Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Nasikia harufu ya udini hapa mada hii sikutegemea itafikia hapaNyie ni wapuuz, simlikuwa mnasema Samia amekosea kuruhusu mazao kuuzwa nje,mara bei ya chakula imepanda, sasaiv kazuia mnalaumu kkenge nyie, nyie wakatoliki acheni chuki zenu
Serikali huwa haiongei nje ya kilichoandikwa na kwa kutokuwa na flexibility hiyo hupoteza fursa ya ku improve na kuishia kupata na kuwatia wengine hasaraWewe umemuamini? Tatizo ni kuwa anasema bei elekezi ni kama 80000 kwa gunia wakati mbozi ilianza 120000, ikaja 100000 ikaja 80000 ikaja 60000 sauvi ni about 48000 kwa gunia na bei inashuka kila jua likizama. Hajajibu hilo ana bwabwaja tuu bila kuwasaidia wanyonge
Naunga mkono hoja.Soma hapa
View attachment 2665821
Hao labda wawakilishi wako sisi wengine hatujawachaguaHatimaye spika tena ameonyesha ubabe kwa wabunge. Amewazuia wasiongee chochote kuhusu mahindi badala yake wawaelekeze wananchi wakajitwishe mahindi yao nakuuza huko NFRA ambako kuna bei nzuri.
Hakika haya ni maafa mengine kwa Taifa letu. Wananchi vijijini ni masikini wa kutupwa lakini hawana mtetezi. Sijamlisha maneno msikilize mwenyewe ajuza huyu .
Hoja yangu
1. Spika anawajua hao NFRA walipo na anajua wakulima wanapo tokea?
2. Hivi wawakilishi wetu kweli ni watoto wa masikini au wamezaliwa angani?
View attachment 2665814
Kwa msisitizo mmemsikia Bashe akisema kwa jeuri ikiwa NFRA wapo na mkulima akaamua kuuza mahindi kwa bei ya chini basi ametaka mwenyewe.
Bashe unaakili kweli?
Hii nchi nachoka mimi!
Umejuaje?BASHE YUPO VZR NA ANA UPEO MKUBWA..
Hilo somo linaitwa mjariamali na mambo yanayo mzunguka, (the entrepreneur and his/her environments)Soma hapa
View attachment 2665821
Naunga mkono hojaMama akaze buti hapo hapo hakuna kuuza nafaka au zao lolote la chakula nje ya Nchi
Hii ndio bei ya NFRA?Wewe umemuamini? Tatizo ni kuwa anasema bei elekezi ni kama 80000 kwa gunia wakati mbozi ilianza 120000, ikaja 100000 ikaja 80000 ikaja 60000 sauvi ni about 48000 kwa gunia na bei inashuka kila jua likizama. Hajajibu hilo ana bwabwaja tuu bila kuwasaidia wanyonge
Zanzibar bado wamekaza shingo kilo ya sembe 2200Kutesa kwa zamu, mpaka gunia lifike 35,000. Iringa kg1 ya unga 1,200
Sio kweli bali NFRA wapo kwenye makao makuu ya wilaya nilikuwa Namanyere Rukwa na niliona ofisi zaohizi ni akili za ajabu sana huwezi amini kama hawa watu wamesoma na wametoka vijijini.wakulima wako vijijini NFRA wako kwenye makao makuu ya mikoa hivyo basi ni mkulima yupi anaweza kukodi gari kupeleka magunia NFRA kwa mfano pale Ruhuwiko Songea mjini,au atoke kule ludewa,manda mpaka pale njombe mjini.hivi hii inaingia akilini kweli?
Mkuu hiyo 1500 ndio unaona ni kubwa huwez amini mpaka sasa hivi Zanzibar kilo ya sembe ni 2200 na mahindi ni 1800- mpaka 2000 na hapo unaambiwa mahindi yameshuka bei.Biashara za holela ndio zinaleta matatizo hebu angalia kuna kipindi hadi mahindi 1500 kwa kilo na mchele hadi 3800, hii control imesaidia sana control ya bei.. Kwa sasa bei imekuwa angalau.. Mm napongeza msimamo wa serikali na waziri wake..
Sasa huyu dalali chakula kisipoenda nje unadhani yeye ndio anapata hasara?Mnasingizia wakulima,wakati madalali mmejaa kila pembe ya nchi ndio mnao mlalia mkulima
Sasa huyu dalali chakula kisipoenda nje unadhani yeye ndio anapata hasara?
Hatimaye spika tena ameonyesha ubabe kwa wabunge. Amewazuia wasiongee chochote kuhusu mahindi badala yake wawaelekeze wananchi wakajitwishe mahindi yao nakuuza huko NFRA ambako kuna bei nzuri.
Hakika haya ni maafa mengine kwa Taifa letu. Wananchi vijijini ni masikini wa kutupwa lakini hawana mtetezi. Sijamlisha maneno msikilize mwenyewe ajuza huyu .
Hoja yangu
1. Spika anawajua hao NFRA walipo na anajua wakulima wanapo tokea?
2. Hivi wawakilishi wetu kweli ni watoto wa masikini au wamezaliwa angani?
View attachment 2665814
Kwa msisitizo mmemsikia Bashe akisema kwa jeuri ikiwa NFRA wapo na mkulima akaamua kuuza mahindi kwa bei ya chini basi ametaka mwenyewe.
Bashe unaakili kweli?
Hii nchi nachoka mimi!
Acha porojo.. Zanzibar haijawahi kuwa bei juu chakula.. Mishahara yenyewe ya juu ni 450,000Mkuu hiyo 1500 ndio unaona ni kubwa huwez amini mpaka sasa hivi Zanzibar kilo ya sembe ni 2200 na mahindi ni 1800- mpaka 2000 na hapo unaambiwa mahindi yameshuka bei.
Ha haM
Mbona nyie wapumbavu hamueleweki? Si mlisema mahindi yasiuzwe nje eti inasababisha bei kupanda ndani. Sasa wamezuiia mnalalama tena. Mitanzinia ni mipumbavu hasa hili lililoleta mada