Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Uislamu umeingiaje kwenye hiyo kesi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vangi...You really didn't get my point. Na inawezekana utaendelea kutonielewa. Binafsi, nimekiri kwenye post zangu mbili huko juu kwamba kwa suala la historia ya TANU, uko vizuri. Inawezekana nilichojifunza shule hakikuwa sahihi, ingawa hainipi madhara yoyote. Point yangu kubwa ni namna ulivyotumia kisa hiki kuonyesha kwamba madhira waliyoyapata hao Watanzania wa Handeni, yametokana na Uislamu wao. Hapa ndipo wote waliokupinga, wameparejea. Hili halihusiani na Nyerere na TANU. Hili halihusiani na nani alidai uhuru wa Tanganyika. Hapa tunaongelea Watanzania. Nilitabiri utashupaza shingo, umeshupaza. Bado nakushauri, soma maoni ya waliokukosoa kwa utulivu, bila kimue cha kutaka kuprove kuwa uko sahihi. Unaweza kujifunza kitu
Mazaya,Mzee muongo huyu Kwamba kuwa na ndevu Ndio kiashiria cha kuwa Muislam au?
Mkorea,Nasikitika kuwa Mohammed ameamua kuwa mpuuzi wa kudumu
Mjinga wa muda wote
Wapumbavu huwa na 'confidence' sana. Sijui hii inatokana na nini!
We lizee hii takataka uloorodhesha hapa ndo unatumia kuhalalisha uharo unaoutetea?😁😁😁😁hili lizee halina akiliMama...
Yawezekana hatufahamiani:
PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES
Awards: Several Awards
- The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
- The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006
- Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
- Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
- Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
- Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.
- Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam
- Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam
- Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam
- Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam
- The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam
- Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam
- In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
- Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
- Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
- The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
- Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
- The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
- Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
- Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
- Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
- Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
- Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
- Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
- Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
Visiting Scholar: (2011)
University of Iowa, Iowa City, USA
Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.
OTHER COUNTRIES VISITED
Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
Hata mimi nimeshangaa kuona 'Waislamu' badala ya 'watu' au 'watuhumiwa'. Mleta mada hivi kwa nini umeingiza dini hapa kama vilke wamehukumiwa kwa kuwa tu ni Waislamu?Why waislamu 10 wamehukumiwa na sio watu 10.kuna nini kuhusu uislamu am lost
Wanasema, mbuzi wa bwana kheri amekula shamba la bwana kheri bas kila kitu kheriWalishikwa ugaidi mwaka 2013 raisi alikuwa Kikwete - Muislamu, wamehukumiwa kunyongwa mwaka 2023 raisi wa sasa ni Samia- Muislamu, hivyo ni Waislamu wamehukumiwa kipindi cha Maraisi Waislamu pia.
Anayebomb kubomoa na kutesa Waislamu na nchi Kiislamu Yemeni ni Saudi Arabia, anaye fund Al Shabaab Somalia na kuharibu na kutesa Waislamu Somalia ni Saudi Arabi pia, anzieni hapo kwanza, …
Haijalishi. Hata kina Osama walikuwa wasomi wakubwa tu. Huu usomi wako haulalishi wewe kufanya upumbavu.Mama...
Yawezekana hatufahamiani:
PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES
Awards: Several Awards
- The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
- The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006
- Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
- Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
- Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
- Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.
- Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam
- Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam
- Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam
- Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam
- The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam
- Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam
- In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
- Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
- Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
- The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
- Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
- The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
- Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
- Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
- Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
- Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
- Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
- Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
- Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
Visiting Scholar: (2011)
University of Iowa, Iowa City, USA
Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.
OTHER COUNTRIES VISITED
Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
Mama...Haijalishi. Hata kina Osama walikuwa wasomi wakubwa tu. Huu usomi wako haulalishi wewe kufanya upumbavu.
Wewe mzee acha ujanja wa mbuzi kujambia mdomo. Ukiandika uzi wa kichochezi hatutakaa kimya.
Mama...Wewe mzee acha ujanja wa mbuzi kujambia mdomo. Ukiandika uzi wa kichochezi hatutakaa kimya.
Mama...Haijalishi. Hata kina Osama walikuwa wasomi wakubwa tu. Huu usomi wako haulalishi wewe kufanya upumbavu.
Mpaji...We lizee hii takataka uloorodhesha hapa ndo unatumia kuhalalisha uharo unaoutetea?😁😁😁😁hili lizee halina akili
Serikali ya kijiji iliyowakamata nayo ni ya waislam. Hata migambo nao ni waislamR.C Chiku Galawa nae alikuwa ni Muislamu. Mohammed hana nia njema.
Amandla...
Hata umfunde vipi huyu haelewi Wala habadiliki. Yuko kwenye BOX LA uislam haoni chochote kingine hata kikiwa chema.Mzee Mohamed Said ni miongoni mwa watu wanaotumia vibaya vipaji vyao kueneza chuki. Ni mjuzi sana wa kusimulia jambo kwa ufasaha, tatizo lake kubwa ni kuongeza chumvi, uongo na uchonganishi. Hapa katika suala analosimulia hapa anataja kuwa ni waislamu wameonewa!
Tundu Lisu alipigwa risasi Dodoma, sikumsikia Mohamed Said akiripoti kuwa mkristo amepigwa risasi!
Freeman Mbowe alipobambikiwa kesi ya ugaidi sikumsikia Mohamed Said akisema mkristo kabambikiwa
Yule binti Akwilina alipopigwa risasi Kinondoni sikusikia Mohamed akisema mkristo kauawa!
Kwake tatizo likimpata muislamu basi moja kwa moja anahusisha na dini yake! Mzee, haya matatizo yanawakumba wote bila kujali dini! Unapoleta udini unaupunguzia umma ile nguvu ya kusimama pamoja dhidi ya dhuluma. Sote tunapaswa kupinga dhuluma inayompata mtu yeyote bila kujali dini yake. Unaposema waislamu wamefanyiwa ubaya huu au ule, unataka kuaminisha umma kuwa ni nani kafanya ubaya huo? Halafu iweje? Chunga kauli zako mzee. Madhara yake ni makubwa.
Simwelewagi huyu Mzee.Why waislamu 10 wamehukumiwa na sio watu 10.kuna nini kuhusu uislamu am lost