Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Ndo mkiishiwa hojaa mnakuja na hekaya zenu, nimesha zoea na nimeshavuka hukooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Umalaya wa Esther halafu tabu apate jimmy wa watu inahusu nn??
Unaliongelea kishabiki sana.
Pili sikuonei hata kidogoa...
Kupitia komenti zako unafahamika fika kuwa wewe ni jamii ya MSHALE.

uliwahi kukiri mapenzi umeyajua kabla hujajua kutawadha, nasasa unajua kutawadha...maana yake ni mlango wa nyuma Cocastic, kama nakusingizia niambie nikuombe radhi hapa hapa tafadhali
 
Ndo mkiishiwa hojaa mnakuja na hekaya zenu, nimesha zoea na nimeshavuka hukooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Umalaya wa Esther halafu tabu apate jimmy wa watu inahusu nn??
Dogo anatafuta mtu wa kuanguka nae
 
Unaliongelea kishabiki sana.
Pili sikuonei hata kidogoa...
Kupitia komenti zako unafahamika fika kuwa wewe ni jamii ya MSHALE.

uliwahi kukiri mapenzi umeyajua kabla hujajua kutawadha, nasasa unajua kutawadha...maana yake ni mlango wa nyuma Cocastic, kama nakusingizia niambie nikuombe radhi hapa hapa tafadhali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekujibu nishavuka huko mie, hakuna jipyaa kwangu. Labda uje na jingine, hili LA kuwa Gay nalimuduu.

Wee usie liongelea kishabiki, ulipaswaa uje na hoja zako za kunipinga, sio kunishambulia mie binafsi.

Kwani Gay hatakiwi kutoa maoni?? Hoja haipigwii kirungu, hoja hujibiwa kwa hoja, km huna hoja tuluzanaa wapo wenye nazo watajadilii.

By the way cna mood ya kujibu sana, na sitaki kuharibu mada, tubaki na lengo kuu LA uzii.
 
Soma maelezo haya na utoe mtazamo wakoView attachment 2675206

Hizi kesi za mabinti wa shule kubakwa au kupata ujauzito zinahitaji umakini wa hali ya juu sana kwa maana tofauti na hapo Kwa sababu zinajumisha Hisia, Sheria pamoja na Siasa Kwa wakati mmoja.
Hapa bado tunasubiri tamko zito la Waziri mwenye dhamana.

Hivyo watakaofanyia Kazi hii kesi wawe makini Sana watende haki Kwa mujibu wa Sheria.

Nimesoma hayo maelezo lakini bado nina maswali mengi sana ya kumuuliza huyo Binti.

Maelezo yake yote hayo hayatoshi kumtia Mwalimu Jimmy hatiani kwa sababu Simply hakuna ushahidi.

Sababu kwa maelezo yake ni kwamba taarifa hakutoa popote juu ya hilo tukio la ubakaji na hatuna ushahidi wa Daktari na hatujui nini kilikuwa kinaendelea Kwa hizo siku 35 ambazo alikuwa hajulikani alipo.

Hivyo hii kesi bado ina matobo mengi sana.

Jambo la Muhimu, Mwalimu Jimmy atafutwe ahojiwe na ukweli utajulikana japokuwa hiyo ni kesi complicated Sana.
 
Eti nakenyewe kanasema kalienda kusikojulikana wakati kanajua kalienda wapi na kufanya nini na waandishi hawaulizi kusikojulikana ni wapi?
Haka katoto ni kahuni tu. Nawashangaa hata wanaojaribu kukatetea. Sasa kama kalitoroka, kwa nini kalienda kufichwa na muuza mkaa?

Kwa umri wake alishishindwa kabisa kumtafuta msamaria mwema, na kumuomba simu ili awasiliane na wazazi wake, na kuwajulisha kilichotokea!
 
Mwanafunzi wa kidato cha tano pale pale, shuleni.
kwamba ni mzoefu wa mazingira na walimu na uongozi wa shulke.

Ungetoroka na kwenda kutoa taarifa kwa wazazi unge eleweka.
Sasa una kwenda kuwekwa kinyumba na baba jose, sasa unacho kimbia ni nini?
Haya baba jose yuko wapi?

Unatafuta kuhurumiwa!!
Eti umebakwa!!!
kesho utasema mwalimu jimmy ana kibamia 🤣,
kesho kutwa utasema muuza mkaa hana nguvu za kiume!
 
Huyo ester anaonekana hata bangi anavuta. Je kama yeye ndio alimtongoza mwalimu jimmy na mwalimu akamgomea saiv analipiza kisasi? Tuliosoma boarding shule za wasichana tunajua vile wanafunzi wengine shobo zinavyokua kwa walimu wa kiume.
Wazaz wanajidhalilisha wao na binti yao.
Benaya- ukuje usome hapa . ...walosoma shule za boarding wanajua hapa hakuna kesi .watu tulikua tunazimia shule mradi matroni akupeleke hosp mradi urudi na chips shule ......boarding tunaijua ni ww tu uamue uishi vipi...amwache Jimmy
 
Haka katoto ni kahuni tu. Nawashangaa hata wanaojaribu kukatetea. Sasa kama kalitoroka, kwa nini kalienda kufichwa na muuza mkaa?

Kwa umri wake alishishindwa kabisa kumtafuta msamaria mwema, na kumuomba simu ili awasiliane na wazazi wake, na kuwajulisha kilichotokea!
Anabakwa mtu mzima na hawareport police ndio itakua mtoto?!
 
Huyo ester anaonekana hata bangi anavuta. Je kama yeye ndio alimtongoza mwalimu jimmy na mwalimu akamgomea saiv analipiza kisasi? Tuliosoma boarding shule za wasichana tunajua vile wanafunzi wengine shobo zinavyokua kwa walimu wa kiume.
Wazaz wanajidhalilisha wao na binti yao.
Na mimi nilisema huyu hata bangi atakua anavuta...tena atakua anavutia kule orchad au kule bwawani...asee(in nyaki voice)
 
Back
Top Bottom