Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemsahau JPMAibu sana, atamke hayo mbele ya Nyerere, Mkapa, au JK, angekuwa safe house mpaka sasa, maana what he said ni uhaini
Wale ambao wanautaka na URais 2025 !Mkuu mafisadi ndio kina nani???
Wakati wa JPM, kigogo na mangekimambi walitumika na hao hao mawaziri kuwafikishia taarifa za kuhujumu utawala wake. Ikafikia stage wakadukuliwa na wakaenda kuomba radhi ikulu. Lengo lao lilikuwa kumtoa/kumpindua JPM na kumchafua ili wachukue madaraka. Kama lengo lao ni kuingia madarakani kwa nini wasiendelee kumchafua hata mama Samia?? Their mission has has not been done yet until it's done. Rais mwenyewe alishawahi kusema wapinzani/wabaya wake hawatatoka huko kwingine bali ndani ya CCM rejeeni hotuba zake. Kwa nini mnashangaa kauli ya Makonda?? Je, kama hao watu wapo mlitaka mmchagulie mama approach atakayoitumia kuwafikishia ujumbe hao wahaini???!!! Walikuwepo tangu kipindi Cha Nyerere, JPM, hata mama Samia anao anawasikia na wengine Kuna namna amewachukulia hatua na tunawajua na Sasa hawako kwenye cabinet yake wametupwa nje kabisa. Hizi kauli za Makonda tumwachie mama Samia na serikali yake ndo anajua zaidi kwa nini na namna ya kudeal nazo.....acheni u much know wakati you don't know what is inside the box.
Duh 🙄 !Hunishindi mimi,natamati wauane kabisa hawa mashetani ili nchi i
Na ndiyo tumemsikia akisema Mwigulu Nchemba ndiye anamlipa Mange Kimambi mamilioni ili amtukane Rais wetu
Wote warejeshwe hata Polepole awepo wapeane mbinu maana chaguzi zinakujaKwa hiyo arejeshwe Bashiru au Kabudi?
Kama linazaa takataka ww na mama yako ni uharooooo wa mavi.Basi tumbo lake litakuwa linazaa takataka
Una laana kubwa sana, hebu rudia kusoma ulichoandikaSamia kupitia CCM aliweka katibu mwenezi laghai kwa wananchi kwa jina Makonda, wakamwamini, baadae alamuondoa, wananchi hawamuelewi, na CCM hawamuelewi, amekuwa akiitukana serikali kila leo, lwa hiyo Baraza zima la mawaziri na serikali inamuona katumwa na Samia, uongozi mkuu wa ccm hauko na Samia kwenye suala la kumpa teuzi makonda.
Makonda alisema yeye ana utii kwa kaburi, sio Samia
Je nani yuko na Samia!?