Hawa waarabu ndo walibaka,waliwalawiti ,walaliwatesa,waliwafanya walivyotaka bibi zetu na babu zetu enzi za ukoloni,leo mnawasujudu na kuwatukuza kisa pesa,hii laana haitawaacha salama,mnaamua kuua,kujeruhi na kuhamisha wazawa kisa mwarabu,hivi mnaakili timamu,CCM hizo ndo sera zenu,Hangaya hulioni hili?