Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Mwanafunzi wa kidato cha tano pale pale, shuleni.
kwamba ni mzoefu wa mazingira na walimu na uongozi wa shulke.

Ungetoroka na kwenda kutoa taarifa kwa wazazi unge eleweka.
Sasa una kwenda kuwekwa kinyumba na baba jose, sasa unacho kimbia ni nini?
Haya baba jose yuko wapi?

Unatafuta kuhurumiwa!!
Eti umebakwa!!!
kesho utasema mwalimu jimmy ana kibamia [emoji1787],
kesho kutwa utasema muuza mkaa hana nguvu za kiume!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanabakwa watu wazima na hawa report police ndio itakua mtoto?! Nyie mnashindwa kuelewa kuna denial, stigma, and feeling no one is going to believe you ndicho kinachowafanya victims wa rape not to come forward
 
Mwalimu Jimmy is guilty Hata Km hakubaka inaelekea ndio Tabia zake kunyanyasa watoto mpaka wanaona shule ni ngumu, atafutwe ahojiwe na wabobezi, asiendelee kufanya psychological damage kwa watoto wengine zaidi, ingependeza kama atasimamishwa kupisha uchunguzi juu yake
Asimamishwe?
 
Halafu kumbaka Kwa nguvu binti wa miaka 18 tena peke yako sio jambo rahisi hivyo. Bila kumjeruhi muhusika ili akose nguvu kwanza. Tofauti na hapo ni shughuli pevu.

Huwa kuna ile adrenaline mwili unapotaka kufanyiwa jambo baya.

Halafu bwenini tena Jioni ambapo Kwa maisha ya bweni sio rahisi kwamba hakuna mwanafunzi yoyote alieshuhudia wala mlinzi na hakuna taarifa yoyote ya Kubakwa popote zaidi ya mwezi mzima.

Duuuuh.
 
Upuuzi tu,yaani shule ya kikatoliki mwalimu wa kiume aingie kwenye mabweni ya wasichan kusaka waliochelewa,shule haina Matron?,hiyo Pandahill ndiyo itakuwa ya kwanza
Tuache kuharibuana maisha kwa umalaya wa watoto wetu na malezi mabaya
Kaesta nu kamalaya
Kama huzijui shule za Katoliki unaweza dhani uko sahihi
 
Mwalimu Jimmy is guilty Hata Km hakubaka inaelekea ndio Tabia zake kunyanyasa watoto mpaka wanaona shule ni ngumu, atafutwe ahojiwe na wabobezi, asiendelee kufanya psychological damage kwa watoto wengine zaidi, ingependeza kama atasimamishwa kupisha uchunguzi juu yake

Yes akamatwe ahojiwe.

Ila ushahidi ndio umtie hatiani na kumfunga na Sio hisia.
 
Binti wa kidato Cha 5, mwenye akili timamu, anasoma masomo ya sayansi. Baada ya kubakwa na mwalimu Jimmy anaondoka kwenda kukaa kwa muuza mkaa Baba Jose badala ya kwenda kuripoti polisi au kurudi na kuripoti nyumbani.

Pelekeni mahakamani ili tijue mbivu na mbchi. Uongo na ukweli haupikiki chungu kimoja. Ma classmates wataitwa na tabia halisi ya Esther itawekwa hadharani
Labda Binti anamuamini sana Baba Jose kuliko Wazazi wake, haiwezekani binti wa kidato cha tano siri ya kubakwa aache kuwaambia Wazazi wake hadi akamwambie Baba Jose na kutafuta hifadhi kwa Baba Jose!? Labda uniambie issue ya Baba Jose ni mchango wa kupoteza ukweli wa yaliofanyika nyuma ya pazia!!??
 
Anabakwa mtu mzima na hawareport police ndio itakua mtoto?!
Sasa ikitokea huyo mtu mzima akabakwa, halafu akaamua kukaa kimya! Huo utakuwa ni uamuzi wake. Ila sheria iko wazi kabisa.

Nyinyi watetezi wake mtupe majibu; Ni kwa nini baada ya hilo tukio, alikubali kwenda kufichwa na huyo muuza mkaa (Baba Jose) kwenye nyumba ya mama muuza genge kwa zaidi ya mwezi, mpaka pale serikali ilipoingilia kati kumtafuta?

Ni kwa nini alikuwa akiishi kwa kificho? Ni kwa nini alidanganya jina? Ni kwa nini alidanganya alikotoka?
 
Na baba jose atafutwe had apatikanee, hakuna kuwapa case wasio husika hapaa lol.
Mkuu unakomaa na baba Jose bure, kosa lake sio sawa na Jimmy ambaye kisheria anawajibu kama mzazi namba 2.
Baba Jose hatujui aliambiwa nini na Ester hadi akamchukia...ksma kweli kuna mtu anaitwa jina hilo kweli.

Ili kuondoa sintifahamu hii bora uchunguzi ufanyike ili kila mtu abebe lawama zake
 
Yes akamatwe ahojiwe.

Ila ushahidi ndio umtie hatiani na kumfunga na Sio hisia.
I agree isiwe hisia, Ila watoto wote wanaofundishwa na Mwalimu Jimmy wahojiwe anonymously kama ni mnyanyasaji itajulikana tu mwendo wake , SIWAPENDI walimu wote wanaotoa frustrations zao kwa watoto!? Uwe ngono ama la
 
Mkuu unakomaa na baba Jose bure, kosa lake sio sawa na Jimmy ambaye kisheria anawajibu kama mzazi namba 2.
Baba Jose hatujui aliambiwa nini na Ester hadi akamchukia...ksma kweli kuna mtu anaitwa jina hilo kweli.

Ili kuondoa sintifahamu hii bora uchunguzi ufanyike ili kila mtu abebe lawama zake
Ninacho kataa mie suala LA baba Jose kuzimwa, afu kuibuliwa LA teacher jimmy, kwann aliyekua nae huyu mda wote akitafutwa asipatikane kuhojiwa, wa deal na jimmy kwani??

Waanze na baba Jose wakishamalizana nae, ndo warudi kwa jimmy. Mbna rahisi tyuuh.
 
Back
Top Bottom