Lordtical Jnr,
Umesahau kuwa walioipiga kura 80% , 90% yao hawana na wala hawatakuwa na umeme toka Grid ya Taifa!!.
Mi nasema hizi kele za umeme, hazimnyimi SISIEM kulala, Bob Mkandara kawaeleza sana Wapinzani cha kufanya lakini wapi..................
ndio maana naona bora Forums hizi zinafanya kazi nzuri ya kupigia kelele maovu kuliko hivyo vyama vya Upinzani.
Umesahau kuwa walioipiga kura 80% , 90% yao hawana na wala hawatakuwa na umeme toka Grid ya Taifa!!.
Mi nasema hizi kele za umeme, hazimnyimi SISIEM kulala, Bob Mkandara kawaeleza sana Wapinzani cha kufanya lakini wapi..................
ndio maana naona bora Forums hizi zinafanya kazi nzuri ya kupigia kelele maovu kuliko hivyo vyama vya Upinzani.