cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ESTER mweyewe yuko form five sijui ilaa nyonyoo imelalaa fofooofooo kama mama wa watoto 10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ESTER mweyewe yuko form five sijui ilaa nyonyoo imelalaa fofooofooo kama mama wa watoto 10
Unaliongelea kishabiki sana.Ndo mkiishiwa hojaa mnakuja na hekaya zenu, nimesha zoea na nimeshavuka hukooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umalaya wa Esther halafu tabu apate jimmy wa watu inahusu nn??
Dogo anatafuta mtu wa kuanguka naeNdo mkiishiwa hojaa mnakuja na hekaya zenu, nimesha zoea na nimeshavuka hukooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umalaya wa Esther halafu tabu apate jimmy wa watu inahusu nn??
Na kuna age za kubakwa jamani .form 5 mbona unamuwekea ticha mtego happo umemstua tayari matron..aise mie napinga ..tena kwa shuld kama Phss !ESTER mweyewe yuko form five sijui ilaa nyonyoo imelalaa fofooofooo kama mama wa watoto 10
abakwe wapii yule malayaaa tuuu na kidukuu chakeee 😀 😀 😀Na kuna age za kubakwa jamani .form 5 mbona unamuwekea ticha mtego happo umemstua tayari matron..aise mie napinga ..tena kwa shuld kama Phss !
Shangaa nawee hapo sasa.Dogo anatafuta mtu wa kuanguka nae
Hamna shule itakayomtaka huyo dogo maana ni bomuMie ndo nilitegemea hivyo, kwani si alisema hataki kusoma tena PHSS, wangemuhamisha basi case kuishaa, huku kungine ni kujichoreshaaa
Ni bomu kubwa...shame to herHamna shule itakayomtaka huyo dogo maana ni bomu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekujibu nishavuka huko mie, hakuna jipyaa kwangu. Labda uje na jingine, hili LA kuwa Gay nalimuduu.Unaliongelea kishabiki sana.
Pili sikuonei hata kidogoa...
Kupitia komenti zako unafahamika fika kuwa wewe ni jamii ya MSHALE.
uliwahi kukiri mapenzi umeyajua kabla hujajua kutawadha, nasasa unajua kutawadha...maana yake ni mlango wa nyuma Cocastic, kama nakusingizia niambie nikuombe radhi hapa hapa tafadhali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaziii ipoooHamna shule itakayomtaka huyo dogo maana ni bomu
Soma maelezo haya na utoe mtazamo wakoView attachment 2675206
Eh....! Kingine?Inaelekea shuleni ulikuwa hujatulia kabisa
Haka katoto ni kahuni tu. Nawashangaa hata wanaojaribu kukatetea. Sasa kama kalitoroka, kwa nini kalienda kufichwa na muuza mkaa?Eti nakenyewe kanasema kalienda kusikojulikana wakati kanajua kalienda wapi na kufanya nini na waandishi hawaulizi kusikojulikana ni wapi?
Benaya- ukuje usome hapa . ...walosoma shule za boarding wanajua hapa hakuna kesi .watu tulikua tunazimia shule mradi matroni akupeleke hosp mradi urudi na chips shule ......boarding tunaijua ni ww tu uamue uishi vipi...amwache JimmyHuyo ester anaonekana hata bangi anavuta. Je kama yeye ndio alimtongoza mwalimu jimmy na mwalimu akamgomea saiv analipiza kisasi? Tuliosoma boarding shule za wasichana tunajua vile wanafunzi wengine shobo zinavyokua kwa walimu wa kiume.
Wazaz wanajidhalilisha wao na binti yao.
Anabakwa mtu mzima na hawareport police ndio itakua mtoto?!Haka katoto ni kahuni tu. Nawashangaa hata wanaojaribu kukatetea. Sasa kama kalitoroka, kwa nini kalienda kufichwa na muuza mkaa?
Kwa umri wake alishishindwa kabisa kumtafuta msamaria mwema, na kumuomba simu ili awasiliane na wazazi wake, na kuwajulisha kilichotokea!
Na mimi nilisema huyu hata bangi atakua anavuta...tena atakua anavutia kule orchad au kule bwawani...asee(in nyaki voice)Huyo ester anaonekana hata bangi anavuta. Je kama yeye ndio alimtongoza mwalimu jimmy na mwalimu akamgomea saiv analipiza kisasi? Tuliosoma boarding shule za wasichana tunajua vile wanafunzi wengine shobo zinavyokua kwa walimu wa kiume.
Wazaz wanajidhalilisha wao na binti yao.