Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 858
- 2,497
Wewe ndo unajua unachokitetea sio? Wewe ni muongo na hatuwezi kusikiliza pande moja lazima tujue pande ipi ni kweli na pande ipi inasema uongo baada ya kufanya ivyo tumejua wewe ni muongo na hatukulaumu tunajua wewe ni maemaji na lazima useme wanayotaka kina mwigulu na wengine wakubwa wako.
1.” Tumeshtushwa na habari zinazoendelea mitandaoni kuwa tuna matatizo na kocha si kweli hatuna matatizo na kocha ni kweli ernest hayupo amepata dharura ameondoka kwa dharura akashughulikie changamoto zake binafsi ….” haya ni baadhi ya maneno ya msemaji wa timu ambaye ni wewe ;
1: kwanza kabisa umeanza kwa uongo kuwa hakuna matatizo na kocha wakati ukweli kuna tatizo kati ya kocha na timu , hili linatosha kusema wewe ni muongo na umedanganya umma au na hili pia unabisha.
2. Ukweli unajulikana baada ya kusikiliza pande zote mbili kati ya wewe na kocha tumejua yupi muongo na yupi mkweli. Swala la mzungu linatoka wapi si mmemleta wenyewe[emoji38] sema kawazidi akili alijua huyo ni kiwelu au mgunda.
3Ushahidi upi unaotaka wewe ? Kocha kitokuwepo tayariiii inaonyesha kuna tatizo na mgogoro kati ya kocha na wamiliki wa timu kina mwigulu, tumesikiliza upande wa kocha tayari haya upande wenu mnasemaje au ndo mnakaa kimya kwamba hamna tatizo lolote[emoji23]
4. Sio tuseme ni ukweli aliitwa , ukweli ni aliitwa au unataka kusema yote aliyosema kajitungia, unaleta mfano wa madereva humu kocha katoa sabau kwanini ameamua kufanya vile kutokana na mazoezi aliona wachezaji wanaofit ni hawa na hata huyo gadiel nafasi aliyocheza ndo alikuwa best na hio ndiyo mbinu aliyotumia as coach.
5. Unapoleta kitu humu usidhani wote wana uelewa finyu mkuu sema hatuwezi kukulaumu maana hata hicho kikao hukushiriki wewe ni msemaji tu wa timu unapewa maneno then unayasema hivyo hivyo kulinda kibarua chako.
NB: tumemsikiliza kocha upande wake kasema ameondoka kutokana na kutaka kupangiwa wachezaji sasa na nyinyi kwa upande wenu tuambieni kwanini kocha kaondoka sababu kubwa ni ipi?
1.” Tumeshtushwa na habari zinazoendelea mitandaoni kuwa tuna matatizo na kocha si kweli hatuna matatizo na kocha ni kweli ernest hayupo amepata dharura ameondoka kwa dharura akashughulikie changamoto zake binafsi ….” haya ni baadhi ya maneno ya msemaji wa timu ambaye ni wewe ;
1: kwanza kabisa umeanza kwa uongo kuwa hakuna matatizo na kocha wakati ukweli kuna tatizo kati ya kocha na timu , hili linatosha kusema wewe ni muongo na umedanganya umma au na hili pia unabisha.
2. Ukweli unajulikana baada ya kusikiliza pande zote mbili kati ya wewe na kocha tumejua yupi muongo na yupi mkweli. Swala la mzungu linatoka wapi si mmemleta wenyewe[emoji38] sema kawazidi akili alijua huyo ni kiwelu au mgunda.
3Ushahidi upi unaotaka wewe ? Kocha kitokuwepo tayariiii inaonyesha kuna tatizo na mgogoro kati ya kocha na wamiliki wa timu kina mwigulu, tumesikiliza upande wa kocha tayari haya upande wenu mnasemaje au ndo mnakaa kimya kwamba hamna tatizo lolote[emoji23]
4. Sio tuseme ni ukweli aliitwa , ukweli ni aliitwa au unataka kusema yote aliyosema kajitungia, unaleta mfano wa madereva humu kocha katoa sabau kwanini ameamua kufanya vile kutokana na mazoezi aliona wachezaji wanaofit ni hawa na hata huyo gadiel nafasi aliyocheza ndo alikuwa best na hio ndiyo mbinu aliyotumia as coach.
5. Unapoleta kitu humu usidhani wote wana uelewa finyu mkuu sema hatuwezi kukulaumu maana hata hicho kikao hukushiriki wewe ni msemaji tu wa timu unapewa maneno then unayasema hivyo hivyo kulinda kibarua chako.
NB: tumemsikiliza kocha upande wake kasema ameondoka kutokana na kutaka kupangiwa wachezaji sasa na nyinyi kwa upande wenu tuambieni kwanini kocha kaondoka sababu kubwa ni ipi?