisaidia mzee wangu ruge. Aliemuweka ndani alaaniwe
Karibu Migombani Bar - SurveyKumbe na wewe umeshaingia pale makongo juu??
Hahaha nisiongee sana alichonisaidia mzee wangu ruge. Aliemuweka ndani alaaniwe
Halafu ungezifanyia Nini?Pesa kidogo sana hiyo kwa hiyo nafasi yake. Mi ndani ya miaka minne ningekuwa nimepiga B kama mia kenda kasoro.