Sakata la Makonda: Mpaka sasa Samia hana CCM, hana wananchi, hana serikali

Sakata la Makonda: Mpaka sasa Samia hana CCM, hana wananchi, hana serikali

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Samia kupitia CCM aliweka katibu mwenezi laghai kwa wananchi kwa jina Makonda, wakamwamini, baadae alamuondoa, wananchi hawamuelewi, na CCM hawamuelewi, amekuwa akiitukana serikali kila leo, lwa hiyo Baraza zima la mawaziri na serikali inamuona katumwa na Samia, uongozi mkuu wa ccm hauko na Samia kwenye suala la kumpa teuzi makonda.

Makonda alisema yeye ana utii kwa kaburi, sio Samia

Je nani yuko na Samia!?
 
Samia lupitia CCM aliweka katibu mwenezi laghai kwa wananchi kwa jina Makonda, wakamwamini, baadae alamuondoa, wananchi hawamuelewi, na CCM hawamuelewi, amekuwa akiitukana serikali kila leo, lwa hiyo Baraza zima la mawaziri na serikali inamuona katumwa na Samia, uongozi mkuu wa ccm hauko na Samia kwenye suala la kumpa teuzi makonda.

Makonda alisema yeye ana utii kwa kaburi, sio Samia

Je nani yuko na Samia!?
Kwa hiyo arejeshwe Bashiru au Kabudi?
 
IMG-20240409-WA0000.jpg
 
Hii nchi viongozi wafanyayo wanachekesha,wanasikitisha na kuuliza kwampigo 🤣😞😭...
*Uchaguzi serikali za mitaa unasimamiwa na tamisemi🤣😞😭
Mtu na mama mkwe wake ndiyo wanaongoza ofisi ya rais,tamisemi🤣😞😭
*Alafu wanatumia mamilioni kwenda kwakina moringe Sokoine kusisitiza tuwe wabadhilifu na watenda haki🤣😞😭
*Amiro jesh mkuu na kiongozi wa chama cha mapinduzi ni mwanamke akisaidiwa na wanaume!! Wanaume wanakuwa wasaidizi wa mwanamke🤣😞😭
*Viongozi wanapinga uchawa lkn wanakuwa chawa wa rais🤣😞😭
*Kodi zetu zikifanya jambo tunaambiwa rais katoa Hela sijui kodiyetu huenda wapi🤣😞😭
*Rais atoka nchi yake yenye katiba yake LAKINI hataki wengine anaowatawala wapate katiba,kusudi atawale atakavyo🤣😞😭
*Tunapinga kupita bila kupingwa lkn chama kinakataza mtu asichukue fomu kugombea uraisi chamani.
*Sheria za uchaguzi zinazokinzana na katiba na ni wanasheria wanaolipwa mapesa meengi wamekaa kutunga Sheria hizo🤣😞😭
*Rais na 4R zake anateua MTUHUMIWA WA MAUAJI (USA wamesema) nakumsifu eti ulifanya kazi nzuri,unajua nachotaka ukafanye na namatumaini makubwa nawewe🤣😞😭
 
Hii nchi viongozi wafanyayo wanachekesha,wanasikitisha na kuuliza kwampigo [emoji1787][emoji20][emoji24]...
*Uchaguzi serikali za mitaa unasimamiwa na tamisemi[emoji1787][emoji20][emoji24]
Mtu na mama mkwe wake ndiyo wanaongoza ofisi ya rais,tamisemi[emoji1787][emoji20][emoji24]
*Alafu wanatumia mamilioni kwenda kwakina moringe Sokoine kusisitiza tuwe wabadhilifu na watenda haki[emoji1787][emoji20][emoji24]
*Amiro jesh mkuu na kiongozi wa chama cha mapinduzi ni mwanamke akisaidiwa na wanaume!! Wanaume wanakuwa wasaidizi wa mwanamke[emoji1787][emoji20][emoji24]
*Viongozi wanapinga uchawa lkn wanakuwa chawa wa rais[emoji1787][emoji20][emoji24]
*Kodi zetu zikifanya jambo tunaambiwa rais katoa Hela sijui kodiyetu huenda wapi[emoji1787][emoji20][emoji24]
*Rais atoka nchi yake yenye katiba yake LAKINI hataki wengine anaowatawala wapate katiba,kusudi atawale atakavyo[emoji1787][emoji20][emoji24]
*Tunapinga kupita bila kupingwa lkn chama kinakataza mtu asichukue fomu kugombea uraisi chamani.
*Sheria za uchaguzi zinazokinzana na katiba na ni wanasheria wanaolipwa mapesa meengi wamekaa kutunga Sheria hizo[emoji1787][emoji20][emoji24]
*Rais na 4R zake anateua MTUHUMIWA WA MAUAJI (USA wamesema) nakumsifu eti ulifanya kazi nzuri,unajua nachotaka ukafanye na namatumaini makubwa nawewe[emoji1787][emoji20][emoji24]
Achana na Makonda,

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
Makonda amekuwa ni kivuruge ndani ya chama. Binafsi nafarijika sana kwa namna anavyoendelea kuleta mvurugano ndani ya ccm.
Hunishindi mimi,natamati wauane kabisa hawa mashetani ili nchi i
Makonda amebadilishiwa majukumu hajaondolewa na huko Arusha ndio atasikika Zaidi kuliko Nakala 😂😂
Na ndiyo tumemsikia akisema Mwigulu Nchemba ndiye anamlipa Mange Kimambi mamilioni ili amtukane Rais wetu
 
Hunishindi mimi,natamati wauane kabisa hawa mashetani ili nchi i

Na ndiyo tumemsikia akisema Mwigulu Nchemba ndiye anamlipa Mange Kimambi mamilioni ili amtukane Rais wetu
Mwigullu ndio kamrudisha Lema nchini Baada ya kumuombea kwa mama

Unaweza kuona kwa Wanasiasa lolote lawezekana
 
Back
Top Bottom