Ngoja niangalie kwenye kilinge changu kama nami nilishakojoa hapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila hili sakata la huyu mtoto, anayetakiwa kutoa majibu ni Amber, maan mtoto mwenyewe inasemekana wa MAJANI.
Ndo madhara ya kuwa mdangaji, kila aliyekojoa anadai mbegu ni yake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pamoja na hao polisiBotion nime mvua vyeo vyote ndan ya 26 ni utoto anaofanya anatumia nguvu nyingi kupambana na fala
Ila mwanangu wanaume sisi roho ngumu kinyama,yani unampiga miti mtu kama AmberLulu kavu kavu bila ndomu na life linasonga kama kawa.Msanii wa Bongo Fleva anayependa kiki Bongo, Hamorapa amekamatwa na polisi, leo Jumamosi, Mei 8, 2021, katika Ukumbi wa Hotel ya Kebbys, uliopo Mwenge, jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Kukamatwa kwa Harmorapa kunatokana na kauli yake aliyoitoa akidai kuwa mtoto wa Amber Lulu ni wa kwake kwani wanafanana.
Baada ya kauli hiyo mzazi mwenzake na Amber Lulu aanayejulikana kama Mr. Botion alimbana Harmorapa ambaye alikana na kusema kuwa mtoto huyo si wake.
lakini baada ya kuondoka alijirekodi tena kipande cha video akisema amenyanyaswa na kudharirishwa na Botion na wenzake hivyo akasisitiza kuwa mtoto yule ni wa kwake na atazungumza na wanahabari kuanika ukweli halisi, lakini wakati akiendelea kuzungumza na wanahabari ndipo Botion alitua na polisi wakamkamata na kumpeleka kituo cha polisi Mabatini.
©GP
Polis wetu watakua wamewekewa mafuta na kukodiwa hiyo Prado lakn botion hana Prado labda iwe ya jamaa yake poor millionairePamoja na hao polisi
Siku hizi kuna nyimbo za ajabu sana, sijui kwanini Basata hawazipigi pini.Kunasiku nilijisikia aibu sana kwa matatu, kunanyimbo ilikua inapigwa sijui nini nini.... Alafu kibwagizo kinasema eti kojoa ndani kama sio mwagia ndani...😂😂😂😂
Sasa hao vijana ndio watulize pumbyu zao ...Ukweli anaujua Amberlulu
Kwani huyo Botion ni nani?Polis wetu watakua wamewekewa mafuta na kukodiwa hiyo Prado lakn botion hana Prado labda iwe ya jamaa yake poor millionaire
Mabazazi wa ukweli huwa wanapima tena na tena na tena kabla ya kurusha chombo anga za ndani 'deep space'Ila mwanangu wanaume sisi roho ngumu kinyama,yani unampiga miti mtu kama AmberLulu kavu kavu bila ndomu na life linasonga kama kawa.
Polisi wetu nao wakishaona fursa tu hawafanyi kosaPolis wetu watakua wamewekewa mafuta na kukodiwa hiyo Prado lakn botion hana Prado labda iwe ya jamaa yake poor millionaire
Tena kwenye hotel ya "mkuu". 😀Daah siku zinakimbia eti leo hamorapa anaongea na waandishi wa habari.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hamorapa si yule aliyetoka nduki sana kwenye tukio na Nape?
Hao wengine mngeweka picha zao tuwaone.
Kwani Amber ana nini cha ajabu ambacho hawezi kudate na harmorapa? Mbna walikua wanadate hao watu.Sawa yupo vizur lakn kwa mashauz ya amber lulu kwel jamii kwel aitangazie huyu mtoto wa harmo rapa hahaha mm napinga hata kama kwel mtoto wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umepatiaje sasa lol.Kama Dulvany na Rayvanny
Kabisa tena tuanze na kura za maoni.Tupige kura[emoji38]
1. Mtoto ni wa Harmorapa[emoji38]Kabisa tena tuanze na kura za maoni.
Anajua sana, hata alale na wanaume 6 kwa siku 1 , anajua nani kampa mimba.Kwani nani anawadanganya kwamba mwanamke ndio ana uwezo wa kujua baba wa mtoto? Yaani mwanamke atembee na wanaume watatu ndani ya siku tatu mfululizo, atakuwaje na uwezo wa kumjua aliyempa ujauzito?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo tatizo hiloWamemkojolea wengi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuuuh plz km ulishawahi kukojoa hapo, naomba tudai mtoto, damu yetu isipoteeh bureeh.Ngoja niangalie kwenye kilinge changu kama nami nilishakojoa hapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]