Sakata la Makonda: Mpaka sasa Samia hana CCM, hana wananchi, hana serikali

Sakata la Makonda: Mpaka sasa Samia hana CCM, hana wananchi, hana serikali

Samia lupitia CCM aliweka katibu mwenezi laghai kwa wananchi kwa jina Makonda, wakamwamini, baadae alamuondoa, wananchi hawamuelewi, na CCM hawamuelewi, amekuwa akiitukana serikali kila leo, lwa hiyo Baraza zima la mawaziri na serikali inamuona katumwa na Samia, uongozi mkuu wa ccm hauko na Samia kwenye suala la kumpa teuzi makonda.

Makonda alisema yeye ana utii kwa kaburi, sio Samia

Je nani yuko na Samia!?
Kwa hiyo mgombea urais ni wewe au?
 
Samia kupitia CCM aliweka katibu mwenezi laghai kwa wananchi kwa jina Makonda, wakamwamini, baadae alamuondoa, wananchi hawamuelewi, na CCM hawamuelewi, amekuwa akiitukana serikali kila leo, lwa hiyo Baraza zima la mawaziri na serikali inamuona katumwa na Samia, uongozi mkuu wa ccm hauko na Samia kwenye suala la kumpa teuzi makonda.

Makonda alisema yeye ana utii kwa kaburi, sio Samia

Je nani yuko na Samia!?
Jana hadi nilimwonea huruma mama. imagine upo kwenye mkutano, alafu kijana mdogo kama yule anatamka kwamba kuna mawaziri wanawatuma watu wamtukane rais, na anawapa muda anaweza kuwataja. Na rais hajafanya chochochote, nilikuwa nategemea rais kama kamanda wa nchi, amwamrishe huyu kijana haraka awataje na alete evidence ili washughulikiwe, matokeo yake, yeye ndio anaonekana kama ndio rais, mama anaonekana wazi anaendeshwa na kijana huyu. inaumiza sana. imagine, kijana kama huyu angetamka hayo kwa JK akiwa Rais, JK angechukua hatua gani, au mkapa.
 
Samia ameingia chaka kumrejesha makonda kwenye uongozi sasa anajuta hajui cha kufanya maana wenzake walimpa tahadhari lakini aliwapuuza sasa vita kali inaunguruma Chamani.
Bila Makonda CCM ilikuaje kabla?
 
Jana hadi nilimwonea huruma mama. imagine upo kwenye mkutano, alafu kijana mdogo kama yule anatamka kwamba kuna mawaziri wanawatuma watu wamtukane rais, na anawapa muda anaweza kuwataja. Na rais hajafanya chochochote, nilikuwa nategemea rais kama kamanda wa nchi, amwamrishe huyu kijana haraka awataje na alete evidence ili washughulikiwe, matokeo yake, yeye ndio anaonekana kama ndio rais, mama anaonekana wazi anaendeshwa na kijana huyu. inaumiza sana. imagine, kijana kama huyu angetamka hayo kwa JK akiwa Rais, JK angechukua hatua gani, au mkapa.
Mbona ni kawaida au nimesahau awamu ya 5? Kwani ni mara ya kwanza Kwa Makonda kuongea hayo?

Pili kwani ni mara ya kwanza mnasikia? Mbona Chalamila amewahi sema hayo anayotamka Makonda?

Mwisho hakuna jipya kwa Samia hapo ndio maana hayumbishwi na mikanyagano ya makundi yenu.
 
Jana hadi nilimwonea huruma mama. imagine upo kwenye mkutano, alafu kijana mdogo kama yule anatamka kwamba kuna mawaziri wanawatuma watu wamtukane rais, na anawapa muda anaweza kuwataja. Na rais hajafanya chochochote, nilikuwa nategemea rais kama kamanda wa nchi, amwamrishe huyu kijana haraka awataje na alete evidence ili washughulikiwe, matokeo yake, yeye ndio anaonekana kama ndio rais, mama anaonekana wazi anaendeshwa na kijana huyu. inaumiza sana. imagine, kijana kama huyu angetamka hayo kwa JK akiwa Rais, JK angechukua hatua gani, au mkapa.
Mimi sioni kosa Makonda, Makonda ndio mtu anayeonyesha uhai wa hicho chama kikawaida ikitokea Raisi anatukanwa kama vile, msemaji wa serikali au watendaji wake kama mawaziri wanatakiwa kureact but wapo kimya ndio maana Makonda akasimama.Mtamuonea sana kumsema Makonda kwenye kila kitu lakini matatizo mengi ya serikali yanasababishwa na wao kutokuwa watendaji wa mambo
 
Ana mwanawe wa pekee makonda
Tupatie habari ya uhakika, wengi wanadai Mchengerwa ni mkwewe Samia, na Abdul ni mwanae Samia pia. Au unamaanisha Makonda ni mtoto pekee wa kufikia wa Samia?
 
Hili nalo neno. Sijui kwanini nimewaza jambo ambalo sijui ni zuri au baya. Huyu aweza kuwa makamo hapo mbele.

Makonda kuwa tu mgombea mwenza, itakuwa ndiyo mwisho wa CCM. Akijaribu kufanya hivyo atakuwa ameliponya Taifa.
 
Jana hadi nilimwonea huruma mama. imagine upo kwenye mkutano, alafu kijana mdogo kama yule anatamka kwamba kuna mawaziri wanawatuma watu wamtukane rais, na anawapa muda anaweza kuwataja. Na rais hajafanya chochochote, nilikuwa nategemea rais kama kamanda wa nchi, amwamrishe huyu kijana haraka awataje na alete evidence ili washughulikiwe, matokeo yake, yeye ndio anaonekana kama ndio rais, mama anaonekana wazi anaendeshwa na kijana huyu. inaumiza sana. imagine, kijana kama huyu angetamka hayo kwa JK akiwa Rais, JK angechukua hatua gani, au mkapa.
Aibu sana, atamke hayo mbele ya Nyerere, Mkapa, au JK, angekuwa safe house mpaka sasa, maana what he said ni uhaini
 
Samiah no Rais was katiba sio wa wananchi!na anajua Hana ushawishi kabisa ndio maana kaanza kampeni mapema kabla ya uchaguzi mkuu!!

mwenye serikali,wananchi na mamlaka ya kiroho juu ya Tanzania Alishaenda Kwa Baba mwenyezi!!


Ndio maana anatafuta watu wakumsemea vitu ambavyo hawezi kuvisema hadharani kama makonda!!

Angekua mwenye serikali asingeogopa kusema hadharani Kuna mawaziri wananitukana na nawajua !!
 
Back
Top Bottom