Sakata la Ngorongoro: Tundu Lissu adai vyombo vya habari vimetishwa na kunyamaza

Sakata la Ngorongoro: Tundu Lissu adai vyombo vya habari vimetishwa na kunyamaza

Haiwezekani,
Haiwezekani,
Huwezi lInganisha hayo, huwezi kuhalalisha GENOCIDE
GENOCIDE sio Upanuzi wa barabara, GENOCIDE ni GENOCIDE
Kuna UZI ambao umeniuzi. Nina Jazba, hayo juu ndio yaliyonitoka vidoleni- kwa kweli nimekurupuka-nina machungu.

Mh. Tundu Lissu. Nakuunga mkono ja tamko lako.
 
Mods hebu hizi thread zinazohusu Ngorongoro mziunganishe na ule uzi wa jana wa Erythrocyte ili uwe uzi mmoja. Kitendo cha kujaza nyuzi karibu 5 au 10 tofauti zenye ujumbe mmoja hakiendani na utaratibu wenu wa siku zote. Tumekuwa tukiona baadhi yetu tukiandika thread inayoshabihiana na nyingine hapa JF basi thread hiyo either itaunganishwa na ile iliyotangulia kuandikwa hapa JF au itafutwa kabisa. Sasa nashangaa hizi zingine mnaziacha zijazane hapa bila sababu za msingi. Na nyinyi wahusika mme relax kabisa, kisa tu zimeandikwa na watu fulani, wa chama fulani, na zinamhusu mtu fulani. Kifupi inaonekana waandishi hao wa thread hizi wana hatimiliki ya app hii ya JF maana sio rahisi mtu wa kawaida kama mimi kuandika thread inayofanana na nyingine hapa jukwaani afu ikaachwa ijitegemee kama hivi tuonavyo hapa.
Unalia nini wewe , mbona nyuzi hizi hazifanani maudhui ? Acha dunia ijue unyama wenu
 
kutetea wamasaia tayari anaqualify kuwa mpinzani wa kweli?...

Yeye amejipambunua kama mpigania haki wa jamii za watanzania, sio hao Wamasai tu. Isitoshe hakuna nguvu yoyote inayotumika ili ww uamini hilo. Ni hiari yako kuamini hilo au la boss.
 
Inawezekanaje Mzanzibar , amfukuze mbara?
Wazenji huwa wanajionaga ni elites compared na Wabara. Wanajionaga wao ni kama Warabu tu. Sasa mmewapa na fimbo ya kuwatandika. Watawanyoosha kweri kweri
 
Kitu kibaya Ni vyombo vyetu vya habari....tukio hili Ni KUBWA na linaoonekana wazi eti wao kimya
 
Back
Top Bottom