Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Kutesa kwa zamu, mpaka gunia lifike 35,000. Iringa kg1 ya unga 1,200
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuwasaidii lakini ruzuku ya Baadhi ya pembejeo (mfano mbolea) wanazofaidi zinatoka kwenye Kodi zetu wote. Kwa hivyo kwenye hivyo vyakula vyao na Mimi Nina mchango.Mnawasaidia wakulima kulima hayo mahindi?
Tanganyika nakupenda kwa moyo wote... nchi nzuri Tanganyika jina lako ni tamu sana RIP Sila msangiMkuu, hii nchi binafsi ilisha nishinda kitambo sana na niliamua kujitenga na kilakitu maana bila hivyo nitajikuta nafungiwa jela na watawala.
Mbona nyie wapumbavu hamueleweki? Si mlisema mahindi yasiuzwe nje eti inasababisha bei kupanda ndani. Sasa wamezuiia mnalalama tena. Mitanzinia ni mipumbavu hasa hili lililoleta madaHatimaye spika tena ameonyesha ubabe kwa wabunge. Amewazuia wasiongee chochote kuhusu mahindi badala yake wawaelekeze wananchi wakajitwishe mahindi yao nakuuza huko NFRA ambako kuna bei nzuri.
Hakika haya ni maafa mengine kwa Taifa letu. Wananchi vijijini ni masikini wa kutupwa lakini hawana mtetezi. Sijamlisha maneno msikilize mwenyewe ajuza huyu .
Hoja yangu
1. Spika anawajua hao NFRA walipo na anajua wakulima wanapo tokea?
2. Hivi wawakilishi wetu kweli ni watoto wa masikini au wamezaliwa angani?
View attachment 2665814
Kwa msisitizo mmemsikia Bashe akisema kwa jeuri ikiwa NFRA wapo na mkulima akaamua kuuza mahindi kwa bei ya chini basi ametaka mwenyewe.
Bashe unaakili kweli?
Hii nchi nachoka mimi!
Pale hakuna Spika kuna shetani tupuHatimaye spika tena ameonyesha ubabe kwa wabunge. Amewazuia wasiongee chochote kuhusu mahindi badala yake wawaelekeze wananchi wakajitwishe mahindi yao nakuuza huko NFRA ambako kuna bei nzuri.
Hakika haya ni maafa mengine kwa Taifa letu. Wananchi vijijini ni masikini wa kutupwa lakini hawana mtetezi. Sijamlisha maneno msikilize mwenyewe ajuza huyu .
Hoja yangu
1. Spika anawajua hao NFRA walipo na anajua wakulima wanapo tokea?
2. Hivi wawakilishi wetu kweli ni watoto wa masikini au wamezaliwa angani?
View attachment 2665814
Kwa msisitizo mmemsikia Bashe akisema kwa jeuri ikiwa NFRA wapo na mkulima akaamua kuuza mahindi kwa bei ya chini basi ametaka mwenyewe.
Bashe unaakili kweli?
Hii nchi nachoka mimi!
Ahsante. Ila nyie mnaakili. Ila wazazi wako njombe wanauza kwa sasa 2500 kwa debe ni kilio na msiba. Hatuombi kuuza nje ila tunaomba kujadili suala hili. Aliye lazimisha kuuza nje si bashe na tulimkataza hakusikia? Anasitisha kwa ghafla unataka tumuunge mkono. Ahsante kwa kunitukana naamini hata wabunge wetu wanamawazo kama yako. Gunia njombe ni 25000 bei ya asubuhi hii na wiki ijayo litafika 15000 kama alivyo tabiri mbunge wa mbozi.M
Mbona nyie wapumbavu hamueleweki? Si mlisema mahindi yasiuzwe nje eti inasababisha bei kupanda ndani. Sasa wamezuiia mnalalama tena. Mitanzinia ni mipumbavu hasa hili lililoleta mada
Ni mwendo wa kodi tu.Soma hapa
View attachment 2665821
Ujue soko ndilo linaamua beiWewe umemuamini? Tatizo ni kuwa anasema bei elekezi ni kama 80000 kwa gunia wakati mbozi ilianza 120000, ikaja 100000 ikaja 80000 ikaja 60000 sauvi ni about 48000 kwa gunia na bei inashuka kila jua likizama. Hajajibu hilo ana bwabwaja tuu bila kuwasaidia wanyonge
Kwa Tanganyika yetu hii siasa ndio inaamua beiUjue soko ndilo linaamua bei
Uhitaji na Upatikanaji wa bidhaa ndo huamua bei
Mbona kaongea vizuri tu!!?Soma hapa
View attachment 2665821
Government defendant!!Hatimaye spika tena ameonyesha ubabe kwa wabunge. Amewazuia wasiongee chochote kuhusu mahindi badala yake wawaelekeze wananchi wakajitwishe mahindi yao nakuuza huko NFRA ambako kuna bei nzuri.
Hakika haya ni maafa mengine kwa Taifa letu. Wananchi vijijini ni masikini wa kutupwa lakini hawana mtetezi. Sijamlisha maneno msikilize mwenyewe ajuza huyu .
Hoja yangu
1. Spika anawajua hao NFRA walipo na anajua wakulima wanapo tokea?
2. Hivi wawakilishi wetu kweli ni watoto wa masikini au wamezaliwa angani?
View attachment 2665814
Kwa msisitizo mmemsikia Bashe akisema kwa jeuri ikiwa NFRA wapo na mkulima akaamua kuuza mahindi kwa bei ya chini basi ametaka mwenyewe.
Bashe unaakili kweli?
Hii nchi nachoka mimi!
Nitoe Mahindi kutoka Makete kwenda Makambako au mpaka Mbeya wakati kuna Mfanyabiashara anakuja kununua hadi mlangoni!!Ati muulize mbunge wako spika ksmamtuma akwambie ukauze huko
Ni Conservative. Una swali jingine?Wewe ni Chadema sio?
Ni mchagga sio?Ni Conservative. Una swali jingine?
Vip mkianza kununua kilo ya unga kwa Tsh 4000,mtarud tena kusema afunge mipaka?Kwa Tanganyika yetu hii siasa ndio inaamua bei
Akili za kijamaa hizi kulia lia tu kupanda kwa bei ya mazao ni fursa kwa wananchi na serikali ya kuongeza uzalishajiVip mkianza kununua kilo ya unga kwa Tsh 4000,mtarud tena kusema afunge mipaka?
Mkuu,wananchi hao hao wanarud tena kulia pale vyakula vikipanda bei na kuanza kulaumu serikali..umesahau msimu ulio pita? Serikali pamoja na waziri wa kilimo wallitukanwa mnoo kwamba wamefanya uzembe kuruhusu mipaka..leo wamefunga wanalia tena..nini kifanyike?Akili za kijamaa hizi kulia lia tu kupanda kwa bei ya mazao ni fursa kwa wananchi na serikali ya kuongeza uzalishaji