Sakata la kushuka kwa Bei ya Mahindi: Spika Tulia na Waziri Bashe wawataka wananchi wabebe mahindi yao wakauze NFRA

Sakata la kushuka kwa Bei ya Mahindi: Spika Tulia na Waziri Bashe wawataka wananchi wabebe mahindi yao wakauze NFRA

Hatimaye spika tena ameonyesha ubabe kwa wabunge. Amewazuia wasiongee chochote kuhusu mahindi badala yake wawaelekeze wananchi wakajitwishe mahindi yao nakuuza huko NFRA ambako kuna bei nzuri.

Hakika haya ni maafa mengine kwa Taifa letu. Wananchi vijijini ni masikini wa kutupwa lakini hawana mtetezi. Sijamlisha maneno msikilize mwenyewe ajuza huyu .

Hoja yangu
1. Spika anawajua hao NFRA walipo na anajua wakulima wanapo tokea?

2. Hivi wawakilishi wetu kweli ni watoto wa masikini au wamezaliwa angani?

View attachment 2665814

Kwa msisitizo mmemsikia Bashe akisema kwa jeuri ikiwa NFRA wapo na mkulima akaamua kuuza mahindi kwa bei ya chini basi ametaka mwenyewe.

Bashe unaakili kweli?
Hii nchi nachoka mimi!
hizi ni akili za ajabu sana huwezi amini kama hawa watu wamesoma na wametoka vijijini.wakulima wako vijijini NFRA wako kwenye makao makuu ya mikoa hivyo basi ni mkulima yupi anaweza kukodi gari kupeleka magunia NFRA kwa mfano pale Ruhuwiko Songea mjini,au atoke kule ludewa,manda mpaka pale njombe mjini.hivi hii inaingia akilini kweli?
 
Hatimaye spika tena ameonyesha ubabe kwa wabunge. Amewazuia wasiongee chochote kuhusu mahindi badala yake wawaelekeze wananchi wakajitwishe mahindi yao nakuuza huko NFRA ambako kuna bei nzuri.

Hakika haya ni maafa mengine kwa Taifa letu. Wananchi vijijini ni masikini wa kutupwa lakini hawana mtetezi. Sijamlisha maneno msikilize mwenyewe ajuza huyu .

Hoja yangu
1. Spika anawajua hao NFRA walipo na anajua wakulima wanapo tokea?

2. Hivi wawakilishi wetu kweli ni watoto wa masikini au wamezaliwa angani?

View attachment 2665814

Kwa msisitizo mmemsikia Bashe akisema kwa jeuri ikiwa NFRA wapo na mkulima akaamua kuuza mahindi kwa bei ya chini basi ametaka mwenyewe.

Bashe unaakili kweli?
Hii nchi nachoka mimi!
Wabongo hatuna jema
 
Spika na Bashe wamedeal na hili suala vizuri sana. Hoja ije iwapo hakutakuwa na hivyo vituo vya NFRA. Bashe ndiye waziri pekee toka tupate uhuru anayejaribu kuleta mapinduzi ya kweli kwenye kilimo.
 
Hatimaye spika tena ameonyesha ubabe kwa wabunge. Amewazuia wasiongee chochote kuhusu mahindi badala yake wawaelekeze wananchi wakajitwishe mahindi yao nakuuza huko NFRA ambako kuna bei nzuri.

Hakika haya ni maafa mengine kwa Taifa letu. Wananchi vijijini ni masikini wa kutupwa lakini hawana mtetezi. Sijamlisha maneno msikilize mwenyewe ajuza huyu .

Hoja yangu
1. Spika anawajua hao NFRA walipo na anajua wakulima wanapo tokea?

2. Hivi wawakilishi wetu kweli ni watoto wa masikini au wamezaliwa angani?

View attachment 2665814

Kwa msisitizo mmemsikia Bashe akisema kwa jeuri ikiwa NFRA wapo na mkulima akaamua kuuza mahindi kwa bei ya chini basi ametaka mwenyewe.

Bashe unaakili kweli?
Hii nchi nachoka mimi!
Acha uzushi na uwongo wako huo, tuliomsikiliza ni wengi, Waziri alisema wafanyabiashara warasimishe hiyo shughuli yao kwa kukata leseni za biashara, kuwa na TIN, kuwa na NIDA, KUWA NA TAX CLEARANCE ili serikali iweze kudhibiti(regulate) vizuri km biashara rasmi na waweze kulipa kodi stahiki km watanzania. Nini hakijaeleweka au mmezoea biashara za magendo na ukwepaji wa kodi? Lingine waziri alisema kuna idara ya afya nchi ya jirani imewapa notice kuwa mahindi yetu yana unyevunyevu wa 18%, kwa maana wafanyabiashara wetu wakiendlea kupeleka mahindi km hayo watakuja kufungiwa hiyo biashara na hiyo nchi jirani ambayo nafikiri ni Kenya. Hebu tuwe na utamaduni wa kuisikiliza na kuiheshimu serikali ndio baba wa kila shughuli tunayofanya hapa nchini
 
Mama akaze buti hapo hapo hakuna kuuza nafaka au zao lolote la chakula nje ya Nchi
Huenda wakati umefika hata pamba, kahawa, korosho, karafuu tuache kuuza nje.
Tutumie hapa hapa.

Ukifuatilia kilichotokea kwenye alizeti utaelewa.
Iwapo wewe ni mkulima au nduguyo umpendaye, utaelewa ninachomaanisha.
 
Biashara za holela ndio zinaleta matatizo hebu angalia kuna kipindi hadi mahindi 1500 kwa kilo na mchele hadi 3800, hii control imesaidia sana control ya bei.. Kwa sasa bei imekuwa angalau.. Mm napongeza msimamo wa serikali na waziri wake..
 
Biashara za holela ndio zinaleta matatizo hebu angalia kuna kipindi hadi mahindi 1500 kwa kilo na mchele hadi 3800, hii control imesaidia sana control ya bei.. Kwa sasa bei imekuwa angalau.. Mm napongeza msimamo wa serikali na waziri wake..
Tukiacha biashara za kiholela ndo hapo mkulima anauza mahindi 600 na mfanya biashara 1500..mama ashikilie hapo hapo asiache...
 
Hatimaye spika tena ameonyesha ubabe kwa wabunge. Amewazuia wasiongee chochote kuhusu mahindi badala yake wawaelekeze wananchi wakajitwishe mahindi yao nakuuza huko NFRA ambako kuna bei nzuri.

Hakika haya ni maafa mengine kwa Taifa letu. Wananchi vijijini ni masikini wa kutupwa lakini hawana mtetezi. Sijamlisha maneno msikilize mwenyewe ajuza huyu .

Hoja yangu
1. Spika anawajua hao NFRA walipo na anajua wakulima wanapo tokea?

2. Hivi wawakilishi wetu kweli ni watoto wa masikini au wamezaliwa angani?

View attachment 2665814

Kwa msisitizo mmemsikia Bashe akisema kwa jeuri ikiwa NFRA wapo na mkulima akaamua kuuza mahindi kwa bei ya chini basi ametaka mwenyewe.

Bashe unaakili kweli?
Hii nchi nachoka mimi!
Nyie ni wapuuz, simlikuwa mnasema Samia amekosea kuruhusu mazao kuuzwa nje,mara bei ya chakula imepanda, sasaiv kazuia mnalaumu kkenge nyie, nyie wakatoliki acheni chuki zenu
 
hizi ni akili za ajabu sana huwezi amini kama hawa watu wamesoma na wametoka vijijini.wakulima wako vijijini NFRA wako kwenye makao makuu ya mikoa hivyo basi ni mkulima yupi anaweza kukodi gari kupeleka magunia NFRA kwa mfano pale Ruhuwiko Songea mjini,au atoke kule ludewa,manda mpaka pale njombe mjini.hivi hii inaingia akilini kweli?
Kama hawezi kukodi gari kupeleka magunia NFRA Sasa anawezaje kuyabeba mahindi Kwa malori mpaka mipakani TUNDUMA au Namanga?au wanayabeba kwa kichwa?😂😂😂,

Mi nilikuwa mbishi kama wewe,now nimekubali wanaofaidika na kilimo Tanzania sio wakulima ni MADALALI,wakulima wako vijijini humo maisha magumu hatari.
 
Back
Top Bottom