Sakata la Kupotea Rajab Omari Mtana na Hukumu ya Kunyongwa kwa Masheikh 10 Tanga

Kuna Watu bila Kumtaja GENTAMYCINE hamjisikii raha kabisa. Bebeni Mimba zangu basi ili mzae akina GENTAMYCINE Wengi.
 
…habari nilizowahi kusikia kuhusu kijiji cha ‘madina’ zinatisha! Hata kwenye hii taarifa haijasemwa kua kuna mtoza ushuru alieuwawa na pia polisi kutoka handeni kabla ya ffu kutoka tanga ambao ndio walioweza kudhibiti hali… pengine ni UMBEA TU
 
Hapa Kuna harufufu ya udini.
Waislamu 10?
Je isingekuwa waislam ungekuja kureport hapa?
Mmeshaanza.....
Mahakamani ndio kwenye haki.
Na mbona aliyehukumu hiyo kesi pia ni muislam na hujasema?
 
By the way hayo mawazo Yako MZEE MOHAMED una haki nayo kutashikilia kwa jinsi inayokupendeza hata hata kama Ina hatarishi mshikamano wetu kama TAIFA.

Pia sio lazima kwetu kuyakubali , kuyazingatia na kuyafuata kwa mujibu wako.



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Hapa Kuna harufufu ya udini.
Waislamu 10?
Je isingekuwa waislam ungekuja kureport hapa?
Mmeshaanza.....
Mahakamani ndio kwenye haki.
Na mbona aliyehukumu hiyo kesi pia ni muislam na hujasema?
Huyu mzee pamoja na usomi wake lakini anamapungufu makubwa ya udini ananifanya nifikirie Islam religion is inferiority complex .
 
Hapa Kuna harufufu ya udini.
Waislamu 10?
Je isingekuwa waislam ungekuja kureport hapa?
Mmeshaanza.....
Mahakamani ndio kwenye haki.
Na mbona aliyehukumu hiyo kesi pia ni muislam na hujasema?
Mbaya Zaid jaji mkuu Ni muislamu shida iko wapi wawafunge waislamu
 
Guest,
Hili jambo la matusi limekuwa sehemu ya majibu katika historia ya kalamu yangu.

Lakini hili halijawa jambo la kunizuia mimi kuandika yale ninayoyajua.

Nikitaka ningekuwa natoa taarifa kwa Adm kuwa kuna mtu ameleta matusi katika mjadala na Adm hapo hapo anampiga "ban," yaani anamfungia.

Mimi huwa sifanyi hivyo kwa kuwa namtaka huyu anaetukana abakie niwe na yeye na aendelee kunisoma hata kama atarejea kutoa matusi.

Hakuna amani inayohatarishwa kwa watu kupeana habari za kweli.

Niko hapa jamvini muda mrefu sana na nimepata umaarufu mkubwa na wasomaji wengi.

Sijasikia kama amani imevunjika kwa sababu ya makala zangu.

Kinachotokea ni kutembelewa na vyombo vingi vya habari vya ndani na nje kufanya mahojiano na mimi.
 
Sheikh Mohamed......

Kama Kweli Abu zuberi haijulikni kuwa alizikwa VIP kwa hofu kuwa endapo wangejitokeza ndugh zao Basi wangekamatwa unataka kutuaminisha kuwa police walishindwa VIP kuwafikia ndugu wa marejhemu na ksha kuwa kamata ?
Ni wasi kuwa askra hawashindwi kukamta mtu yoyote wakimuhitaji SAS Hapa unamdanaganya Nani kwa faida gani
 
Hahahah
 
Gkileo,
Yaliyotokea Madina miaka 10 iliyopita yaliwashtua watu wengi sana.

Vyombo vyote vya habari ndani na nje ya nchi viliogopa kuandika yaliyotokea Madina.

Baadhi ya vyombo kama DW ambao ni wepesi sana kwangu kunihoji nilipowaeleza yaliyotokea walisema ni habari kubwa lakini si ya kutangazwa.

Mimi nilifika hadi Handeni kufanya uchunguzi.

Yapo mengi nitaeleza kadri mjadala unavyoenfelea.

Nina picha na sauti za wahusika.
 
Dr.
Huu ndiyo uzuri wa janga linapokuwa limepita.

Muda unatupa nafasi ya kusema bila hofu na kutafuta makosa.

Mimi siko hapa kubishana na yoyote.
Wewe hukuwa unayajua haya wala huwajui ndugu zake Abu Zuberi.

Ikiwa unaona mimi nadanganya si kitu.

Vita subra bado yapo mengi nitaeleza In Shaa Allah.
 
samahani lakini ni kwa nini suala hili umelipa suala la udini sana as if kulikuwa vita ya kati ya waislamu na wasiyo waislamu hapo kijijini? ....ulichofanya si sahihi hata kidogo, wewe ni mchochezi, unless una ushahidi kuwa waliotenda unyama huo ni watu wa dini zingine.
 
Utingo,
Nakuomba uwe na subra.

Anza kuusoma huu uzi toka mwanzo uelewe mkasa wa Madina.

Baada ya hapo unaweza kuja na maswali.
 
Ikikuoendeza tupe story ya waislamu wa kibiti walio dhibitiwa na magufuli for real
 
Bas eleza MZee bill kuficha kitu na kamwe usiwausishe wakristo kwenye mjada huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…