Sakata la Kupotea Rajab Omari Mtana na Hukumu ya Kunyongwa kwa Masheikh 10 Tanga

Huyu mzee ni mtu mzima na msomi mtu aliyetembea nchi mbalimbali duniani na kupata exposure kubwa lkn nakiri kuwa vyote hivyo havijasaidia kumkomboa utumwani. Ni mtu mdini, mnafiki na mchonganishi ukimpa madaraka mtu kama huyu ni hatari kuliko ukimwi au corona
 
Mama...
Mimi nimeandika yale niliyotafiti ili wasomaji wakijue kisa cha kadhia hii.
Hii ni historia ndefu na kuna mengi.

Vuta subra utajifunza mengi.
Kama watu wako walionewa si mkafungue shauri mahakamani?
 
Wewe mzee acha mentality ya udini. Unafeli sana...watu wamekueleza ukweli kabisaa..waislam na wakristo wote wamekueleza ukweli kabisaa ..achana na mentality ya udini. Ukifuatilia watu wa makabila yote na dini zote wanakumbana na changamoto..zungumzia watanzania wotee
 
Tukuamini wewe au mahakama?
Mama....
Mimi siandiki uniamini hata kidogo.
Naandika kukueleza kile usichokijua.

Nilipata kuulizwa swali kama hilo lako.
Muulizaji anasema, "Unasema ikiwa unataka kuandika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika inabidi tuanze na Abdul Sykes. Mimi sijamsoma huyu mtu popote katika historia ya Tanganyika. "

Tuko mubashara kipindi cha televisheni.

Nilimuhurumia yule kijana kama ninavyokuhurmia wewe.

Nilitoa jibu langu: "Kadi ya TANU No. 3 ni Abdul Sykes kadi No. 2 ni Ally Sykes na kadi no. 1 ni Julius Kambarage Nyerere RANU Territorial President.

Unaweza kuamini upendacho."

Kutotajwa kwa Abdul Sykes hakuondoi ukweli kuwa historia ya TANU inaanza katika ukoo wao.

Ndugu yangu amini upendacho.
 

Ndio kiongozi wa chokochoko za mwembechai,kuvunja bucha za nguruwe magomeni,kuingiza sera ya kuvalisha hijabu wanafunzi wa shule za msingi na sekondali,kiufupi huyo ni extremity gaidi aliyejificha.
 
Mbona hata haielewweki mzee. Kama kuna Jambo basi umeruka yale ya muhimu,hasa yanayowahusu makosa waliyofanya hao waislam. Kama umeifanyia uchunguzi wa miaka 10 kama ulivyosema,basi ulete kwa kueleweka. Lete kwa mtiririko ulio sahihi na kweli tupu. Ili tujadiri na kutolea uamuzi kwa Jambo lililo kamili

Halafu nimesoma naona nia yako unataka kutengeneza kwamba waislam wanaonewa.
 
Hao wazee wako walikomeshwa na Mwalimu Nyerere. Wangeachwa hii nchi ingeshakuwa ya kidini. Hata wewe unaishia kubwabwaja kwasababu unajua huo moto utakaokuwakia ukivuka mipaka.
 
Mbaya zaidi mzee wetu umekaza fuvu, hautaki kuelewa
Ata waislamu wenzako wameamua wakae pembeni, jinsi gani peni yako ilivyo na udini

Sio kwamba swala la kibiti haulijui lahasha, upo bias Sana na UDINI

Kufumbia macho swala la kibiti au kutotoa neno linakuweka kwenye nafasi ya MNAFKI
Hili litachukua muda Sana kulitambua

Kutokuwepo kwako jf ni bora sana kuliko uwepo wako
 
Hao wazee wako walikomeshwa na Mwalimu Nyerere. Wangeachwa hii nchi ingeshakuwa ya kidini. Hata wewe unaishia kubwabwaja kwasababu unajua huo moto utakaokuwakia ukivuka mipaka.
Mama...
Unaandika hasira zimekupanda.
Huijui historia ya uhuru wa Tanganyika.

Hii ndiyo sababu unasema linalokujia kwa ghadhabu.
Nivuke mipaka gani sijaelewa hapo.

Moto uniwakie kwa kosa gani?
Mimi sibwabwaji.

Mimi naandika historia wewe hujapata kuisikia hata siku moja.

Wanahistoria wengi katika vyuo vikuu Afrika, Ulaya na Marekani wanafuata staili ya usomeshaji wangu katika somo la Nationalist Politics in Tanganyika.

Wanaanza na Kleist Sykes (1894 - 1949) katika African Association (1929) kisha wanamgusa Abdul Sykes 1950.

Hapa rejea zao ni Dictionary of African Biography (2011) na "The Life and Times of Abdulwahid Sykes..." (1998).

Nimo kama mwandishi katika Dictionary of African Biography.
Bahati mbaya sana kwako ikiwa historia hii inakuumiza.


 
Mkorea,
Kuhusu ugaidi nimeweka post #41 link ya muhadhara niliofanya University of Ibadan kuhusu tatizo hili.

Naamini post hiyo imekupita hukuiona.
Rejea nyuma.

Hapa JF nimechaguliwa Mwandishi Bora kwa miaka miwili mfululizo 2021 na 2022.
 
Village...
Huko unakosema wewe tumepita miaka mingi sana.
 
Umemueleza barabara!! na bayana.

Seme alishajichagulia upande so hamtoelewana.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Anaitendea Vibaya sana Nchi yake kuingiza dini.

Mzee MS, katika utafiti wako sungusungu hao walikuwa Dini gani?
Asilimia 80 kama sio 90 ya wakazi wa handeni na viunga vgake ni waislamu.

Naweza sema asilimia 80 ya wakazi wa Tanga ni waislamu.

Mkoa wa pwani huu

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
80% na zaidi ya wakazi wa mkoa wa Tanga na wilaya zake ni waislamu.

Yawezekana mtana alipigwa au kuuwawa na waislamu wenzake.

Ila inatafuta sababu hapa au Kuna dini au kikunda Cha watu kinatafutwa kipewe lawama Ili kuonekana waislamu wanaonewa na dini zingine au mamlaka.

Hizi ni propaganda za kidini zenye kueneza chuki na kuharibu mshikamano kayiia Taifa.



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…