samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Mpinzani wa kweli na mtetezi wa watanzani wakati wote.
kutetea wamasaia tayari anaqualify kuwa mpinzani wa kweli?...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpinzani wa kweli na mtetezi wa watanzani wakati wote.
Kuna UZI ambao umeniuzi. Nina Jazba, hayo juu ndio yaliyonitoka vidoleni- kwa kweli nimekurupuka-nina machungu.Haiwezekani,
Haiwezekani,
Huwezi lInganisha hayo, huwezi kuhalalisha GENOCIDE
GENOCIDE sio Upanuzi wa barabara, GENOCIDE ni GENOCIDE
Watakuwa wanaogopa wamasai wa loliondo,Hivi Lissu na mwenzie bado tu hawajaja bongo??
Kama hawajaja wanasubiri/kuogopa nini??
[emoji2]Sasa ameamua kuripoti yeye kwa niaba ya Belgium Media?
ndo pekee hua hababaiki Wala kubabaishwaMpinzani wa kweli na mtetezi wa watanzani wakati wote.
Unalia nini wewe , mbona nyuzi hizi hazifanani maudhui ? Acha dunia ijue unyama wenuMods hebu hizi thread zinazohusu Ngorongoro mziunganishe na ule uzi wa jana wa Erythrocyte ili uwe uzi mmoja. Kitendo cha kujaza nyuzi karibu 5 au 10 tofauti zenye ujumbe mmoja hakiendani na utaratibu wenu wa siku zote. Tumekuwa tukiona baadhi yetu tukiandika thread inayoshabihiana na nyingine hapa JF basi thread hiyo either itaunganishwa na ile iliyotangulia kuandikwa hapa JF au itafutwa kabisa. Sasa nashangaa hizi zingine mnaziacha zijazane hapa bila sababu za msingi. Na nyinyi wahusika mme relax kabisa, kisa tu zimeandikwa na watu fulani, wa chama fulani, na zinamhusu mtu fulani. Kifupi inaonekana waandishi hao wa thread hizi wana hatimiliki ya app hii ya JF maana sio rahisi mtu wa kawaida kama mimi kuandika thread inayofanana na nyingine hapa jukwaani afu ikaachwa ijitegemee kama hivi tuonavyo hapa.
kutetea wamasaia tayari anaqualify kuwa mpinzani wa kweli?...
Wazenji huwa wanajionaga ni elites compared na Wabara. Wanajionaga wao ni kama Warabu tu. Sasa mmewapa na fimbo ya kuwatandika. Watawanyoosha kweri kweriInawezekanaje Mzanzibar , amfukuze mbara?
Tuliza kinyeo hicho wewe mbwigaSasa ameamua kuripoti yeye kwa niaba ya Belgium Media?
Waambie wabunge wako wa CCM.Hii issue ndo utawajua wapinzani wa Kweli Lissu since day one anasimamia haki lakin FAM ni opportunistic I swear.
Mpuuzi huyo muuza nchi unamuita mtete?jinga kubwa weMpinzani wa kweli na mtetezi wa watanzani wakati wote.
Kama hao Wamasai waliandamana, basi wanamzidi mbaaali sana Tundu Lissu, maana wao wanapambana physically na huyo Lissu kakimbilia kwa mashoga huko halafu anajifanya mtetezi.Mpinzani wa kweli na mtetezi wa watanzani wakati wote.
Mkuu, kwa hiyo Lissu amehongwa na wamasai au?Akamshitaki Samia ICC kwanza ndio nitaamini kinyume na hapo usanii na kujibaraguza, kwanza keshahongwa mabilioni na kununuliwa kama Mbowe!