CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Sasa ndiyo amlipe Mange Kimambi mamilioni ili amtukane Rais?Mwigullu ndio kamrudisha Lema nchini Baada ya kumuombea kwa mama
Unaweza kuona kwa Wanasiasa lolote lawezekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndiyo amlipe Mange Kimambi mamilioni ili amtukane Rais?Mwigullu ndio kamrudisha Lema nchini Baada ya kumuombea kwa mama
Unaweza kuona kwa Wanasiasa lolote lawezekana
Basi atakulipa Wewe 😂😂😂Sasa ndiyo amlipe Mange Kimambi mamilioni ili amtukane Rais?
Huko CCM hakuna aliye msafi,Hafai kuwa rais
View attachment 2962089
Mama anajilia watoto wakali hatari, vijana mnaachiwa makapi tuHafai kuwa rais
View attachment 2962089
Mimi siyo mtukanaji. Kwa nini Mwigulu amlipe Mange mamilioni ili amtukane Rais wetu?Basi atakulipa Wewe 😂😂😂
Na bado hamjasema... pathetic fuuul 😉Samia lupitia CCM aliweka katibu mwenezi laghai kwa wananchi kwa jina Makonda, wakamwamini, baadae alamuondoa, wananchi hawamuelewi, na CCM hawamuelewi, amekuwa akiitukana serikali kila leo, lwa hiyo Baraza zima la mawaziri na serikali inamuona katumwa na Samia, uongozi mkuu wa ccm hauko na Samia kwenye suala la kumpa teuzi makonda.
Makonda alisema yeye ana utii kwa kaburi, sio Samia
Je nani yuko na Samia!?
Unadhani Wewe na Bint Kimambi mko tofauti mitandaoni? 🤣🤣Mimi siyo mtukanaji. Kwa nini Mwigulu amlipe Mange mamilioni ili amtukane Rais wetu?
Wewe ni chawa wa Mwigulu Nchemba.Unadhani Wewe na Bint Kimambi mko tofauti mitandaoni? 🤣🤣
Unazo wewe zote hizo.Samia lupitia CCM aliweka katibu mwenezi laghai kwa wananchi kwa jina Makonda, wakamwamini, baadae alamuondoa, wananchi hawamuelewi, na CCM hawamuelewi, amekuwa akiitukana serikali kila leo, lwa hiyo Baraza zima la mawaziri na serikali inamuona katumwa na Samia, uongozi mkuu wa ccm hauko na Samia kwenye suala la kumpa teuzi makonda.
Makonda alisema yeye ana utii kwa kaburi, sio Samia
Je nani yuko na Samia!?
Samia amebaki na dola!Samia lupitia CCM aliweka katibu mwenezi laghai kwa wananchi kwa jina Makonda, wakamwamini, baadae alamuondoa, wananchi hawamuelewi, na CCM hawamuelewi, amekuwa akiitukana serikali kila leo, lwa hiyo Baraza zima la mawaziri na serikali inamuona katumwa na Samia, uongozi mkuu wa ccm hauko na Samia kwenye suala la kumpa teuzi makonda.
Makonda alisema yeye ana utii kwa kaburi, sio Samia
Je nani yuko na Samia!?
Hapo Chadema Freeman, Lema, Mrema, COVID 19 nk...nk walijisalimisha kwa Mwigullu kitambo Sana 😂😂😂Wewe ni chawa wa Mwigulu Nchemba.
Kumbe huwa mnakutana huko siku ya mshaharaHapo Chadema Freeman, Lema, Mrema, COVID 19 nk...nk walijisalimisha kwa Mwigullu kitambo Sana 😂😂😂
Kabakia kaka yake tu Tundu Antipas Lisu ambaye anasogezwa pale NCCR mageuzi kwa Selasini
ACT wazalendo tunaye manka Naniliu
Mechi ilishaisha kitambo 😂😂😂
Hili nalo neno. Sijui kwanini nimewaza jambo ambalo sijui ni zuri au baya. Huyu aweza kuwa makamo hapo mbele.Akiwa na "mwanae wa pekee" inatosha
Huu ndiyo nakusubiria kwa hamu,Nauona umwagikaji damu siku kadhaa zijazo.
Maslahi ya nchi ni pamoja na kumlinda Samia!Dola haina mwenyewe, inageuka kwa kuangalia maslahi ya nchi
Samia ana uwezo mdogo wa kufanya maamuzi sahihiSamia lupitia CCM aliweka katibu mwenezi laghai kwa wananchi kwa jina Makonda, wakamwamini, baadae alamuondoa, wananchi hawamuelewi, na CCM hawamuelewi, amekuwa akiitukana serikali kila leo, lwa hiyo Baraza zima la mawaziri na serikali inamuona katumwa na Samia, uongozi mkuu wa ccm hauko na Samia kwenye suala la kumpa teuzi makonda.
Makonda alisema yeye ana utii kwa kaburi, sio Samia
Je nani yuko na Samia!?
Fisadi yupi kwa mfano?Makonda amewashika mafisadi pabaya !
Ngoja Tusubiri tuone !!