Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Ungesimuliwa yote yanayotendeka jkt si ungetoa laana kwa jeshi zima?
kuna law bending
Na law breaking
Ili kufanya mambo yaende.. Inabidi mkubali tu mtoto wenu ni muhuni. Alikutana vipi na baba jose? Si ajabu lilikuwablinatoroka muda mrefu tu sema walimu walilivumilia

Basi hao walimu ni washenzi kama walimvumilia huyu ni wanafunzi wangapi wanawavulia kufanya uhuni?

Tuamini vipi nao hawafanyi uhuni?
 
Kama umala hata mama yako ni mhusika.

Tujadili ubakaji wa Jimmy na RC kutoa maelekezo namna ya kuongea.

Umalaya wa Rster una ushahidi gani?
Una uhakika kuna baba Jose kweli?
Ikiwa walipewa maelekezo namna ya kuongea huenda hata baba Jose ni scrot tu ili kuihadaa jamii funguka

Hivi baba Jose na huyo mama wa genge wamekamatwa? [emoji3][emoji3]
 
Nchi ya maelekezo kila mahali, kuna siku mtaleta maafa makubwa sana nchi hii.

Ndugu Watanzania, tukiwa katikati ya sakata la DPW, lilibuka sakata la mwanafunzi wa Panda hill school kupotea, kwa jina Ester.

Sakata hili lilivuta hisia za wengi kiasi cha waziri mkuu kutoa tamko kuwa anawaagiza polisi wantafute kwa haraka ili apatikane.

Jambo hili lilizua gumzo kubwa na hisia kali katika jamii.

Katika kupotea kwake Ester, inasemekana aliacha ujumbe usemao " mjihadhari na mwl Jimmy"

Jamii ilijiuliza kwanini Jimmy?

Baada ya agizo la Waziri mkuu, mtoto alipatikana kwa haraka sana, ikadaiwa alikuwa kwa muuza mkaa kwa jina baba Jose akishirikiana na mama muuza genge, mara fundi cherehani...mkanganyiko.

Wote tulishuhudia Ester akihojiwa ofisini kwa mkuu wa mkoa na alirudia kumtaja Jimmy kuwa ashughukiwe bila ya kufunguka zaidi.


Leo tena kwenye vyombo vya habari, nimeshtushwa mnoo kumsikiliza Ester akihojiwa na ameelezaza kuwa;

1. Mwl Jimmy aliingia bwenini akisaka wanafunzi waliochewa kutoka bwenini.
2. Alimkuta Ester ametoka kuoga na akiwa na kanga moja
3. Akampiga kuwa kwanini amechelewa kuwahi darasani
4. Akamsukumiza kitandani, akamziba mdomo na shuka na KUMWINGILIA KIMWILI

WAZAZI/WALEZI WA ESTER
1. Wamelalamika kuwa mtoto alipopatikana mazingira yalitia shaka
2. Pamoja na mashaka viongozi waliwazuia kuongea tofauti na MAELEKEZO waliopewa
3. Sasa wanaomba haki itendeke kwani ukweli ulifichwa.

MASWALI YANGU KWA MKUU WA MKOA NA RPC
1. Kwanini mlificha ukweli wa jambo hili?
2. Kwanini mkuu wa mkoa alikuwa soft sana alipoiongelea shule ya Panda hill na zaidi akiwamwagia sifa?

3. Hii shule ya Panda hill ni ya kigogo gani serikalini?

HITIMISHO
Mazingira ya kupotea na kupatikana kwa Ester yalizua maswali mengi sana ( HUENDA HATA JINA BABA JOSE NI MAELEKEZO TU).

1. Alitorokaje shuleni wakati kuna geti na ukuta mrefu?

2. Kwanini alimtaja Jimmy?

3. Polisi na mkuu wa mkoa walishindwa nini kumwita Jimmy ahojiwe mbele ya mtoto majibu sahihi yapatikane?
4. Ni lini mtuhumiwa kama huyo hakuchukuliwa hatua za haraka bali waliamua kumfuata kwa muda wao?

4. Kwanini mkuu wa mkoa hakujitokeza tena kuliambia taifa undani wa sakata hilo badala yake Pandahill schooll ndio walipewa nafasi ya kutoa taarifa?

SAKATA HILI LINA VIASHIRIA VYA RUSHWA.

ANGALIZO:
Ninasikitika sana endapo Ester angekuwa ni binti yangu.
1. Jimmy angekuwa mlemavu au mfu kabisa.
2. Hayo maelekezo mliyowapa wazazi...ingekuwa mimi mngenifunga au kunizika, pasingetosha.

Katika maisha yangu kamwe huwezi kumdhalilisha mtoti na mwanamke mbele yangu nikavumilia...sasa awe binti yangu dunia yote ingeiona gharabu yangu.

Kwa mazingira haya Mkuu wa Mkoa na RPC mbeya:
1. Mmewakosea sana watoto wa kike kwa kutokumpa Ester haki yake.

2. Mmewakosea wazazi wote.

3. Mmelikosea na kulikosesha taifa la Tanzania.

ACHIENI NGAZI HARAKAView attachment 2675028
Mkuu kwa maelezo ya Ester hata kama mimi ningekuwa mzazi wake pia hakika dunia ingepata habari kwa ambacho kingemkuta huyo mwal. Jimmy
Kwanini tunarudia zama za JK za kujuana na rushwa kutamalaki? Inauma sana😩
Ila nasema tena ilaaa..... yote haya ni sababu ya unyonge wetu wananchi, hakika tumerogwa na kurogeka haswaaa😭😭😭🙌
 
Kwa yeyeto aliyesoma na kujua maisha ya watoto wa kike. Anajua wanafanyaga nini. Kuna mengi sana. Kuendelea kujadili hili na kulipa airtime, ni kama kupoteza muda, media zinafuatilia sana utadhani linaustawi Kwa jamii. Hili lakufunika na kuachana nalo.

Kwa mazingira yoyote baba Jose, na Mama muuza wa genge, hawawezi kukwepa mkono wa Sheria. Walivyompokea walitoa taarifa wapi? Ilihali wanajua kuwa ni mtoto wa shule. Wameachwa kimya kama siyo wahusika, Mwalimu Jimmy anaangushiwa jumba bovu.

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo yapo mkuu.

Kuna shule ya kulipia karibu na ninapoishi, kuna mwl Jina James alikuwa akitembea na wanafunzi wa darasa la 7, ilipojulikana, shule walimhamishia shule yao nyingine kimya kimya kulinda hadhi ya shule...tusikatae wala kukubali kirahisi, ukweli utafutwe kwanza
Ifikie kipindi wananchi wakishajiridhisha na ushahidi upo tuingie kwenye zile zama za "USIMUACHE MCHAWI AU MWIZI AISHI" Ni moto tu
 
inafikirisha ,kama ester alibakwa kwanini hakulipoti mahali husika? kwanini akimbilie kwa baba jose badala ya kwenda kwa wazazi wake? je aliona kwababa jose ndo mahali salama pakukaa kuliko kwa wazazi wake??
 
Mkuu kwa maelezo ya Ester hata kama mimi ningekuwa mzazi wake pia hakika dunia ingepata habari kwa ambacho kingekukuta huyo mwal. Jimmy
Kwanini tunarudia zama za JK za kujuana na rushwa kutamalaki? Inauma sana😩
Ila nasema tena ilaaa..... yote haya ni sababu ya unyonge wetu wananchi, hakika tumerogwa na kurogeka haswaaa😭😭😭🙌
Yani wewe ni baba wa Binti unapambana na mtu ambaye inasadika kamla Binti yako mara moja maana hamna ushahidi harafu unafumba macho kwa mtu aliyemla Binti yako mwezi mzima na ushahidi upo yaani kama alikuwa anamwingilia kwa siku mara tatu kwa siku kamla zaidi ya mara 90 kama alikuwa anapiga mabao matatu Kila anavyomwingilia kamwagia manii zaidi ya mara 270
 
Huyu binti ana viashiria vyote vya uhuni

Binti wa form 5 Ni mtu mzima kabisa

Mabinti wahuni wakinaswa wametoroka, jumba bovu huangushiwa wale walimu wanoko sn Kama njia ya kulipa kisasi.

Kwa haraka Sioni hatia ya ticha jimmy
 
Hakuna unyanyasaji uliotokea za ni kwamba Kuna mwanaume anataka kunyanyaswa ili kutakatisha uchafu wa hako ka Malaya kadogo
Kimsingi swali lako la kwanza ulilomuuliza ni zuri mno
Kwa Nini baba Jose alimficha muhanga wa ubakaji kwa siku 38 dhidi ya jamii zake zote na mwisho akamtambulisha kama mke wake mtarajiwa!?
 
Kinachooneka hapo ticha Jimmy ndo alikua ticha mnoko Sana Apo shuleni[emoji4]

Ticha ambae ameshamlala mwanafunz hawez pata guts za kumcharaza viboko hawara Yake (binti) akichelewa kwenda darasani[emoji4]

Jaribu kuwaza Hilo pia Glenn[emoji4]
 
Kwamba aliona adanganye jina na alipotoka.

Kwanini hakwenda Polisi???

Haya labda tuseme aliogopa kwenda polisi.
Sasa siku 30 zote kwanini hakurudi kwa wazazi wake ???

Haya labda tuseme alikuwa hana nauli. Sasa jamani hata kuwapigia simu?? Labda kaka, Dada, ndugu, rafiki??

Na hao wanafunzi navyofahamu huwa wanashika namba nyingi tu vichwani mwao sababu ya mawasiliano ya kificho wakiwa mashuleni.

Kwa hiyo katika frustration zake zote akaona alipokwenda ndio salama? Na hata aliposikia Waziri Mkuu kaagizwa atafutwe kwanini hakujitokeza??

Na hao waliokuwa nae kwanini hawakumpeleka Polisi???

Kwahiyo aliona hata PM haaminiki zaidi ya huyo Muuza mkaa na mama wa Genge???

Na hicho kipimo kwamba kaingiliwa haya kaingiliwa na Mwl Jimmy tutajuaje baada ya mwezi mzima kupita?

Au amekaa mwezi mzima bila kuoga ili tupate ushahidi wa tukio?

Aisee huyo binti Pia ajitafakari vizuri.
 
Back
Top Bottom