Sakata la Ngorongoro: Tundu Lissu adai vyombo vya habari vimetishwa na kunyamaza

Sakata la Ngorongoro: Tundu Lissu adai vyombo vya habari vimetishwa na kunyamaza

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kayasema haya kupitia mtandao wa twitter masaa mawili yaliyopita:

Screenshot_20220610-183132_Twitter.jpg
 
Mods hebu hizi thread zinazohusu Ngorongoro mziunganishe na ule uzi wa jana wa Erythrocyte ili uwe uzi mmoja. Kitendo cha kujaza nyuzi karibu 5 au 10 tofauti zenye ujumbe mmoja hakiendani na utaratibu wenu wa siku zote. Tumekuwa tukiona baadhi yetu tukiandika thread inayoshabihiana na nyingine hapa JF basi thread hiyo either itaunganishwa na ile iliyotangulia kuandikwa hapa JF au itafutwa kabisa. Sasa nashangaa hizi zingine mnaziacha zijazane hapa bila sababu za msingi. Na nyinyi wahusika mme relax kabisa, kisa tu zimeandikwa na watu fulani, wa chama fulani, na zinamhusu mtu fulani. Kifupi inaonekana waandishi hao wa thread hizi wana hatimiliki ya app hii ya JF maana sio rahisi mtu wa kawaida kama mimi kuandika thread inayofanana na nyingine hapa jukwaani afu ikaachwa ijitegemee kama hivi tuonavyo hapa.
 
Back
Top Bottom