Sakata la kushuka kwa Bei ya Mahindi: Spika Tulia na Waziri Bashe wawataka wananchi wabebe mahindi yao wakauze NFRA

Sakata la kushuka kwa Bei ya Mahindi: Spika Tulia na Waziri Bashe wawataka wananchi wabebe mahindi yao wakauze NFRA

Nyie ni wapuuz, simlikuwa mnasema Samia amekosea kuruhusu mazao kuuzwa nje,mara bei ya chakula imepanda, sasaiv kazuia mnalaumu kkenge nyie, nyie wakatoliki acheni chuki zenu
Nasikia harufu ya udini hapa mada hii sikutegemea itafikia hapa
 
Wewe umemuamini? Tatizo ni kuwa anasema bei elekezi ni kama 80000 kwa gunia wakati mbozi ilianza 120000, ikaja 100000 ikaja 80000 ikaja 60000 sauvi ni about 48000 kwa gunia na bei inashuka kila jua likizama. Hajajibu hilo ana bwabwaja tuu bila kuwasaidia wanyonge
Serikali huwa haiongei nje ya kilichoandikwa na kwa kutokuwa na flexibility hiyo hupoteza fursa ya ku improve na kuishia kupata na kuwatia wengine hasara
 
Hatimaye spika tena ameonyesha ubabe kwa wabunge. Amewazuia wasiongee chochote kuhusu mahindi badala yake wawaelekeze wananchi wakajitwishe mahindi yao nakuuza huko NFRA ambako kuna bei nzuri.

Hakika haya ni maafa mengine kwa Taifa letu. Wananchi vijijini ni masikini wa kutupwa lakini hawana mtetezi. Sijamlisha maneno msikilize mwenyewe ajuza huyu .

Hoja yangu
1. Spika anawajua hao NFRA walipo na anajua wakulima wanapo tokea?

2. Hivi wawakilishi wetu kweli ni watoto wa masikini au wamezaliwa angani?

View attachment 2665814

Kwa msisitizo mmemsikia Bashe akisema kwa jeuri ikiwa NFRA wapo na mkulima akaamua kuuza mahindi kwa bei ya chini basi ametaka mwenyewe.

Bashe unaakili kweli?
Hii nchi nachoka mimi!
Hao labda wawakilishi wako sisi wengine hatujawachagua
 
Wakulima waungane na Serikali kutunza chakula.

Nchi Ina uhaba wa Chakula, Mahindi mwaka huu ni kiduchu.

Kuna njaa Kali ya muda mrefu inakuja.

Tutaona Nia njema ya Serikali baadae.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen
 
Wewe umemuamini? Tatizo ni kuwa anasema bei elekezi ni kama 80000 kwa gunia wakati mbozi ilianza 120000, ikaja 100000 ikaja 80000 ikaja 60000 sauvi ni about 48000 kwa gunia na bei inashuka kila jua likizama. Hajajibu hilo ana bwabwaja tuu bila kuwasaidia wanyonge
Hii ndio bei ya NFRA?
 
hizi ni akili za ajabu sana huwezi amini kama hawa watu wamesoma na wametoka vijijini.wakulima wako vijijini NFRA wako kwenye makao makuu ya mikoa hivyo basi ni mkulima yupi anaweza kukodi gari kupeleka magunia NFRA kwa mfano pale Ruhuwiko Songea mjini,au atoke kule ludewa,manda mpaka pale njombe mjini.hivi hii inaingia akilini kweli?
Sio kweli bali NFRA wapo kwenye makao makuu ya wilaya nilikuwa Namanyere Rukwa na niliona ofisi zao
 
Biashara za holela ndio zinaleta matatizo hebu angalia kuna kipindi hadi mahindi 1500 kwa kilo na mchele hadi 3800, hii control imesaidia sana control ya bei.. Kwa sasa bei imekuwa angalau.. Mm napongeza msimamo wa serikali na waziri wake..
Mkuu hiyo 1500 ndio unaona ni kubwa huwez amini mpaka sasa hivi Zanzibar kilo ya sembe ni 2200 na mahindi ni 1800- mpaka 2000 na hapo unaambiwa mahindi yameshuka bei.
 
Ni jambo jema kwa sababu serikali ikileta wanunuzi kutoka nje bei zikapanda mnaanza kulia. Sasa bora inunue yenyewe ili fitna na malalamiko yaisha. Acheni kulia pelekeni mahindi NFRA.
Hatimaye spika tena ameonyesha ubabe kwa wabunge. Amewazuia wasiongee chochote kuhusu mahindi badala yake wawaelekeze wananchi wakajitwishe mahindi yao nakuuza huko NFRA ambako kuna bei nzuri.

Hakika haya ni maafa mengine kwa Taifa letu. Wananchi vijijini ni masikini wa kutupwa lakini hawana mtetezi. Sijamlisha maneno msikilize mwenyewe ajuza huyu .

Hoja yangu
1. Spika anawajua hao NFRA walipo na anajua wakulima wanapo tokea?

2. Hivi wawakilishi wetu kweli ni watoto wa masikini au wamezaliwa angani?

View attachment 2665814

Kwa msisitizo mmemsikia Bashe akisema kwa jeuri ikiwa NFRA wapo na mkulima akaamua kuuza mahindi kwa bei ya chini basi ametaka mwenyewe.

Bashe unaakili kweli?
Hii nchi nachoka mimi!
 
Mkuu hiyo 1500 ndio unaona ni kubwa huwez amini mpaka sasa hivi Zanzibar kilo ya sembe ni 2200 na mahindi ni 1800- mpaka 2000 na hapo unaambiwa mahindi yameshuka bei.
Acha porojo.. Zanzibar haijawahi kuwa bei juu chakula.. Mishahara yenyewe ya juu ni 450,000
 
Kwa hili Mimi nasimama na serikali,sababu tukiruhusu mahindi yote yauzwe nje ya nchi, baada ya muda mfupi tutapatwa na janga la njaa.
Ni nyinyi hawahawa mnaotaka leo mahindi yauzzwe nje ya nchi kesho tena mtalia njaa, na mtaitaka serikali iwaletee mahindi ya bei nafuu,sijui itayapata wapi.
Kumbukeni kabisa kwamba maeneo mengi ya nchi yetu yalikumbwa na ukame msimu uliopita,kwa hiyo,kutakuwa na janga la njaa muda si mrefu ujao.
 
Wengi wenu mnaolalamika kwamba mruhusiwe kuuza mahindi nje ya nchi siyo wakulima, ni madalali mliowanunulia wakulima kwa bei ndogo harafu nyinyi mnataka mkauze nje kwa bei kubwa.
Naiomba serikali kwa hili isiwasikilize.
 
Back
Top Bottom