Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
Kma nimekuelewa hiv mkuuuSerikali imetumia mabilioni ya fedha kutoa ruzuku ya pembejeo halafu ukishavuna unataka uwe na mamlaka yote kuhusu mazao yako?Hiyo ruzuku ni fedha ya watu wote hata aambao sio wakulima na manufaa ya ruzuku ni kupunguzia gharama za maisha walaji wote
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app