Sakata la Kupotea Rajab Omari Mtana na Hukumu ya Kunyongwa kwa Masheikh 10 Tanga

Sakata la Kupotea Rajab Omari Mtana na Hukumu ya Kunyongwa kwa Masheikh 10 Tanga

You really didn't get my point. Na inawezekana utaendelea kutonielewa. Binafsi, nimekiri kwenye post zangu mbili huko juu kwamba kwa suala la historia ya TANU, uko vizuri. Inawezekana nilichojifunza shule hakikuwa sahihi, ingawa hainipi madhara yoyote. Point yangu kubwa ni namna ulivyotumia kisa hiki kuonyesha kwamba madhira waliyoyapata hao Watanzania wa Handeni, yametokana na Uislamu wao. Hapa ndipo wote waliokupinga, wameparejea. Hili halihusiani na Nyerere na TANU. Hili halihusiani na nani alidai uhuru wa Tanganyika. Hapa tunaongelea Watanzania. Nilitabiri utashupaza shingo, umeshupaza. Bado nakushauri, soma maoni ya waliokukosoa kwa utulivu, bila kimue cha kutaka kuprove kuwa uko sahihi. Unaweza kujifunza kitu
Vangi...
Yawezekana hakika mimi sikuelewi kama wewe usivyonielewa mimi.

Hakika hawa ndugu zetu wa Handeni waliponzwa na Uislam wao.

Rejea kunisoma upya toka post # 1.
Nitakupa mfano mmoja.

Deep Throat aliponieleza yaliyotokea nikamwambia nataka kushuhudia mwenyewe kwa hiyo nitakwenda Handeni.

Jibu lake likawa kuna vizuizi njiani mabasi yanasimamishwa wanakutazama ukiwa na ndevu umevaa kanzu unashushwa basi linaendelea na safari.
 
Mzee muongo huyu Kwamba kuwa na ndevu Ndio kiashiria cha kuwa Muislam au?
 
Mzee muongo huyu Kwamba kuwa na ndevu Ndio kiashiria cha kuwa Muislam au?
Mazaya,
Katika mjadala adabu ni muhimu sana kwani ikiwa lugha ikiwa ni ya kishenzi hapana staha haya yanaua mjadala.

Ungeweka ukaandika kama hivi:
Ukauliza lile usilojua kuhusu ndevu na Uislam.

Ungeweza pia useme Mzee Mohamed hasemi kweli badala ya kusema, ''Mzee muongo huyu.''
Unaweza kusoma hayo hapo chini:

''...siku ya Ijumaa kuanzia saa nne asubuhi polisi walivamia kijiji cha Madina (Negelo) mbali kidogo na kijiji cha Mziha.

Katika siku hiyo Polisi walifanya msako wa nyumba kwa nyumba wakiambatana na watu waliovaa kiraia ambao walionekana kana kwamba wakitowa muongozo na kuwasaidia polisi.

Ndani ya siku hiyo polisi walipiga mabomu, kufyatua risasi ovyo ovyo na kupelekea watu kadhaa kuuwawa.

Miongoni mwao ni Imamu wa Msikiti kijijini hapo Sheikh Ayyuba, Ustadh Khamis Ramadhan Samsuli, muumini mmoja na mtoto.

Aidha, Polisi katika kadhia hii wamekamata wananchi wengi na kujeruhi wengi huku majeruhi wakiondoka nao.

Kama haitoshi katika siku ya Jumamosi na Jumapili polisi walirudi tena katika vijiji hivyo kuendelea kukamata kila mvaa kanzu na hijabu katika maeneo ya vijiji hivyo.

Pia wamekuwa wakipekuwa kila gari kuwakamata waliovaa mavazi ya kanzu kwa wanaume, na hijabu kwa wanawake.

Badhi ya wanawake wamekuwa wakivua hijabu ili kuokoa maisha yao.
Aidha, wananchi wengi wamepotea na wengine wamekimbilia maporini kuokoa maisha.

Wanawake na watoto wamesambaratika na familia zao hususan baada ya kukichoma moto kijiji cha Madina.''

1687891665444.png

Moja ya nyumba iliyovunjwa Negelo
 
Nasikitika kuwa Mohammed ameamua kuwa mpuuzi wa kudumu
Mjinga wa muda wote

Wapumbavu huwa na 'confidence' sana. Sijui hii inatokana na nini!
Mkorea,
Hujui kipi kinachonifanya kujiamini?:

1687892417676.jpeg

BBC Glasgow, 1991
1687892683357.jpeg

1687892525951.jpeg

VoA Washington DC 2011
1687892748482.jpeg

AZAM TV 2015


 
Mama...
Yawezekana hatufahamiani:

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

  1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
  2. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006
  3. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
  4. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
  5. Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
  6. Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.
  7. Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam
  8. Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam
  9. Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam
  10. Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam
  11. The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam
  12. Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam
  13. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
  14. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
  15. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
  16. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
  17. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
  18. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
  19. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
  20. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
  21. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
  22. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
  23. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
  24. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
  25. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
Awards: Several Awards
Visiting Scholar: (2011)
University of Iowa, Iowa City, USA
Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED
Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
We lizee hii takataka uloorodhesha hapa ndo unatumia kuhalalisha uharo unaoutetea?😁😁😁😁hili lizee halina akili
 
Walishikwa ugaidi mwaka 2013 raisi alikuwa Kikwete - Muislamu, wamehukumiwa kunyongwa mwaka 2023 raisi wa sasa ni Samia- Muislamu, hivyo ni Waislamu wamehukumiwa kipindi cha Maraisi Waislamu pia.

Anayebomb kubomoa na kutesa Waislamu na nchi Kiislamu Yemeni ni Saudi Arabia, anaye fund Al Shabaab Somalia na kuharibu na kutesa Waislamu Somalia ni Saudi Arabi pia, anzieni hapo kwanza, …
Wanasema, mbuzi wa bwana kheri amekula shamba la bwana kheri bas kila kitu kheri
 
Mama...
Yawezekana hatufahamiani:

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

  1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
  2. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006
  3. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
  4. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
  5. Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
  6. Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.
  7. Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam
  8. Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam
  9. Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam
  10. Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam
  11. The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam
  12. Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam
  13. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
  14. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
  15. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
  16. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
  17. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
  18. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
  19. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
  20. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
  21. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
  22. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
  23. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
  24. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
  25. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
Awards: Several Awards
Visiting Scholar: (2011)
University of Iowa, Iowa City, USA
Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED
Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
Haijalishi. Hata kina Osama walikuwa wasomi wakubwa tu. Huu usomi wako haulalishi wewe kufanya upumbavu.
 
We lizee hii takataka uloorodhesha hapa ndo unatumia kuhalalisha uharo unaoutetea?😁😁😁😁hili lizee halina akili
Mpaji...
Kutokana na hayo uliyosoma hapo ndiyo nimealikwa kwingi katika vyuo vikuu Afrika
Ulaya na Marekani kuzungumza.
 
Najaribu kuangalia connection ya tukio na neno 'Waislam' hata sioni. Kuna ulazima gani wa kuandika neno waislam kama sio kutafuta public sympathy? Kwa nini hukusema Wadigo au wabondei? Yani muislam akiua asihukumiwe kwa sababu ni muislam? Wew mzee unazeeka vibaya.

Yani unataka waislam wasiguswe kisa wataonekana wanaonewa. Uzuri yote haya yamefanyika ktk ardhi iliyojaa waislam ambapo ukiacha na Rais wa kipindi hicho kuwa muislam, RC alikuwa muislam na possibly migambo wa kijiji na serikali ya kijiji nayo ilikuwa ni ya Waislam. Possibly hata aliyeuawa naye alikuwa muislam.

Wew mzee hizi chuki zako uzuri umekuta nchi ni ya ki demokrasia au ni kwa sababu nchi haijapitia machafuko yoyote ya kidini au kikablia ikaona madhara yake. Wew ulitakiwa uwe ulisha shughulikiwa mapema. Ni vile tu hata hvyo watu wanakupuuza
 
Mzee Mohamed Said ni miongoni mwa watu wanaotumia vibaya vipaji vyao kueneza chuki. Ni mjuzi sana wa kusimulia jambo kwa ufasaha, tatizo lake kubwa ni kuongeza chumvi, uongo na uchonganishi. Hapa katika suala analosimulia hapa anataja kuwa ni waislamu wameonewa!
Tundu Lisu alipigwa risasi Dodoma, sikumsikia Mohamed Said akiripoti kuwa mkristo amepigwa risasi!
Freeman Mbowe alipobambikiwa kesi ya ugaidi sikumsikia Mohamed Said akisema mkristo kabambikiwa
Yule binti Akwilina alipopigwa risasi Kinondoni sikusikia Mohamed akisema mkristo kauawa!

Kwake tatizo likimpata muislamu basi moja kwa moja anahusisha na dini yake! Mzee, haya matatizo yanawakumba wote bila kujali dini! Unapoleta udini unaupunguzia umma ile nguvu ya kusimama pamoja dhidi ya dhuluma. Sote tunapaswa kupinga dhuluma inayompata mtu yeyote bila kujali dini yake. Unaposema waislamu wamefanyiwa ubaya huu au ule, unataka kuaminisha umma kuwa ni nani kafanya ubaya huo? Halafu iweje? Chunga kauli zako mzee. Madhara yake ni makubwa.
Hata umfunde vipi huyu haelewi Wala habadiliki. Yuko kwenye BOX LA uislam haoni chochote kingine hata kikiwa chema.
 
Back
Top Bottom