Serikali imetumia mabilioni ya fedha kutoa ruzuku ya pembejeo halafu ukishavuna unataka uwe na mamlaka yote kuhusu mazao yako?Hiyo ruzuku ni fedha ya watu wote hata aambao sio wakulima na manufaa ya ruzuku ni kupunguzia gharama za maisha walaji wote
Sent from my SM-A105F using
JamiiForums mobile app